Kigoma mjini, wapi pa kuosha macho wakuu

Si kweli mkuu!!
Embu taja ujiji sehemu gani?
Maana ujiji kubwa, mfano buzebaze, vamia, majengo, kitongoni, rutale, bimala au katonyanga?
Nimekaa pale Met miaka zaidi ya 4. Ukianzia Met nenda mpaka buzebazeba then nyooka hadi kule msikiti wa swahibu zamani kwa mbele kule. Njia za karibu na Ahlulbayt pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2876167_IMG_20210421_132527_2.jpg
View attachment 1886688

View attachment 1886687
Ninatamani sana kupata kiwanja maeneo hayo hasa kule bangwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekaa pale Met miaka zaidi ya 4. Ukianzia Met nenda mpaka buzebazeba then nyooka hadi kule msikiti wa swahibu zamani kwa mbele kule. Njia za karibu na Ahlulbayt pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Ayo mambo ya kuvunja nazi et kila siku mkuu naendelea kupiga atlist ungesema kipindi cha uchaguzi ningeunga mkono, uko met kote napapata inshort ujiji naifahamu vizur
 
Ayo mambo ya kuvunja nazi et kila siku mkuu naendelea kupiga atlist ungesema kipindi cha uchaguzi ningeunga mkono, uko met kote napapata inshort ujiji naifahamu vizur
Mkuu. Sawa tu kama unapinga. Ila hiyo ni personal observation yangu, hicho ndicho nilichokiona na sina sababu ya kudanganya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo Kigoma mjini kikazi kwa wiki moja,
Naomba kufahamu ni wapi panafaa kuosha macho wakuu.
Pawe sehemu tulivu na iliyostaarabika na pa kupaha macho..
Hahaha najua nimeeleweka.
@

Chukua boda uje kidiama nipo hapa kuna party wanakaribisha mkurugenzi mpya
 
Hilo sijaliona.
Mji bado sana.
Fursa za ziwa zuri la maji baridi naona haijatumika vizuri.
Wana fukwe nzuri sana lkn hawatengeneza beach za viwango.
Nimependa sana fukwe taamu mno kwa asili lkn hawajawekeza vizuri wangefaidi.

Barabara za mjini ni nzuri tu

Sehemu za starehe hazibambi kivile.

Si wajua Waha wabahili?
Mi nataka nianze kujongea Mdogo Mdogo the wallet...kumbe hakuambi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom