N nkongu ndasu JF-Expert Member Jan 19, 2013 22,532 6,613 Jun 7, 2017 #101 kwa kweli ni zaidi ya usaliti. eti mwenyekiti wa chama pinzani anakubali kwenda kutekeleza ilani ya chama asichokiamini itikadi yake mweh.
kwa kweli ni zaidi ya usaliti. eti mwenyekiti wa chama pinzani anakubali kwenda kutekeleza ilani ya chama asichokiamini itikadi yake mweh.
Isalia213 JF-Expert Member Nov 3, 2011 1,198 431 Jun 7, 2017 #102 Hiyo ni sawa na kenge kuogopa mvua na kukimbilia mtoni, huu ni mchezo tu wakuigiza kama bongo move
Zero Hours JF-Expert Member Apr 1, 2011 12,944 18,653 Jun 7, 2017 #103 Mi nafurahia nguvu wanayotumia kuuwa vtama vya siasa. Mwisho wa siku kutakuwa na CDM vs CCM tu. Vingne vinatupotezea ruzuku
Mi nafurahia nguvu wanayotumia kuuwa vtama vya siasa. Mwisho wa siku kutakuwa na CDM vs CCM tu. Vingne vinatupotezea ruzuku
Jerrymsigwa JF-Expert Member Jun 23, 2012 14,069 8,326 Jun 7, 2017 #104 Mbona naskia kwa Tanzania WAHA ndio kabila linaongoza kwa kuwa na msimamo?