Tetesi: Kigogo aliyeruhusu wanyama kusafirishwa nje ya nchi ameshapigwa chini!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,316
24,183
Kongole Rais Samia!
Kweli serikali yako ni sikivu kwa masuala ya kitaifa.

Kuna tetesi zimeenea Wizara ya Maliasili na Utalii, kuwa kigogo (tuite ligogo) aliyerasimu na kutoa ruhusa kunyume na taratibu za wakuu wake , kutoa vibali kwa makampuni fulani fulani kusafirisha wanyama nje ya nchi, ameshatemwa rasmi.

Kigogo huyo aliamua kwa maslahi yasiyojulikana na zaidi ya hapo alitengua Bodi zinazosimamia Mali Asili za nchi katika Wizara hiyo.

Tukumbuke Waziri Pindi Chana alivyokuja juu na kutengua ruhusa hiyo kama mwewe aliyemwangukia huyo kigogo.

Kigogo huyo "amepngiwa kazi nyingine"

Waziri Pindi Chana-Maliasili na Utalii
1656421255842.png
 
Kongole Rais Samia!
Kweli serikali yako ni sikivu kwa masuala ya kitaifa.

Kuna tetesi zimeenea Wizara ya Mali Asili , Misitu na Utalii, kuwa kigogo (tuite ligogo) aliye rasimu na kutoa ruhusa kunyume na taratibu za wakuu wake , kutoa vibali kwa makampuni fulani fulani kusafirisha wanyama nje ya nchi, ameshatemwa rasmi.

Kigogo huyo aliamua kwa maslahi yasiyojulikana na zaidi ya hapo alitengua Bodi zinazosimamia Mali Asili za nchi katika Wizara hiyo.

Tukumbuke Waziri Pindi Chana alivyokuja juu na kutengua ruhusa hiyo kama mwewe aliyemwangukia huyo kigogo.
Kigogo huyo "amepngiwa kazi nyingine"

Waziri Pindi Chana-Mali Asili Misitu na Utalii
View attachment 2275490
Upuuzi mtupu..
Watu wange kaa kimya inge kuwaje?
Serikali ya matukio
 
Kongole Rais Samia!
Kweli serikali yako ni sikivu kwa masuala ya kitaifa.

Kuna tetesi zimeenea Wizara ya Maliasili na Utalii, kuwa kigogo (tuite ligogo) aliyerasimu na kutoa ruhusa kunyume na taratibu za wakuu wake , kutoa vibali kwa makampuni fulani fulani kusafirisha wanyama nje ya nchi, ameshatemwa rasmi.

Kigogo huyo aliamua kwa maslahi yasiyojulikana na zaidi ya hapo alitengua Bodi zinazosimamia Mali Asili za nchi katika Wizara hiyo.

Tukumbuke Waziri Pindi Chana alivyokuja juu na kutengua ruhusa hiyo kama mwewe aliyemwangukia huyo kigogo.

Kigogo huyo "amepngiwa kazi nyingine"

Waziri Pindi Chana-Maliasili na Utalii
View attachment 2275490
Hii ndo tz ya kuongopa ,mtu kaaribu sehem flani unampangia KAZI nyingine Ili iweje, KWa hakuna watz wengine wajifanya KAZI izo
 
Ile barua ilielekeza wazi kuwa serikali kupitia wizara imeruhusu usafilishaji wa wanyama pori. Mi naona reaction ya wananchi ndio iligeuza upepo ila pindi chana alihusika moja kwa moja kwenye uchafu huu. Any way nje ya maada huyu mmemtumbua,

Vipi yule aliyewashauri wa Oman wanunue limeli likubwa la kusafirisha wanyama kutoka Tanzania???
 
Kongole Rais Samia!
Kweli serikali yako ni sikivu kwa masuala ya kitaifa.

Kuna tetesi zimeenea Wizara ya Maliasili na Utalii, kuwa kigogo (tuite ligogo) aliyerasimu na kutoa ruhusa kunyume na taratibu za wakuu wake , kutoa vibali kwa makampuni fulani fulani kusafirisha wanyama nje ya nchi, ameshatemwa rasmi.

Kigogo huyo aliamua kwa maslahi yasiyojulikana na zaidi ya hapo alitengua Bodi zinazosimamia Mali Asili za nchi katika Wizara hiyo.

Tukumbuke Waziri Pindi Chana alivyokuja juu na kutengua ruhusa hiyo kama mwewe aliyemwangukia huyo kigogo.

Kigogo huyo "amepngiwa kazi nyingine"

Waziri Pindi Chana-Maliasili na Utalii
View attachment 2275490
hatuna policies ? kama zipo mbona hatujamwona huyo kigogo akipandishwa kizimbani? sisi ni watu wazima sheikh !!
 
Kongole Rais Samia!
Kweli serikali yako ni sikivu kwa masuala ya kitaifa.

Kuna tetesi zimeenea Wizara ya Maliasili na Utalii, kuwa kigogo (tuite ligogo) aliyerasimu na kutoa ruhusa kunyume na taratibu za wakuu wake , kutoa vibali kwa makampuni fulani fulani kusafirisha wanyama nje ya nchi, ameshatemwa rasmi.

Kigogo huyo aliamua kwa maslahi yasiyojulikana na zaidi ya hapo alitengua Bodi zinazosimamia Mali Asili za nchi katika Wizara hiyo.

Tukumbuke Waziri Pindi Chana alivyokuja juu na kutengua ruhusa hiyo kama mwewe aliyemwangukia huyo kigogo.

Kigogo huyo "amepngiwa kazi nyingine"

Waziri Pindi Chana-Maliasili na Utalii
View attachment 2275490
Nilishawahi kusema huyu aliyeruhusu hili alifanya kama nani?
 
Kongole Rais Samia!
Kweli serikali yako ni sikivu kwa masuala ya kitaifa.

Kuna tetesi zimeenea Wizara ya Maliasili na Utalii, kuwa kigogo (tuite ligogo) aliyerasimu na kutoa ruhusa kunyume na taratibu za wakuu wake , kutoa vibali kwa makampuni fulani fulani kusafirisha wanyama nje ya nchi, ameshatemwa rasmi.

Kigogo huyo aliamua kwa maslahi yasiyojulikana na zaidi ya hapo alitengua Bodi zinazosimamia Mali Asili za nchi katika Wizara hiyo.

Tukumbuke Waziri Pindi Chana alivyokuja juu na kutengua ruhusa hiyo kama mwewe aliyemwangukia huyo kigogo.

Kigogo huyo "amepngiwa kazi nyingine"

Waziri Pindi Chana-Maliasili na Utalii
View attachment 2275490
Itakuwa alikuwa hapeleki 20%
 
Ile barua ilielekeza wazi kuwa serikali kupitia wizara imeruhusu usafilishaji wa wanyama pori. Mi naona reaction ya wananchi ndio iligeuza upepo ila pindi chana alihusika moja kwa moja kwenye uchafu huu. Any way nje ya maada huyu mmemtumbua,

Vipi yule aliyewashauri wa Oman wanunue limeli likubwa la kusafirisha wanyama kutoka Tanzania???
Hiyo yote ni kujisafisha mbele ya umma na kuonea watu wa chini
 
Kongole Rais Samia!
Kweli serikali yako ni sikivu kwa masuala ya kitaifa.

Kuna tetesi zimeenea Wizara ya Maliasili na Utalii, kuwa kigogo (tuite ligogo) aliyerasimu na kutoa ruhusa kunyume na taratibu za wakuu wake , kutoa vibali kwa makampuni fulani fulani kusafirisha wanyama nje ya nchi, ameshatemwa rasmi.

Kigogo huyo aliamua kwa maslahi yasiyojulikana na zaidi ya hapo alitengua Bodi zinazosimamia Mali Asili za nchi katika Wizara hiyo.

Tukumbuke Waziri Pindi Chana alivyokuja juu na kutengua ruhusa hiyo kama mwewe aliyemwangukia huyo kigogo.

Kigogo huyo "amepngiwa kazi nyingine"

Waziri Pindi Chana-Maliasili na Utalii
View attachment 2275490
Mtu yeyote akikuambia jambo la kipumbavu Akali akijua kuwa unajua analokwambia ni upumbavu, basi jua mtu huyo ANAKUDHARAU.

Mwl Nyerere alisema.
 
Nitasikitishwa na kitendo hicho cha Raisi Samia iwapo tu vibali vilivyokuwa vikitolewa ili kusafirisha Wanyama hai kwenda Nchi majirani viwe vinahusu Nyoka ili nilale raha mustarehe.
 
Back
Top Bottom