wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,048
- 2,442
Mimi nikiwambia watu hata huyu mzito wa kabwela ni mzaliwa wa zairwaa hawanielewi. Sasa kidogo kidogo tutaelewana tuKigoma unanweza kuta nusu ya wakazi sio raia
Mimi nikiwambia watu hata huyu mzito wa kabwela ni mzaliwa wa zairwaa hawanielewi. Sasa kidogo kidogo tutaelewana tuKigoma unanweza kuta nusu ya wakazi sio raia
Sio masuala ya kuongea suala kubwa ni kuwa mtanzania mwenye sifa zote hiyo ndiyo logic.Sio kweli,Kigoma,Kagera, Tunduma,Mtambaswala Mtwara,wakazi wa hayo maeneo,wanafanana kila kitu na watu wanchi jirani,
Mijtu iliyozaliwa Kerege bagamoyo,Tandale haya hamuyajuhi,Lugha ya Kiha na Kirundi zinafanana,Kiwembwa Cha zambia na lugha ya wakazi wa Tunduma zinafanana,Kagera,Rwanda,Uganda,ukifika kyaka,au murongo boda,hata upande wa TZ watu wanaongea Kiganda,kinyankore,vitu vya kawaida,sasa unataka mkazi,mzaliwa wa Karagwe aongee kama Mzalamo wa Kerege,manzese?
... hadi kufikia maamuzi mahakama itakuwa ilizingatia yote hayo. Lugha kufanana sio kigezo cha kuwa raia. Waliomteua na kumpitisha walipaswa wazingatie yote hayo. Tukitumia sababu hiyo kuna siku interahamwe watajaa kila mahali nchini kwa kigezo cha lugha kufanana.Sio kweli,Kigoma,Kagera, Tunduma,Mtambaswala Mtwara,wakazi wa hayo maeneo,wanafanana kila kitu na watu wanchi jirani,
Mijtu iliyozaliwa Kerege bagamoyo,Tandale haya hamuyajuhi,Lugha ya Kiha na Kirundi zinafanana,Kiwembwa Cha zambia na lugha ya wakazi wa Tunduma zinafanana,Kagera,Rwanda,Uganda,ukifika kyaka,au murongo boda,hata upande wa TZ watu wanaongea Kiganda,kinyankore,vitu vya kawaida,sasa unataka mkazi,mzaliwa wa Karagwe aongee kama Mzalamo wa Kerege,manzese?
Kile cha kupita bila kupingwaChama gani?
Ukiwa na juhudi binafsi za kuwashughulikia na kuwaumiza wapinzani teuzi utazikimbiaMwendazake aliharibu sana idara zote zilikuwa kwenye flight ✈️ mode; wasio na vigezo ikiwemo cha uraia walipenya bila kuhoji achana na kutokupngwa.
Ongea taratibu mkuu usije kumletea mwenzio msala.Homeboy Zito anasemaje mana kwa Mpango alitoa Povu kinoma
Hilo nalo la kuuliza man? Chama tawalaChama gani?