Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,771
- 93,547
Waha hawana ukabila wao ni watu wakujipendekeza. Over
After yote Makamu hana influence yoyote kwenye serikali ni mkata utepe pekeeMakamu wa raisi ni wa nchi yote(jamuhuri ya muungono wa Tanzania ) sio wa kigoma.labda wamefurahi kuchagua mbunge mwingine!!!?.
Inakuwaje watu wa kigoma wanakusahau kwao wakati watu wa kigoma mipango.Buhigwe pako hovyo miradi mingi ipelekwe kule jamani uchumi ufunguke watu wa buhigwe wachapa kazi mno lakini mzunguko wa hela mdogo .Aaongee na halmashuri miradi gani ifanyike pale kufungua uchumi mkubwa
Hilo jamaa linaonekana tutusa! Yaani marehemu angeteua mtu wa kutoka bara? Bure kabisa!Kasome katiba juu ya uteuzi wa VP kama rais ni wa upande mmoja wa muungano
Sema wewe umezizima kwa furahaToka kuumbwa ulimwengu,. Leo hii Mkoa wa Kigoma umekwenda kutoa Kiongozi Mkubwa nchini.
Mmeumia sana uteuzi wa VP,ili ndo hivyo ni basi tu.Uzuri ukabila umekwisha.
Mara ... Chato,karagwe...
Kumbe kigoma ina watu wengi hivi? ndio maana asilimia kubwa ya watu toka kigoma ni wanafiki.Toka kuumbwa ulimwengu,. Leo hii Mkoa wa Kigoma umekwenda kutoa Kiongozi Mkubwa nchini.
Yes hatujikombi wala nini sehemu ambazo uchumi mkybwa ulifungwa toka uhuru ufunguliwe miradi mikubwa ya kufungua uchumi ipelekwe hukoChato mmeshamaliza, sasa mmehamia Buhigwe
Picha ya 20/12/2020Toka kuumbwa ulimwengu,. Leo hii Mkoa wa Kigoma umekwenda kutoa Kiongozi Mkubwa nchini.
Uongo unachoongea sichoDhehebu gani huyu makamu wa Rais maana sisi wakatoliki tulishasema patachimbika Kama tutakosa nafasi katika top 3 ya uongozi wa nchi.
Uongo unachoongea sicho
Makamu hapewi kwa ajili ya dini mpuuzi wew
Buhigwe iko mpakani iangaliwe kufungua fursa kubwa Tanzania uchumi wetu ulenge soko la jirani mipakani