J jnuswe JF-Expert Member Nov 2, 2010 1,270 549 Dec 11, 2013 #2 Mbona hapo paqnapitika kirahisi, CHADEMA NI MPANGO WA MUNGU
swagazetu JF-Expert Member Nov 28, 2013 4,251 1,467 Dec 11, 2013 #3 tatizo umeweka barrier wakati tumeshapita.cdm iko moyoni mwa mtu huwezi kuizuia physically
yaser JF-Expert Member Jan 23, 2012 1,362 299 Dec 11, 2013 #4 wachoraji wa kununuliwa hawa wameuweka kando ukweli kabisa.
taamu JF-Expert Member Dec 11, 2012 10,159 8,033 Dec 12, 2013 #5 Picha yajieleza tu berrier ni ndogo sana kujumlisha nguvu musuli na uimara wagagarimoshi.hakika hazuiliki.
Picha yajieleza tu berrier ni ndogo sana kujumlisha nguvu musuli na uimara wagagarimoshi.hakika hazuiliki.
Kennedy JF-Expert Member Dec 28, 2011 48,264 53,229 Dec 12, 2013 #6 Kigoma All Stars Bhuzebaba ya sasa sio ya zamani Kasulu ya leo imesonga mbele Iviligwa,mise Teh teh ha ha ha CDM imepokewa vema na wanaipenda unajua ni kama"MAJI" Usipooga,utakunywa,utanawa sasa utakwepaje hapo?
Kigoma All Stars Bhuzebaba ya sasa sio ya zamani Kasulu ya leo imesonga mbele Iviligwa,mise Teh teh ha ha ha CDM imepokewa vema na wanaipenda unajua ni kama"MAJI" Usipooga,utakunywa,utanawa sasa utakwepaje hapo?