Imetokea ajali mbaya Kigoma njia ya Uvinza Kijiji cha Mulela.
Mpaka sasa nimeshuhudia maiti saba.
Hiace imepasua tairi na kupinduka
Majeruhi wamepelekwa Hospitali ya Maweni
Hiace ilikua imetoka Uvinza kwenda kigoma mjini
Kwa mujib wa mashuhud Hiace mbil zilikua zinakimbizana zote za kampun moja baada ya kutoka Mwamila kuelekea Kigoma mjini
Uwokozi unaendelea
Stay tuned
======
Kamanada wa Polisi Mkoani Kigoma Martin Ottieno ameiambia JamiiForums kwamba, Gari ya abiria namba T247 DMG Toyota Hiace inayofanya safari zake kati Kigoma na Uvinza, imepata ajali na kupinduka mara tatu baada ya tairi ya nyuma kupasuka muda wa saa kumi na mbili na robo jioni.
Ajali hii imesababisha vifo vya watu saba kati yao Wanaume ni wanne na Wanawake ni Watatu. Vilevile wapo Majeruhi 12 ambao Wanaume ni 8, Wanawake 2 na Watoto Wawili.
Majeruhi wote wamepelekwa Hospitali ya Mkoa ya Maweni.
Mpaka sasa nimeshuhudia maiti saba.
Hiace imepasua tairi na kupinduka
Majeruhi wamepelekwa Hospitali ya Maweni
Hiace ilikua imetoka Uvinza kwenda kigoma mjini
Kwa mujib wa mashuhud Hiace mbil zilikua zinakimbizana zote za kampun moja baada ya kutoka Mwamila kuelekea Kigoma mjini
Uwokozi unaendelea
Stay tuned
======
Kamanada wa Polisi Mkoani Kigoma Martin Ottieno ameiambia JamiiForums kwamba, Gari ya abiria namba T247 DMG Toyota Hiace inayofanya safari zake kati Kigoma na Uvinza, imepata ajali na kupinduka mara tatu baada ya tairi ya nyuma kupasuka muda wa saa kumi na mbili na robo jioni.
Ajali hii imesababisha vifo vya watu saba kati yao Wanaume ni wanne na Wanawake ni Watatu. Vilevile wapo Majeruhi 12 ambao Wanaume ni 8, Wanawake 2 na Watoto Wawili.
Majeruhi wote wamepelekwa Hospitali ya Mkoa ya Maweni.