YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Katumia uhuru wake wa kidemokrasia.Mimi Kama mwana CCM nichukue nafasi hii kumpongeza mwenyekiti Wa chadema Taifa mheshimiwa Mbowe , kamati kuu ya chadema Taifa ,katibu mkuu Chadema mheshimiwa Dr Mashinji na chief whip wa Upinzani bungeni mheshimiwa Tundu Lisu ,meya Jacob na wanachadema wote nichukue nafasi hii kuwapongeza kwa kumpokea kigogo toka CCM.Ujio wa kigogo huyo unadhihirisha jinsi Sera zenu zinavyokubalika Hadi kwa vigogo Kama huyo aliyehamia kwenu.Hongereni