Kigugumizi cha CHADEMA juu ya akina Halima Mdee kinatokana na nini? Sikilizeni Rufaa na mtoe uamuzi wa mwisho

Km wamefukuzwa na wamekata rufaa tunadeal na kufukuzwa kwanza zen rufaa ikitoka wameshinda wanarudi bungeni

Tulia anatufanya tu watu wajinga na hawajui sheria

Tunaichukia chadema ila chadema inatumia akili sana ktk baadhi ya mambo moja wapo ni hili
CHADEMA wasijifiche kwenye kichaka kwamba Jamuhuri imeweka Wabunge-19 haramu Bungeni. Ili kupata majibu kwanini Wabunge-19 wako Bungeni CDM pia wanapaswa kumalizana nao ndani ya chama chao.
Tangu November 2020 hadi leo wanashindwa kumalizana wafukuzeni kwanza.
 
CHADEMA wasijifiche kwenye kichaka kwamba Jamuhuri imeweka Wabunge-19 haramu Bungeni. Ili kupata majibu kwanini Wabunge-19 wako Bungeni CDM pia wanapaswa kumalizana nao ndani ya chama chao.
Tangu November 2020 hadi leo wanashindwa kumalizana na hao wanachama au ni mchongo? 🧐
halafu mtu anashangaa kwann tanzania ni maskini hadi leo, wakt mlipo engine room akili zenu mwisho hapo.

cuf chini ya lipumba ilivyo fukuza wanachama wake, spika alisubiri rufaa zao caf ndio awatimue bungeni?

mnawanang'ania hao wabunge sio kuwa wanapendwa na bunge, ni ili bunge lionekane ni la vyama vingi mbele ya jumuia ya madola.
 
Km wamefukuzwa na wamekata rufaa tunadeal na kufukuzwa kwanza zen rufaa ikitoka wameshinda wanarudi bungeni

Tulia anatufanya tu watu wajinga na hawajui sheria

Tunaichukia chadema ila chadema inatumia akili sana ktk baadhi ya mambo moja wapo ni hili
Tatatibu za katiba ya chadema hazisemi hivyo zibasema hivi moja ya kazi ya baraza kuu ni kuridhia na kuidhinisha au kutolea maamuzi maswala ya kinidhamu yaliyotolewa na vikao vya chini

Baraza kuu na mkutano hawahatodhia na kutlea maamuzi maswala ya kinidhamu bayo kikao cha chini kiliwatolea akina Mdee

Itisheni baraza kuu mbona mnaruka ruka RU kama mko kwenye kikaango cha mafuta? Itisheni
 
CHADEMA wasijifiche kwenye kichaka kwamba Jamuhuri imeweka Wabunge-19 haramu Bungeni. Ili kupata majibu kwanini Wabunge-19 wako Bungeni CDM pia wanapaswa kumalizana nao ndani ya chama chao.
Tangu November 2020 hadi leo wanashindwa kumalizana na hao wanachama au ni mchongo? 🧐
Hata Mimi ninahisi itakuwa ni Mchongo. Tutashuhudia Blaablaah hadi wanafika 2025. Hueñde uongozi wao unawazuga wanachama wake
 
halafu mtu anashangaa kwann tanzania ni maskini hadi leo, wakt mlipo engine room akili zenu mwisho hapo.

cuf chini ya lipumba ilivyo fukuza wanachama wake, spika alisubiri rufaa zao caf ndio awatimue bungeni?

mnawanang'ania hao wabunge sio kuwa wanapendwa na bunge, ni ili bunge lionekane ni la vyama vingi mbele ya jumuia ya madola.
Katiba ya CUF haokuvunjwa inataka vile tofauti na ya chadema

Ya Chadema kamati kuu sio final kwenye kumfukuza mtu uanachama Katiba ya Chadema ingetamka kuwa ukishafukuzwa na kamati kuu ndio mwisho wako huruhusiwi kwenda popote akina Mdee bungeni wangeondolewa

Lakini katiba ya Chadema inampa nafasi MTU kwenda baraza kuu na mkutano kupinga!! Akina Mdee wakatumia haki yao wakapeleka swala hill baraza kuu kupinga.Baraza kuu halikai !!!
 
halafu mtu anashangaa kwann tanzania ni maskini hadi leo, wakt mlipo engine room akili zenu mwisho hapo.

cuf chini ya lipumba ilivyo fukuza wanachama wake, spika alisubiri rufaa zao caf ndio awatimue bungeni?

mnawanang'ania hao wabunge sio kuwa wanapendwa na bunge, ni ili bunge lionekane ni la vyama vingi mbele ya jumuia ya madola.
Hivi umasikini wako na njaa kali uliyonayo tumlaumu baba yako?
 
Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho.

Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza Kuu la CHADEMA.

Mamlaka za kibunge zinasubiri uamuzi wa CHADEMA juu ya rufaa ya akina-Halima Mdee ili ziweze kuchukua hatua stahiki. Spika Tulia ameshasema Bunge linaendeshwa kidemokrasia na kisheria. Unasubiriwa uamuzi tu wa CHADEMA.

Ni miezi mingi sasa imepita tangu akina Halima Mdee wafukuzwe uanachama na baadhi yao kukata rufaa. Lini hasa rufaa zao zitasikilizwa na uamuzi wa mwisho kichama kutolewa juu yao? Ukimya huu ni baraka za kificho kuwa akina Halima Mdee waendelee na mambo yao ukiwemo Ubunge?
Kilichopo hapa ni kwamba kinachoendelea hapa ni mpango mkakati wa CCM, kukaa na hawa covid kama mateka kwa faida yao utaratibu upo wazi mtu huwezi kuwa mbunge wa kuteuliwa kwa kujiteua mwenyewe. mkumbuke hawa waliitwa na kamati kuu wakagoma kwenda. watanzania siyo wajinga. kinachoendelea sasa hivi ni kwamba CCM imeshindwa kuendesha siasa za kistaarabu, kitu ambacho ni kibaya sana kwa taifa. Taifa lisilo na values ni hatari sana, mambo ya msingi yanaendeshwa kihuni kihuni tuu na watu wako comfortable. Angalia jiyo barua ya Chadema kwa Spika na Tume, halafu mjikumbushe Spika Ndugai alivyojibu. hivyo hata rufani ikisikilizwa mambo yatabaki kuwa vilevile kwasababu viongozi wetu hawana uoga wa kusigina katiba.

finishing 68.jpg


finishing 69.jpg


finishing 70.jpg
 
Hivi umasikini wako na njaa kali uliyonayo tumlaumu baba yako?
mda wako wa kustaafu ukifika njoo ni kuajiri

at moment upo kwny nafasi nzuri ya kuishaur serikali iache matumizi ya anasa ya mashangingi, badala yake hizo fedha wapeleke kwny huduma za kijamii vijijini kwa watu wasio na access ya maji safi..
 
Sssa habari zenu za Chadema mnaleta JF za nini kama hamtaki watu wahoji pelekeni Ufipa msilete JF siyo mali ya Chadema kama pro-Chadema wengi mnavyofikiria hili ni jukwaa huru kinacholetwa humu kinajadiliwa kwa mujibu wa kanuni za JF.
Haukatazwi kuchangia, lakini halikuhusu. Na siku hizi habari za Chadema mnazileta zaidi wafuasi wa CCM kuliko wa Chadema. Mko obsessed na Chadema.

Amandla...
 
Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho.

Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza Kuu la CHADEMA.

Mamlaka za kibunge zinasubiri uamuzi wa CHADEMA juu ya rufaa ya akina-Halima Mdee ili ziweze kuchukua hatua stahiki. Spika Tulia ameshasema Bunge linaendeshwa kidemokrasia na kisheria. Unasubiriwa uamuzi tu wa CHADEMA.

Ni miezi mingi sasa imepita tangu akina Halima Mdee wafukuzwe uanachama na baadhi yao kukata rufaa. Lini hasa rufaa zao zitasikilizwa na uamuzi wa mwisho kichama kutolewa juu yao? Ukimya huu ni baraka za kificho kuwa akina Halima Mdee waendelee na mambo yao ukiwemo Ubunge?
Kwanini wajadili mwisho walitakiwa kujadili mwanzo kwenye uteuzi nani aliwapeleka bungeni? halafu tutakuja kwenye hiyo rufaa
 
Mengine yote hayana maana. Mpira uko mikononi mwa Bunge na siyo CHADEMA...

Labda ambacho tungeweza kuwashauri CHADEMA kwa sasa ni kuwashitaki hao the so called "COVID - 19" kwa kuitumia brand ya CHADEMA kujitambulisha kwayo na kujipatia manufaa kinyume kwa kuwa hawana haki hiyo kisheria...!

To cut it Short ni kuwa, Halima Mdee na wenzake hawana haki kisheria kujitambulisha kuwa ni wananchama halali wa CHADEMA achilia mbali kujiita "wabunge wa CHADEMA" kwa sababu wamekwisha kuvuliwa uanachama wao tangu 2020 kwa kufuata taratibu zote za kikatiba ya chama...

Referal waliyoomba KK haiwarudishii uanachama wao na haifuti adhabu yao unless imesikilizwa na kuamuliwa in their favour kitu ambacho pia ni kigumu kutokea...!
 
Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza
Ok sasa hawa ambao hawakutaka rufaa je wao nao wanasubiri nini ?
 
Mi naona hili suala la hawa Wabunge wa chadema Kuna kitu hakiwekwi wazi... Chadema waache kigugumizi. Mbona mambo mengine ya kijinga tu huwa haraka sana wanayaitia press conference, hili kimya?
 
WAWASAMEHE TU TENA NIWANAWAKE WALIJITAHIDI KUPAMBANA HUKO NYUMA KABLA YA UCHAGUZI. NI AFYA KWA CHAMA KULIKO KUWAFUKUZA. KWANI NI NANI ALIYEKUWA NA UHALALI WA MADARAKA KUANZIA JUU MPAKA CHINI? NI AJABU KWA YALIYOTOKEA KAMA MTU MMOJA RAIS AWEZA KUAMUA YUPI AWEPO NA YUPI ASIWEPO MADARAKANI. SULUHU NI KATIBA MPYA NA TUME HURU. SASA NI WAKATI WA KUWAHUSISHA NA KUWAKUSANYA WOTE KWA AJILI YA HAYO SI WAKATI WA KUENDEKEZA KUSAMBALATISHWA KULIKOSABABISHWA. HATA WALIOSHINDWA WAKANUNULIWA KUTOKANA NA UGUMU ULIOKUWEPO WAITENI WOTE MUANZE UPYA. MSITHUBUTU KUENDEKEZWA MIGAWANYIKO. YOTE YALIYOPITA YANAONESHA TU UMUHIMU WA MFUMO WA KATIBA NA TUME YA UCHAGUZI NA UTAWALA MPYA UNAOHITAJIKA KWA SASA KULIKO WAKATI MUNGINE
 
ITISHENI MIKUTANO MIKUU NDANI YA VYAMA MYAMALIZE NA KUANZA UPYA. KUNA MSEMO NAPE AMESEMA UKIKUTANA NA JIWE USIPAMBANE UTAUMIA LIPISHE AU LIKIZAMA INUKA ENDELEA. HII NDIYO HEKIMA KWA NAMNA MFUMO WA NCHI YETU ULIVYO.

MIKUTANO MIKUTANO MIKUTANO MIKUU ITISHENI MARA KWA MARA.
 
mda wako wa kustaafu ukifika njoo ni kuajiri

at moment upo kwny nafasi nzuri ya kuishaur serikali iache matumizi ya anasa ya mashangingi, badala yake hizo fedha wapeleke kwny huduma za kijamii vijijini kwa watu wasio na access ya maji safi..
Kajifundishe kwanza kuandika unaandika unaandika utadhani mtoto wa chekechea daaah.
 
Haukatazwi kuchangia, lakini halikuhusu. Na siku hizi habari za Chadema mnazileta zaidi wafuasi wa CCM kuliko wa Chadema. Mko obsessed na Chadema.

Amandla...
Mimi siyo mfuasi wa CCM tatizo lenu yeyote anapingana mtazamo na pro- Chadema mnamuona CCM daah
 
Mkuu, hoja yangu inahusiana vipi na uanasheria wangu?

Mkuu unaamini ulichosema kwenye post yako namba moja ndio kikwazo na hakuna hila yoyote mpaka sasa? Kama Mwambe alijiuzulu kabisa ubunge ww cdm na akaondoka bungeni, lakini bado alirudishwa bungeni, ni kipi kinakufanya uamini alichoongea Tulia jana?
 
Vipi kuhusu wale wabunge wa Cuf rufaa zao zilisikilizwa wakiwa Bungeni au mtaani??, Sheria inasemaje?.

Inawezekana wewe ni zao la Tulia pale Udsm ndio maana hujui kitu.
 
Back
Top Bottom