Hili tatizo la kuweka “U” panapohitajika “HU” na “HU” panapohitajika “U” linazidi kuota mizizi JF na linakera kinoma yani!
Una hoja lakini unamchosha msomaji inabidi mtu kujiongeza ili ku-catch ulichomaanisha sasa huo muda wa kufanya hivyo uko wapi?jirekebisheni!!!
Mimi huyo kigogo hata sijawahigi ku mu follow maana siko Twitter hata kumshambulia sana magufuli baadhi ya vitu vya magufuli alikuwa ananikera kweli kweli hasa kushabikia ugonjwa wake, na baada ya magufuli kufa ili asipotee akajifamya timu CDM damudamu vile nao walikuwa Wana mchukia magufuli. So mtu yoyote anayeshambulia wengine ukiwa rafiki naye ni swala la mda tu na yeye kukugeuka.Mwanzo hakuwa akishambulia watu? Ama watu ni wale wa chadema tu
Kigogo ni mpumbavu tu! Anajifanya mjuaji kumbe mjinga!
nenda Twitter kamkemee. Kama hujui handle yake tukupe.Mshamba ni nani?
Mshamba ni yule anayejificha nyuma ya kibodi na kuwashambulia wengine au anapambana kwa kujitokeza na kuongea bila kupepesa macho kama Tundu Lissu anavyofanya?
Mshamba ni nani yule aliyeanza kupigania haki toka akiwa shule ya msingi, Sekondari, JKT na kuendelea au yule aliyeanza kujificha nyuma ya kibodi baada ya serikali kuvunja nyumba yake Kimara?
Mshamba ni yupi? Ambaye anaweza kumtukana kila mtu kisa tu kamkosoa au ni yule anayetumia hoja kujibu hoja za wale wote wanaomshambulia?.
Kuwablock watu wanaomkosoa kwenye post zake sio ushamba? Yaani mtu anapokukosoa ni adui yako wewe ni malaika Mbona Tundu Lissu hata Siro hajawai kumtukana ila uwa anamjibu kwa hoja?
Kwangu Mimi mshamba ni yule asiyejua anafanya nini, Anataka nini, Anapataje lini na wapi? Kumtukana kila mtu ni ushamba sana.
Imagine mtu anamtukana na kumzalilisha mtoto kama Zuchu au Nandy watu ambao hawaelewi maana ya siasa ni nini baada ya kuwapa elimu ya uraia wewe unatoka kuwatukana tu and you don't care!
Kwa taarifa Kigogo ni mtoto mdogo mno kwenye siasa za nchi hii harakati zako hazijafikisha hata miaka 10 wakati Tundu Lissu ameanza harakati miaka ya 1990 wewe jiulize ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini?
Kigogo awaulize waliokuwepo kwenye utawala wa Mkapa walivyopambana na Tundu Lissu na Lissu kushinda miaka huyo hata twitter ilikuwa hakuna.
Waulize waliojaribu kumhonga Tundu Lissu kwenye utawala wa Mkapa ili aache kuwatetea watu waliokuwa wanatolewa maeneo ya migodi kwa nguvu kwenye mikoa ya Shinyanga, Mpanda, Tabota, Geita, Mara na Kagera watakupa majibu.
Lissu angekuwa mshamba si angechukua tu pesa za wazungu na kuachana na kuwatetea wananchi?
Tundu lissu miaka yote amekuwa akifanya kazi field tena akiwa sambamba na mke wake akiwa front line kabisa nafikiri hata mwaka Jana alipokuja kufanya kampeni bado mliona alivyokuwa akisumbuana na Police kule Nyamongo na kwingine.
Sasa wewe ndugu yetu unamuita mtu mshamba ambaye yupo ulaya kwa kufanyiwa operation zaidi ya 25 baada ya kupigwa risasi halafu wewe upo ulaya nyuma ya kibodi.
Afadhari Lissu hata akifa leo Mungu akipenda historia ya Maisha yake tayari kashaimaliza historia aliyonayo ni kubwa mno.
Washamba ujificha, Washamba upanic, Washamba ujifanya wanajua kila kitu ili wasikosolewe, Washamba uzusha, hakika Washamba wakikosa ajenda ya kusimamia uwa wanaona kila binadamu ni adui wa maendeleo yao.
Wanaharakati wote duniani uwa hawapambani na mtu uwa wanapambana na mifumo, Jifunze kwa wanaharakati kama wakina Martin Luther King JR na wengine walipambana na mifumo na wakaja kushinda hata kama walikuwa hawapo tena.
Yaani unamtukana Tundu Lissu halafu unamsifia Mbowe? Wakati Mbowe na Tundu Lissu ufahamu hata walikutana vipi?
Kama wewe ni mwanamageuzi kweli njoo na I'd yako original na uje front line uongoze maandamano unayoyapigia kelele, njoo uanzishe chama ukiendeshe kiwe kikubwa kama angalau ACT.
Lissu mageuzi na mapambano aliyoyafanya yanatosha kabisa hata leo akistaafu siasa ila najiuliza kigogo ameshafanya kitu gani zaidi ya kutukana watu?
Mambo ya kuita watu washamba ni ushamba pia.
View attachment 1879158View attachment 1879160
Ni mda sasa CDM kujifunza ka kipindi kile walimwamini Mange kumbe garasha mimi nilishangaa tena kuona CDM wanaji attach na kigogo ambaye ana agenda zake binafsiWhat gies round come round.
Acheni Kigogo akosoe shabiki zake wapambanaji uchwala.
ni kweli cdm nilijua tu wanataka bifu ili waendelee kupiga michango ya faini za mahakama, na pia ili akina Lissu na Lema wachangishe michango wakiwa ughaibuni. Umeona baada ya Mbowe kukamatwa wameanza kuchangishana eti ili wapate pesa za kuzunguka duniani. Bila heka heka za cdm vs polisi cdm hawawezi kupata mloNasimama na Kigogo, katika siku 100 za kwanza CDM walikuwa ndiyo wanufaika wakuu wa uongozi wa Samia mpaka humu ndani kuna thread inasema "Je Samia ni CHADEMA".
Na wakamsifia kuwa anaupiga mwingi. Kama Mbowe angekuwa na busara kidogo alipaswa amu handle Rais SSH kwa namna alivyo. Yaani kama mtu ni brutal na wewe unakuwa brutal. Kama mtu ni muungwana unampinga kiungwana. Wame mu approach Mama kwa kiburi na dharau sana mpaka wanataka wampangie ratiba ya lini akutane na CDM.
Hiyo miscalculation imeirudisha CDM miaka 10, take it from me
What I like about kigogo ni jinsi dishi lake linavyoyumba na kuyumbisha followers wakeKigogo ni mpumbavu tu! Anajifanya mjuaji kumbe mjinga!
Nataka nikuoe!Umeshaolewa na Tundu tayari
Mpuuzi sana huyu! Anataka kuabudiwa kama walivyo madikteta wengine!Kigogo ni mpenda attention, sasa siku hizi akiangalia anaona umaarufu umekwisha baada ya kuondoka na Mwendazake. Anatapa tapa.
Utoto mwingi sana mpaka anaboa.Mpuuzi sana huyu! Anataka kuabudiwa kama walivyo madikteta wengine!
Sasa atambue kuwa he can't fool all the people all the time!What I like about kigogo ni jinsi dishi lake linavyoyumba na kuyumbisha followers wake
kuna wakati ccm wanamchuKia, na kina wakati chadema wanamchukia
for very same reasons
maybe wenye shida ni sisi wapambe
TOO LATE,,KWANI AMETENGEZA CHUKI HADI MAGUFURI HADI AKAUWAWA,,HUKU AKINA SSH WAKIMUAHIDI VYEO ,SAAA HATA VYEO AMEKOSWA NA CAHEDMA HAWAMUUNGI MKONO WAMEBAKI KUBANANA..HADI WANAANZA KUMKUMBUKA MAGUFURISasa atambue kuwa he can't fool all the people all the time!
Poor chadema, wanachama milioni 8 mutawapata wapi, tokeni uwanjani tuone kama muko milioni 8 kweli mwenyekiti wenu kashikwa, acheni maneno maneno ya kwenye kanga, Zanzibar imekupiteni mara 1000 zaidi kwa siasa zenu hizi za kishambaSasa kama chadema imekufa mnahangaika nayo ya nini ?
Chama kilichokufa unaweza pambana nacho?
Njoo field ucheki mziki uliopo yaani kanda ya ziwa 2025 ccm itafutwa kabisa.
Hakuna mtanzania anaweza kuandamana wewe unatoka watu waandamane wavunjwe miguu? Wakati kigogo mwenyewe yupo nyuma ya keyboard kuhamasisha vurugu?
Hatuingii kwenye mtego huo tutapambana na uchaguzi ujao ndio mtajua sasa nguvu ya umma ilipo endeleeni kujidanganya.
Mm nilishaachana na habari za Kigogo siku nyingi, ata huko Twitter nilisha unfollow akaunt yake,Mshamba ni nani?
Mshamba ni yule anayejificha nyuma ya kibodi na kuwashambulia wengine au anapambana kwa kujitokeza na kuongea bila kupepesa macho kama Tundu Lissu anavyofanya?
Mshamba ni nani yule aliyeanza kupigania haki toka akiwa shule ya msingi, Sekondari, JKT na kuendelea au yule aliyeanza kujificha nyuma ya kibodi baada ya serikali kuvunja nyumba yake Kimara?
Mshamba ni yupi? Ambaye anaweza kumtukana kila mtu kisa tu kamkosoa au ni yule anayetumia hoja kujibu hoja za wale wote wanaomshambulia?.
Kuwablock watu wanaomkosoa kwenye post zake sio ushamba? Yaani mtu anapokukosoa ni adui yako wewe ni malaika Mbona Tundu Lissu hata Siro hajawai kumtukana ila uwa anamjibu kwa hoja?
Kwangu Mimi mshamba ni yule asiyejua anafanya nini, Anataka nini, Anapataje lini na wapi? Kumtukana kila mtu ni ushamba sana.
Imagine mtu anamtukana na kumzalilisha mtoto kama Zuchu au Nandy watu ambao hawaelewi maana ya siasa ni nini baada ya kuwapa elimu ya uraia wewe unatoka kuwatukana tu and you don't care!
Kwa taarifa Kigogo ni mtoto mdogo mno kwenye siasa za nchi hii harakati zako hazijafikisha hata miaka 10 wakati Tundu Lissu ameanza harakati miaka ya 1990 wewe jiulize ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini?
Kigogo awaulize waliokuwepo kwenye utawala wa Mkapa walivyopambana na Tundu Lissu na Lissu kushinda miaka huyo hata twitter ilikuwa hakuna.
Waulize waliojaribu kumhonga Tundu Lissu kwenye utawala wa Mkapa ili aache kuwatetea watu waliokuwa wanatolewa maeneo ya migodi kwa nguvu kwenye mikoa ya Shinyanga, Mpanda, Tabota, Geita, Mara na Kagera watakupa majibu.
Lissu angekuwa mshamba si angechukua tu pesa za wazungu na kuachana na kuwatetea wananchi?
Tundu lissu miaka yote amekuwa akifanya kazi field tena akiwa sambamba na mke wake akiwa front line kabisa nafikiri hata mwaka Jana alipokuja kufanya kampeni bado mliona alivyokuwa akisumbuana na Police kule Nyamongo na kwingine.
Sasa wewe ndugu yetu unamuita mtu mshamba ambaye yupo ulaya kwa kufanyiwa operation zaidi ya 25 baada ya kupigwa risasi halafu wewe upo ulaya nyuma ya kibodi.
Afadhari Lissu hata akifa leo Mungu akipenda historia ya Maisha yake tayari kashaimaliza historia aliyonayo ni kubwa mno.
Washamba ujificha, Washamba upanic, Washamba ujifanya wanajua kila kitu ili wasikosolewe, Washamba uzusha, hakika Washamba wakikosa ajenda ya kusimamia uwa wanaona kila binadamu ni adui wa maendeleo yao.
Wanaharakati wote duniani uwa hawapambani na mtu uwa wanapambana na mifumo, Jifunze kwa wanaharakati kama wakina Martin Luther King JR na wengine walipambana na mifumo na wakaja kushinda hata kama walikuwa hawapo tena.
Yaani unamtukana Tundu Lissu halafu unamsifia Mbowe? Wakati Mbowe na Tundu Lissu ufahamu hata walikutana vipi?
Kama wewe ni mwanamageuzi kweli njoo na I'd yako original na uje front line uongoze maandamano unayoyapigia kelele, njoo uanzishe chama ukiendeshe kiwe kikubwa kama angalau ACT.
Lissu mageuzi na mapambano aliyoyafanya yanatosha kabisa hata leo akistaafu siasa ila najiuliza kigogo ameshafanya kitu gani zaidi ya kutukana watu?
Mambo ya kuita watu washamba ni ushamba pia.
View attachment 1879158View attachment 1879160
Alitakiwa asubiri kidogo walau hata miezi sita au mwaka mmoja aangalie uelekeo wa Mama sasa mtu hata siku mia bado wewe unasema iwe isiwe sasa tuone kama itakuwaKwahiyo wewe unatoka njia ipi itumike kudai katiba?
Wakati umeshaambiwa katiba isubiri kwanza?
Shauri njia gani sio kulaumu tu watu hapa!!