Kigugumizi cha CHADEMA juu ya akina Halima Mdee kinatokana na nini? Sikilizeni Rufaa na mtoe uamuzi wa mwisho

Hao ni SAwa na mtu kumpeleka mpenzi wake mahakamani eti kisa kamuacha. Hao wanalindwa na serikali lengo kuwahadaa wafadhili, hio kesi itaenda hadi October 2025 wakati wa uchaguzi, Ili wamalizie ubunge wao.
Wangekuwa wana maanisha wangewasimamishia ubunge kwanza hadi kesi iishe. Covid-19 ni michezo Kati ya Mbowe, CCM na serikali, Mbowe KILA siku anaitwa ikulu, na ikulu ni CCM. Na CCM ni adui wa Chadema, wewe shika jembe kalime.
 
Back
Top Bottom