Baba mmoja, mama mmoja matumbo mbalimbaliALL STARS wakigoma noma sana kama mbawanga
Mkuu nyumbani kule ndio msimu wa masika now. Mvua ni kama yoteKwani maeneo mengine mvua zina nyesha?
kumbe ndyo hvyo, na ndyo mana ikawapata mifugo yake, aiseee kigoma mwisho wa reli na vengneKwa tunaowajua Waha ( wana Kigoma ) vyema kabisa hiyo Radi lazima tu ilikuwa inaelekezwa kwa Mtu Mmoja na pengine hata na Kizazi chake chote Kiteketee mazima, sema tu imekuta na Yeye Mlengwa nae yupo vizuri ' Kindumba ' hivyo ' Kombora ' likaelekezewa kwa hiyo Mifugo.
RIP Mifugo Marehemu wote Pichani.
Kweli Mkuu, hiyo ilitumwa kwa mtu ila aliyetumiwa yuko vzr so imehamia kuua ng'ombe vinginevyo hapo ht kusingekuwa na ng'ombe chochote kingechanwa chanwa iwe mti au hata nyuma au aridhiKwa tunaowajua Waha ( wana Kigoma ) vyema kabisa hiyo Radi lazima tu ilikuwa inaelekezwa kwa Mtu Mmoja na pengine hata na Kizazi chake chote Kiteketee mazima, sema tu imekuta na Yeye Mlengwa nae yupo vizuri ' Kindumba ' hivyo ' Kombora ' likaelekezewa kwa hiyo Mifugo.
RIP Mifugo Marehemu wote Pichani.
Ah kumbe hao ng'ombe yaweza kua sio wa targeted person, kanakwamba ikishindwa kumpata mlengwa basi linaaungaka sehem yoyote kwabahat mbaya likawakuta ng'ombeKweli Mkuu, hiyo ilitumwa kwa mtu ila aliyetumiwa yuko vzr so imehamia kuua ng'ombe vinginevyo hapo ht kusingekuwa na ng'ombe chochote kingechanwa chanwa iwe mti au hata nyuma au aridhi
😂😂😂😂Wakulima wanatamani sana kuijua hii sayansi waweze kumaliza migogoro na wafugaji watata wanaolisha mazao yao.
Ndio maana wamasai katika mifugo kama Ng'ombe hawaendi bila yakuambatana na Kondoo...