trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
- Thread starter
- #41
Kau na Wana JF,
Ni kweli sio tu Vijana ni kwa Watanzania wote, Maendeleo ya Watanzania yataletwa na Watanzania wenyewe
ila tatizo moja kubwa kwetu ni hii system, viongozi wetu wenye dhamana ya kusimamia Sheria ndio wa kwanza kuzivunja, mifano ipo mingi sina haja ya kuyatolea mifano, nenda Hospitali, Polisi, Mahakama etc utaona nina maana gani, kama haumjui mtu au kama hauna noti kwisha kazi yako, haki na sheria zinavunjwa hakuna wa kumuuliza, ukimuuliza Mkuu wa Kaya na majibu yake mepesi mepesi, SIJUI, hajui hata kwa nini Nchi Masikini ?? Shame On it
Nawakilisha
Kikarara nimekupata vizuri. Mfumo ukiwa mbovu,hata ukifanyaje utakuwa unapiga maktaimu. Mfano shilingi inavyoporomokaga thamani yake.. na kushindwa kudhibiti mchakato mzima wa mafuta[petroli,dizeli na ya taa]..