kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Nimeona baadhi ya wachambuzi maandazi wamepata jambo la kuongelea wiki hii nzima baada ya Kigwangala kuhoji uteuzi wa CEO mpya wa Simba.
Kifupi tu namuomba aache kuleta uswahili na choko choko kwa club ya Simba kwani naamini ukitoa dili zilizomtoa kisiasa, hana uwezo wa kujua masuala ya uendeshaji timu, uongozi na usimamizi wa miradi mikubwa.
Kama tu ameshindwa tu kuimarisha chuo chake, mradi ambao ni uwekezaji wenye faida kubwa na wenye uwezo wa kuajiri watu wengi, atakuwa na mawazo gani ya kuishauri Simba kama sio tu kuanzisha choko choko?
Kifupi tu namuomba aache kuleta uswahili na choko choko kwa club ya Simba kwani naamini ukitoa dili zilizomtoa kisiasa, hana uwezo wa kujua masuala ya uendeshaji timu, uongozi na usimamizi wa miradi mikubwa.
Kama tu ameshindwa tu kuimarisha chuo chake, mradi ambao ni uwekezaji wenye faida kubwa na wenye uwezo wa kuajiri watu wengi, atakuwa na mawazo gani ya kuishauri Simba kama sio tu kuanzisha choko choko?