Mh Waziri changamoto ninyingi Kwenye hospital hii lkn Kubwa kuliko zote nikwanini huduma ya X ray lazima twende Kwenye kituo binafsi cha X ray Center ? au serikali Inahisa hapo ? au nidili ya Watu ? Onyesha Uzalendo wako kwenye Kupunguza Changamoto kwenye taasisi za Uma Ili tuendelee Kuiunga Mkono na Kuismini serikali yetu.