Kigogo aingiza kampuni yake ya ulinzi atcl

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,907
22,053
Huku ikiandamwa na zimwi la kutolipa waafanyakazi wake waliowaachisha
na kufikia kwenda kwa waziri mkuu,kampuni ya ndege ya ATC imekumbwa na kashfa nyingine kwa kuajiri kampuni moja ya ulinzi ambayo wadau waliamua kutafuta wawekezaji wao...
katika kuwahoji baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo ya ulinzi walianza kuelezea jinsi walivyoitwa kwa ajili ya ajira hivi karibuni
mchezo halisi inasemekana hii kampuni ni ya mmoja wa Kigogo wa kampuni hiyo ambae pia anahusika na udokozi wa pesa za magari ya ATC kwa kumuunganishia ndugu yake ama mjomba kuleta magari toka dubai Bw MASHAKA,baadhi ya magari mpaka leo hii yajulikani yanatoka lini.
katika upelelezi wetu kampuni hii aina hata miezi sita katika ulinzi...cha ajabu inalinda mali za kampuni kubwa ya ndege;mkuu wa kitengo cha ulinzi cha atc alipoulizwa alielekeza kwenda kwa bw mmoja ambae nae alikaata kutoa ushirikiano akisema ikaulizwe menejiment husika
Huku wakiongea kwa masikitiko baadhi ya wafanyakazi wa ATC wanasema hii kampuni atujui hata wamewaokota wapiwatu hawa,...unakuta hata pale mbele wanapocheki abiria mtu badala ya kuwapanga abiria anaenda kusimama nao...kana kwamba anasubiri kupewa heshima
wengine hata wakija wanakuja na unifomu chafu na raba nyeupe kama wanaenda shule.....mmoja wa wafanyakazi alipoulizwa alidai hawa wahuni wameleta walinzi awana hata shule sijui wamewatoa shamba,...na hii ni baada ya kushindwa kuwalipa ULTIMATE SECURITY na KK SECURITY

Haya ndio MATUNDA ya J KIKWETE na USWAHIBA MAKAZINI
 
Huku ikiandamwa na zimwi la kutolipa waafanyakazi wake waliowaachisha
na kufikia kwenda kwa waziri mkuu,kampuni ya ndege ya ATC imekumbwa na kashfa nyingine kwa kuajiri kampuni moja ya ulinzi ambayo wadau waliamua kutafuta wawekezaji wao...
katika kuwahoji baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo ya ulinzi walianza kuelezea jinsi walivyoitwa kwa ajili ya ajira hivi karibuni
mchezo halisi inasemekana hii kampuni ni ya mmoja wa Kigogo wa kampuni hiyo ambae pia anahusika na udokozi wa pesa za magari ya ATC kwa kumuunganishia ndugu yake ama mjomba kuleta magari toka dubai Bw MASHAKA,baadhi ya magari mpaka leo hii yajulikani yanatoka lini.
katika upelelezi wetu kampuni hii aina hata miezi sita katika ulinzi...cha ajabu inalinda mali za kampuni kubwa ya ndege;mkuu wa kitengo cha ulinzi cha atc alipoulizwa alielekeza kwenda kwa bw mmoja ambae nae alikaata kutoa ushirikiano akisema ikaulizwe menejiment husika
Huku wakiongea kwa masikitiko baadhi ya wafanyakazi wa ATC wanasema hii kampuni atujui hata wamewaokota wapiwatu hawa,...unakuta hata pale mbele wanapocheki abiria mtu badala ya kuwapanga abiria anaenda kusimama nao...kana kwamba anasubiri kupewa heshima
wengine hata wakija wanakuja na unifomu chafu na raba nyeupe kama wanaenda shule.....mmoja wa wafanyakazi alipoulizwa alidai hawa wahuni wameleta walinzi awana hata shule sijui wamewatoa shamba,...na hii ni baada ya kushindwa kuwalipa ULTIMATE SECURITY na KK SECURITY

Haya ndio MATUNDA ya J KIKWETE na USWAHIBA MAKAZINI
Mkuu, hii stori yako ni very interesting - it is anti-nepotism. Unaweza ukai-autenticate kwa kubandika original yake, i.e source??
 
Huku ikiandamwa na zimwi la kutolipa waafanyakazi wake waliowaachisha
na kufikia kwenda kwa waziri mkuu,kampuni ya ndege ya ATC imekumbwa na kashfa nyingine kwa kuajiri kampuni moja ya ulinzi ambayo wadau waliamua kutafuta wawekezaji wao...
katika kuwahoji baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo ya ulinzi walianza kuelezea jinsi walivyoitwa kwa ajili ya ajira hivi karibuni
mchezo halisi inasemekana hii kampuni ni ya mmoja wa Kigogo wa kampuni hiyo ambae pia anahusika na udokozi wa pesa za magari ya ATC kwa kumuunganishia ndugu yake ama mjomba kuleta magari toka dubai Bw MASHAKA,baadhi ya magari mpaka leo hii yajulikani yanatoka lini.
katika upelelezi wetu kampuni hii aina hata miezi sita katika ulinzi...cha ajabu inalinda mali za kampuni kubwa ya ndege;mkuu wa kitengo cha ulinzi cha atc alipoulizwa alielekeza kwenda kwa bw mmoja ambae nae alikaata kutoa ushirikiano akisema ikaulizwe menejiment husika
Huku wakiongea kwa masikitiko baadhi ya wafanyakazi wa ATC wanasema hii kampuni atujui hata wamewaokota wapiwatu hawa,...unakuta hata pale mbele wanapocheki abiria mtu badala ya kuwapanga abiria anaenda kusimama nao...kana kwamba anasubiri kupewa heshima
wengine hata wakija wanakuja na unifomu chafu na raba nyeupe kama wanaenda shule.....mmoja wa wafanyakazi alipoulizwa alidai hawa wahuni wameleta walinzi awana hata shule sijui wamewatoa shamba,...na hii ni baada ya kushindwa kuwalipa ULTIMATE SECURITY na KK SECURITY

Haya ndio MATUNDA ya J KIKWETE na USWAHIBA MAKAZINI

Sasa JK anaingiaje hapo?.
 
Ukiisoma tu "hadithi hii" unajua mtuzi wake ni "abunuasi" aliyetimuliwa ATCL kwa hiyo anajitahidi kupaka Menejimenti na JK matope, Story haina kichwa wala miguu, na jinsi Abunuasi huyu alivyojaribu bila mafanikio kumburuza JK kwenye hadithi yake isiyo na mvuto. JF watoa shutuma kama hawa watuletee vithibitisho sio porojo tu.
 
Back
Top Bottom