ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Mwenzenu napata tabu sana ninaposikiliza hotuba nyingi za JK anapota kwa kiingereza au pale anapongeza kwa akihojiwa kiingereza. Kwa kiswahili anaonekana yupo "smart" na spidi ya ajabu sana. Lakini inapofika kwa kimombo inakuwa ni kama vile anajiumauma, anakosa raha na pia sauti yake ugeuka na kuwa ya chini, uso uonyesha unyonge na kauli huwa kama hazina msisisto sana kana kwamba upeo wa kujua mambo mengi anayohubiri kama kiongozi wa nchi bado ni utata tupu....
Hii ni sehemu tu ya tofauti ya kuongea kwake kimombo kati yake na baadhi ya viongozi waliopita wa taifa ili:
JK: Kimombo:
Anakuwa mnyonge na mwenye kukoseakosea au kurejea rejea maneno hata kwenye hotuba ya kuandikiwa:
JK: Kiswahili (Mtanshani na mwenye furaha ya kweli):
#!
Mzee Kambarage (R.I.P)
Hii ni sehemu tu ya tofauti ya kuongea kwake kimombo kati yake na baadhi ya viongozi waliopita wa taifa ili:
JK: Kimombo:
Anakuwa mnyonge na mwenye kukoseakosea au kurejea rejea maneno hata kwenye hotuba ya kuandikiwa:
JK: Kiswahili (Mtanshani na mwenye furaha ya kweli):
#!
Mzee Kambarage (R.I.P)
Last edited by a moderator: