Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
a.k.a Dr. Vitumbua
a.k.a Dr. Vitumbua
Ni ya CCM
Nilifikiri atasema aliyekamatwa ni wa CHADEMA!!
Kumbe Bashe!!
halafu jf jamani kuna mambo yaani sijui nani kaniambia nifungue uzi huu nimecheka sana mpka boss wangu akafikiri nina tatizo akaja akaniuliza kama niko sawa dah si unajua hawa ngozi nyeupe kucheka kwao ni kwa msimu sio kucheka cheka hasa officin yaani mpka nimeona aibu, watu kweli humu JF ni full comedian lol
Ngozi nyeupe au Pinki?
Tumbua limenona!
Dah! Mkuu Hivyo Vitumbua Vimetulia Mbaya? Ila CCM wametuchoka Jamani. Yaani Mnahonga VITUMBUA dah
Mtaani kwetu ameingia nyambizi, tujihadhari...