Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,007
- 9,873
Shule za Sekondari zilizoko mkoani Kigoma zinakabiliwa na uhaba wa madarasa 109 hali ambayo inafanya watoto 5,400 waliomaliza sekondari mwaka 2020 kushindwa kuanza kidato cha kwanza.
Shule za msingi na sekondari zinatarajiwa kufunguliwa Jumatatu, Januari 11. Mkuu wa wilaya ya Uvinza, Mwanamvua Mrindoko amesema wanaendelea kushirikiana na wananchi katika kujenga vyumba vya madarasa.
Wanafunzi ambao walipaswa kuanza kidato cha kwanza wanalazimika kusubiri hadi vyumba vya madarasa vikamilike. Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye ametaka mpango wa ujenzi wa madarasa kuwa endelevu.
Shule za msingi na sekondari zinatarajiwa kufunguliwa Jumatatu, Januari 11. Mkuu wa wilaya ya Uvinza, Mwanamvua Mrindoko amesema wanaendelea kushirikiana na wananchi katika kujenga vyumba vya madarasa.
Wanafunzi ambao walipaswa kuanza kidato cha kwanza wanalazimika kusubiri hadi vyumba vya madarasa vikamilike. Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye ametaka mpango wa ujenzi wa madarasa kuwa endelevu.