kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Hatimaye Zitto kabwe kaja kuhakikisha mbunge wa Kigoma mjini anapata haki yake. Chadema imeshinda viti 13 vya udiwani kati ya viti 19. Inasemekana kua unataka kufanyika mchezo wa kuchakachua wakati tayari wananci wanayo matokeo kamili. Zitto ndani ya nyumba hadi kieleweke