Kigoma, mkoa pekee nchini usiounganishwa kwa lami na mikoa mingine

MKEHA

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
714
1,137
Japo Kigoma ni mkoa mkongwe hapa nchini lakini bado miundombinu yake ni mibovu sana . Kigoma imepakana na Katavi, Kagera na Tabora.Lakini kufika katika mikoa hiyo lazima ule vumbi kwanza. Lakini pia Kigoma ipo jirani sana na ni lango kuu la kuingia nchi za DR Congo, Burundi, Zambia kupitia ziwa Tanganyika na Rwanda pia.

Hata mikoa iliyoanzishwa majuzi tu kama Simiyu, Katavi na Geita iko connected kwa barabara za rami. Nasikia hata standard gauge inaelekea Mwanza wakati mizigo iliyoko Congo mashariki na Burundi haina wachukuzi. Sijui Kigoma viongozi wanapachukuliaje jamani
 
Kigoma ukweni kwangu walahi nikiwa Sizonje lazima nipapatie upendeleo wa international airport na lami pamesahaulika sana ukweni kwangu
 
Sasa we ulitegemea nini kama Waha waliamua kuukataa upinzani kwa kushindwa kuwachagua na kuamua kurejea CCM kwa kuwapa kura za kishindo majimboni. Yaani toka majimbo 7 ya upinzani (2010-2015) hadi majimbo 2 (2015-2020)
 
Nimefika kigoma kwa mara ya kwanza na mengi yamenishangaza. Kwa wengi waliozoea maisha kama Dar, Mbeya, Mwanza, Moshi, Arusha mkija kigoma mtazimia. Huku maisha ya siku yanaanza saa 4 asubuhi. Ndo biashara zinafunguliwa !! Watu ni WAVIVU MNO. Nimefika restaurant saa 2.30 asubuhi kunywa chai nikajikuta peke yangu mteja . Wahudumu woote wakajua mi mgeni.
Ukimpa mtu elfu 5 bure anashangaaaa.
Hakuna taxi bali ni bajaji tuuu. Sikuona taxi yenye rangi ya mji. Barabara za mitaa ni mbovu mno. Mpaka unajiuliza halmashauri inatengeneza wapi?
Nulichokikuta ni ugomvi wa mbunge na viongozi wa serikali akisema anataka wateuliwe wenyeji (waha) tuu.
Amkeni kigoma. Hamuoni miji mingine wanavyochacharika?
 
Nimefika kigoma kwa mara ya kwanza na mengi yamenishangaza. Kwa wengi waliozoea maisha kama Dar, Mbeya, Mwanza, Moshi, Arusha mkija kigoma mtazimia. Huku maisha ya siku yanaanza saa 4 asubuhi. Ndo biashara zinafunguliwa !! Watu ni WAVIVU MNO. Nimefika restaurant saa 2.30 asubuhi kunywa chai nikajikuta peke yangu mteja . Wahudumu woote wakajua mi mgeni.
Ukimpa mtu elfu 5 bure anashangaaaa.
Hakuna taxi bali ni bajaji tuuu. Sikuona taxi yenye rangi ya mji. Barabara za mitaa ni mbovu mno. Mpaka unajiuliza halmashauri inatengeneza wapi?
Nulichokikuta ni ugomvi wa mbunge na viongozi wa serikali akisema anataka wateuliwe wenyeji (waha) tuu.
Amkeni kigoma. Hamuoni miji mingine wanavyochacharika?
Ww inawezekana syo mzm kiakili hata kama kigoma ilikuwa imesahaulika lkn watu wa kigoma niwachapakazi sana pia niwabunifu nawenye vipaji kama unavyoona kwenye mziki wasani wanaoitambulisha TZ kimataifa wote hutokea kigoma pia kwenye mpira, kwenye ngumi, na vipaji vingine lukuki kwahiyo usimee kwa uvivu kabisa watu wa kigoma syo wavivu.
 
Nimefika kigoma kwa mara ya kwanza na mengi yamenishangaza. Kwa wengi waliozoea maisha kama Dar, Mbeya, Mwanza, Moshi, Arusha mkija kigoma mtazimia. Huku maisha ya siku yanaanza saa 4 asubuhi. Ndo biashara zinafunguliwa !! Watu ni WAVIVU MNO. Nimefika restaurant saa 2.30 asubuhi kunywa chai nikajikuta peke yangu mteja . Wahudumu woote wakajua mi mgeni.
Ukimpa mtu elfu 5 bure anashangaaaa.
Hakuna taxi bali ni bajaji tuuu. Sikuona taxi yenye rangi ya mji. Barabara za mitaa ni mbovu mno. Mpaka unajiuliza halmashauri inatengeneza wapi?
Nulichokikuta ni ugomvi wa mbunge na viongozi wa serikali akisema anataka wateuliwe wenyeji (waha) tuu.
Amkeni kigoma. Hamuoni miji mingine wanavyochacharika?
Ww hu
Nimefika kigoma kwa mara ya kwanza na mengi yamenishangaza. Kwa wengi waliozoea maisha kama Dar, Mbeya, Mwanza, Moshi, Arusha mkija kigoma mtazimia. Huku maisha ya siku yanaanza saa 4 asubuhi. Ndo biashara zinafunguliwa !! Watu ni WAVIVU MNO. Nimefika restaurant saa 2.30 asubuhi kunywa chai nikajikuta peke yangu mteja . Wahudumu woote wakajua mi mgeni.
Ukimpa mtu elfu 5 bure anashangaaaa.
Hakuna taxi bali ni bajaji tuuu. Sikuona taxi yenye rangi ya mji. Barabara za mitaa ni mbovu mno. Mpaka unajiuliza halmashauri inatengeneza wapi?
Nulichokikuta ni ugomvi wa mbunge na viongozi wa serikali akisema anataka wateuliwe wenyeji (waha) tuu.
Amkeni kigoma. Hamuoni miji mingine wanavyochacharika?
Huo mkoa ulioenda ww sio kigoma labda ni huko kwenu hivi kuna wanaume wachapakazi kama waha?? Ulishasikia mkoa wa kigoma unasaidiwa chakula?? Mpaka kigoma unakua na ghala la chakula unazani kinatoka mbinguni au wanalima?? Unaposema saa mbili hotelini hakuna mtu kwahiyo unataka watu watoke makwao wakanywe chai hotelini hata kama yuko kwake?? Kuhusu barabara huoni serikali ina wakandarasi kila kona ya kigoma?? Hebu ww tutajie kwenu wapi kwanza kama sio tanga sijui. Nenda mwanza kaulize wafanyabiashara waha ni watu gani katika biashara.kila mkoa uliza waha utaambiwa ni wanaume pekee wasiotumia viagra tangu dunia iumbwe kitu Og..
 
Ww inawezekana syo mzm kiakili hata kama kigoma ilikuwa imesahaulika lkn watu wa kigoma niwachapakazi sana pia niwabunifu nawenye vipaji kama unavyoona kwenye mziki wasani wanaoitambulisha TZ kimataifa wote hutokea kigoma pia kwenye mpira, kwenye ngumi, na vipaji vingine lukuki kwahiyo usimee kwa uvivu kabisa watu wa kigoma syo wavivu.
Mkuu, alichosema uliyemjibu ni tofauti na ulichojibu! yeye amesemea hali ilivyo mtu akifika Kgm, wewe unaelezea wasanii! hawa wasanii wanakaa kgm? wamefanya nini kuibadilisha kgm? usikurupuke!
 
Japo Kigoma ni mkoa mkongwe hapa nchini lakini bado miundombinu yake ni mibovu sana . Kigoma imepakana na Katavi, Kagera na Tabora.Lakini kufika katika mikoa hiyo lazima ule vumbi kwanza. Lakini pia Kigoma ipo jirani sana na ni lango kuu la kuingia nchi za DR Congo, Burundi, Zambia kupitia ziwa Tanganyika na Rwanda pia.

Hata mikoa iliyoanzishwa majuzi tu kama Simiyu, Katavi na Geita iko connected kwa barabara za rami. Nasikia hata standard gauge inaelekea Mwanza wakati mizigo iliyoko Congo mashariki na Burundi haina wachukuzi. Sijui Kigoma viongozi wanapachukuliaje jamani
Hata wa nchi jirani wakiingia kupitia ziwani wanakula vimbi??
 
Kigoma ni mahala salama na pazuri sana na wamepiga hatua kujitegemea kimaendeleo
. fursa ni nyingi na wamebarikiwa. nimefika huko juzi. Asije mtu hapa jukwaani akaanza kudanganya watu. tuache tabia chafu za kutaka kuigombanisha serikali na watu wake.

kwa sasa kigoma inaenda kuwa na barabara mkuu 3 za lami ifikapo 2020. Ile ya kutoka tabora hadi kigoma na ya kutoka geita/kagera kigoma. na ya mwisho ni Ile ya kutoka katavi hadi kigoma.
 
Kigoma ni mahala salama na pazuri sana na wamepiga hatua kujitegemea kimaendeleo
. fursa ni nyingi na wamebarikiwa. nimefika huko juzi. Asije mtu hapa jukwaani akaanza kudanganya watu. tuache tabia chafu za kutaka kuigombanisha serikali na watu wake.

kwa sasa kigoma inaenda kuwa na barabara mkuu 3 za lami ifikapo 2020. Ile ya kutoka tabora hadi kigoma na ya kutoka geita/kagera kigoma. na ya mwisho ni Ile ya kutoka katavi hadi kigoma.
Nakubaliana na wewe kabisa, lakini hata hivyo naona kama vile tumechelewa sana. Kwanini mikoa ya juzi iwe na barabara za lami za.kuunganisha mikoa hiyo huku mkoa mkongwe Kigoma ukiwa bado
 
Kigoma ni mahala salama na pazuri sana na wamepiga hatua kujitegemea kimaendeleo
. fursa ni nyingi na wamebarikiwa. nimefika huko juzi. Asije mtu hapa jukwaani akaanza kudanganya watu. tuache tabia chafu za kutaka kuigombanisha serikali na watu wake.

kwa sasa kigoma inaenda kuwa na barabara mkuu 3 za lami ifikapo 2020. Ile ya kutoka tabora hadi kigoma na ya kutoka geita/kagera kigoma. na ya mwisho ni Ile ya kutoka katavi hadi kigoma.
Tangu mwaka 1961 (uhuru) hizo barabara 3 ndiyo zilikuwa zinajengwa na zitakamilika ifikapo 2020? If not, tatizo lilikuwa nini kwa Kigoma?
 
Japo Kigoma ni mkoa mkongwe hapa nchini lakini bado miundombinu yake ni mibovu sana . Kigoma imepakana na Katavi, Kagera na Tabora.Lakini kufika katika mikoa hiyo lazima ule vumbi kwanza. Lakini pia Kigoma ipo jirani sana na ni lango kuu la kuingia nchi za DR Congo, Burundi, Zambia kupitia ziwa Tanganyika na Rwanda pia.

Hata mikoa iliyoanzishwa majuzi tu kama Simiyu, Katavi na Geita iko connected kwa barabara za rami. Nasikia hata standard gauge inaelekea Mwanza wakati mizigo iliyoko Congo mashariki na Burundi haina wachukuzi. Sijui Kigoma viongozi wanapachukuliaje jamani
Naaam, ni kweli. Nchi hii ilitengwa sehemu mbili rasilimali zote zikapelekwa Kaskazini ambako sasa wanakufuru eti CCM haifai. Ni CCM pekee ndiyo mkombozi wa maeneo yaliyosahaulika. Viongozi nyeti - pamoja na Waziri Mkuu na mawaziri wa ujenzi na elimu na fedha nk wote walivutia kwako. Ni sasa tu unawakuta kina Ndalichako ba Magufulu na Nchemba na Kassim Majaliwa ndiyo wanaibuka kutojea sehemu ziluzoachwa. Kigoma itawini.
 
Ww inawezekana syo mzm kiakili hata kama kigoma ilikuwa imesahaulika lkn watu wa kigoma niwachapakazi sana pia niwabunifu nawenye vipaji kama unavyoona kwenye mziki wasani wanaoitambulisha TZ kimataifa wote hutokea kigoma pia kwenye mpira, kwenye ngumi, na vipaji vingine lukuki kwahiyo usimee kwa uvivu kabisa watu wa kigoma syo wavivu.
ameongea ukweli kabisa....kigoma saa 2.30 kigoma catering huwezi kuta chakula.....hata maduka ni machache sana yanakuwa yamefunguliwa....hawana uchapakazi wowote...labda ambao sio hawakai kigoma
 
Back
Top Bottom