Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Kigogo huyo wa chama cha magamba wilayani Sumbawanga amemshushia kipigo kizito mke wake wa ndoa aitwaye Tuli Mwakibinda chanzo cha kipigo ni sms iliyo ingia kwa Tuli wkt wakiwa wamejipumnzisha sebuleni. Kigogo huyo ambae ni maarufu sana mjini Sumbawanga aliomba simu ya mkewe asome sms iliyo ingia usiku Tuli alikataa jambo lililo muuzi kigogo huyo wa magamba na kuanza kujifunzia kung fu kwa mkewe kana kwamba anajiandaa kwenda kupambana na wafuasi wa CHADEMA. Baada ya kipigo kizito Tuli alikimbizwa hospitali ya Serikali Sumbawanga jitiada za madaktari kuokoa roho ya Tuli ziligonga mwamba na kufariki tar.06/09/2011 asubuhi akiwa anapatiwa matibabu kutokana na kipigo cha mmewe.
Tuli alikuwa ni nesi katika hospitali ya Sumbawanga.
Mpaka sasa hivi kigogo huyo wa chama cha magamba yupo mikononi mwa vyombo vya usalama wao wanadai kaua bila kukusudia. Je kile kipigo alicho kuwa anamshushia alitegemea nini? Lengo lake lilikuwa kumwaribu sura ya mapokezi lakini bahati mbaya akawa ana ruka mpaka za masoti na kumuumiza tumbo Tuli.
Pumnzika kwa amani Tuli
Mwanga wa milele umwangazie.
Amina
Tuli alikuwa ni nesi katika hospitali ya Sumbawanga.
Mpaka sasa hivi kigogo huyo wa chama cha magamba yupo mikononi mwa vyombo vya usalama wao wanadai kaua bila kukusudia. Je kile kipigo alicho kuwa anamshushia alitegemea nini? Lengo lake lilikuwa kumwaribu sura ya mapokezi lakini bahati mbaya akawa ana ruka mpaka za masoti na kumuumiza tumbo Tuli.
Pumnzika kwa amani Tuli
Mwanga wa milele umwangazie.
Amina