Kigoma: Uteuzi wa Mgwhira wafanya baadhi ya Viongozi wa ACT wajiunge na CHADEMA

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Pichani ni Viongozi wa Chadema Mkoa wa Kigoma wakiwapokea Viongozi na wanachama wa ACT wazalendo walioamua kujitoa katika chama chao baada ya kuchukizwa na kitendo cha Mwenyekiti wao wa Taifa na viongozi wao wa Kitaifa kukubali uteuzi wa Mkiti wao kuwa Mkuu wa Mkoa na kutekeleza ilani ya CCM.

Wamesema kitendo hicho ni kukisaliti chama, miongoni mwa wanachama hao kuna wengine wemeamua kuachana kabisa na siasa.
FB_IMG_1496843598414.jpg

FB_IMG_1496843613115.jpg
 
Viongozi mbalimbali wa chama cha ACT Wazalendo mkoani Kigoma, wameamua kujiondoa katika chama hicho na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na wengine kutangaza kuacha siasa kupinga kile walichokieleza kuwa hawakubaliani na Mwenyekiti wa Chama hicho kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa.
18952691_10154891856423640_4176938536641820156_n.jpg
Screenshot from 2017-06-07 17-28-10.png
 
Viongozi mbalimbali wa chama cha ACT Wazalendo mkoani Kigoma, wameamua kujiondoa katika chama hicho na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na wengine kutangaza kuacha siasa kupinga kile walichokieleza kuwa hawakubaliani na Mwenyekiti wa Chama hicho kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa.
View attachment 520814
Safi sana tuyakate kabisa matawi na machipukizi ya ccm
 
Back
Top Bottom