KIGOMA: Nyumba ya tembe iliyounganishwa na umeme yazinduliwa na Waziri

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
IMG-20190326-WA0041.jpg
IMG-20190326-WA0040.jpg
IMG-20190326-WA0039.jpg

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ameizindua nyumba ya Rose Kagoma iliyounganishiwa umeme wa REA katika Kijiji cha Ruganga Wilayani Kibondo

Katika hafla hiyo iliyofanyika Machi 24 mwaka huu, Waziri Kalemani amewataka Wandarasi kutokubagua Wananchi kwenye mradi huo

Kijiji cha Rugunga kimeunganishiwa umeme kupitia mradi wa umeme Vijijini wamu ya tatu sehemu ya kwanza(REA)
 
Kiki zingine bhana.
Watu wako busy kabisa na jasho zinawatoka mbele ya kamera kuzindua uingizaji umeme kwa kaya moja!!

Yaan waziri kakosa mradi wa kuonyeshea sura kwa luninga hadi ameridhia kusaini hiyo death warrant kwa hiyo familia!!!

Nakupenda Tanzania
Waanze na kununua Magari ya fire na wayapeleke huku waliko funga umeme haraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ameizindua nyumba ya Rose Kagoma iliyounganishiwa umeme wa REA katika Kijiji cha Ruganga Wilayani Kibondo

Katika hafla hiyo iliyofanyika Machi 24 mwaka huu, Waziri Kalemani amewataka Wandarasi kutokubagua Wananchi kwenye mradi huo

Kijiji cha Rugunga kimeunganishiwa umeme kupitia mradi wa umeme Vijijini wamu ya tatu sehemu ya kwanza(REA)
Hapa iko hatari kubwa,hii nyumba inaweza waka moto saa yoyote, na sijui wale watu au wataalamu ya hii mambo ya umeme walisomea shule gani, na nani aliwafundisha hii mambo ya umeme, hii hi kuhatarisa maisha ya wananchi wanaoishi kweye hizi nyumba, mungu saidia hao watu, tutasuhudia mengi kweye hii serikali ya wamu ya tano
 
Back
Top Bottom