Kigoma yazizima kwa furaha baada ya kutoa kiongozi mkubwa nchini

Kigoma oyeeee
Ila nyie watu wa kigoma
Mbona wabishi sanaaaa(joke)

Ova
 
Buhigwe pako hovyo miradi mingi ipelekwe kule jamani uchumi ufunguke watu wa buhigwe wachapa kazi mno lakini mzunguko wa hela mdogo .Aaongee na halmashuri miradi gani ifanyike pale kufungua uchumi mkubwa
Inakuwaje watu wa kigoma wanakusahau kwao wakati watu wa kigoma mipango.

Ujanja, kwenda ulaya wao kitamboo walianza.

Ova
 
Chato mmeshamaliza, sasa mmehamia Buhigwe
Yes hatujikombi wala nini sehemu ambazo uchumi mkybwa ulifungwa toka uhuru ufunguliwe miradi mikubwa ya kufungua uchumi ipelekwe huko

Raisu Samia hilo ndilo ahangaike nalo sio kila mradi kilimanjaro sijui Dar sijui Arusha maendeleo yaende pembezoni sehemu zilizosa
 
Hii ndio Ramani ya NCHI ya Kigoma.

Screenshot_20210330-165306.png
 
Back
Top Bottom