Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
OMOWameiba nini?
Ni Wachagga tu wanaiba?
Vyasaka mna taabu kweli: badala ya kutafuta mali mnawatafuta Wachagga wakati sisi Wachagga tupo busy kutafuta Mali.
Oooh Wachagga wezii sijui ninii!
Tukamateni basi ninyi mbw***.
Umasikini na inferiority complex inawasumbua sana.
Niambie ni Wachagga wangapi wamepatwa na hatia na wapo jela!
Wachagga wangapi walikuwa kwenye kashfa na wakahukumiwa na wapo jela.
Zungumza kwa data siyo unafiki wenu na husda uliyojaa chuki na fitna zenu za kishenzi