Kigoma Yatengwa! Usafiri balaa ..

Kamanda, umewakusudia nini wazenj?

Sina nia mbaya na Wazenj ni watu wangu wa karibu ila huwa nasonononeka sana na majibu ya kebehi yanayotolewa kuhusiana na mambo mbali mbali ya kero za Muungano...

Lets carry on...
 
Kwa aina hii ya usafiri wa reli huko India sidhani kama watafanya lolote jipya hapa kwetu.
 

Attachments

  • train.doc
    58 KB · Views: 67
Umuhimu wa mkoa wa Kigoma (mkoa wa mpakani) haujulikani kwa serikali mpaka mbunge wa Kigoma aseme? miaka yote hii toka uhuru hakuna mtu serikalini anajua hili?
Tungekuwa makini kujenga daraja la mto Malagalasi tungeweza kushindana na Kenya kuwin biashara na Nchi za Maziwa Makuu. Isaka, bandari ya nchi kavu, ilitegemewa sana kuunganisha mizigo kwenda nchi hizo; nayo pia imedoda. Hakuna nchi ya Maziwa makuu yenye hamu ya kupitisha mzigo wake Tanzania kutokana na miundombinu mibovu inayoelekea mji wa Kigoma. Tulipaswa kuliona hili mapema,lakini hatujachelewa kufuatia vurugu za Kenya (eenh, waswahili usema kufa kufaana)!

Jana Waziri wa Biashara wa Rwanda ameongea kusudio la nchi yake kuwa partner ktk business, lakini ameshindwa kuweka bayana kitu kinachoifanya Rwanda kutumia zaidi bandari ya Mombasa. Anashindwa kusema kuwa miundombinu ndio chanzo; protokali za kisiasa zinambana.
 
Kwa aina hii ya usafiri wa reli huko India sidhani kama watafanya lolote jipya hapa kwetu.

Nimechungulia hiyo attachment, kusema kweli usafiri wa treni nchini India ni balaa.
Na hawa ndio tuliowapa dhamana ya kuliendesha shirika letu la reli!
Sijui kama tutafika, kwa sababu nilisikia mkuu EL akiwakataza kutofunga reli ya Tanga-Dar, kwani walikuwa wako mbioni kuifunga.
 
3. Jawabu kudumu ni kujenga daraja Malagarasi- na barabara lami na kuwa na usafiri wa uhakika wa barabara- haya ndo mambo ya kutetea kwa nguvu na Wanakigoma kuondoa shilingi ktk budgeti! Ahadi tu za serikali kila siku over daraja na barabara- sasa 46 years! Hamna kitu!

Sasa kama Kigoma wanachagua wabunge wanaotetea mambo ya Kitaifa kama Bugwazi na Zitto kwa nini wanashindwa kutetea infrustructure ya Kigoma?
Mkwamo wa ujenzi wa hili daraja pengine Zitto (na waKGM wengine) wanaweza kutuambia mengi yaliyofichika.

Nimewahi kusikia kikwazo ilikuwa TRC wakidhani ujenzi wake ungepunguza mapato kwa shirika (myopiaism). Kama kweli mtazamo ulikuwa huu basi tusahau maana wameingia TRL (Indian) ambao ndio wenyewe kucheza na corruption.
 
Back
Top Bottom