trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Rais wa nne wa nchi yetu Jakaya M. Kikwete,aliwahi kunukuliwa akisema hajui kwa nini nchi yake ya Tanzania ni maskini!
Rais wa tatu wa nchi yetu Ben Mkapa,aliwahi kunukuliwa akisema hajui kwa nini nchi yake ya Tanzania ni maskini!
sijawahi kusikia kama BMW aliwahi kutamka hivyo nukuu nyingi zinaonesha jk ndio mwenye huo usemi. Kuhusu kigezo cha kumpima mgombea urais naungana na wewe kwamba ni vizuri kila mgombea akatueleza watz kinagaubaga yeye anaona sababu zipi zizofanya nchi yetu iwe kama ilivyo.
nakuunga mkono mkuu mimi mwenyewe sijawahi ona wala kusikia BWM akisema hii kauli ila aliisema Mk.were alipokuwa akihojiwa na BBC mwaka 2006 kipindi cha hard talk. Ndipo wenyeakili tulipoanza kujua kuwa president wetu ni chaka mwitu. Mkapa alikuwa na vision na asingeweza kujibu hivyo. Ameshahojiwa na international media mara kibao hata sasa hajawahi chemka kma mke..re. Ila kigezo kwa president ajaye naunga mkono.
nakuunga mkono mkuu mimi mwenyewe sijawahi ona wala kusikia BWM akisema hii kauli ila aliisema Mk.were alipokuwa akihojiwa na BBC mwaka 2006 kipindi cha hard talk. Ndipo wenyeakili tulipoanza kujua kuwa president wetu ni chaka mwitu. Mkapa alikuwa na vision na asingeweza kujibu hivyo. Ameshahojiwa na international media mara kibao hata sasa hajawahi chemka kma mke..re. Ila kigezo kwa president ajaye naunga mkono.
siasa siku zote ni mchezo mchafu,kwa hiyo usitegemee kwa maisha yako kubadilika kwa kupitia RAISI,vijana tubadilisha mtazamo wetu...............
Mwenye uchungu na mali za tanzania kama nchi,awe ameshapambana tayar na mafisadi na awapende watanzania na awe na msimamamo dhidi ya mabepari.
nimeikubali hiyo @chakunyuma
Pamoja mkuu ila naona Kau amelala labda akiamka atatuelimisha/atajibu hayo maswali.
...mkuu hapo kwenye swali la kwanza nadhan itakuwa vizuri akaulizwa kwanza kama anajua tanganyika ni masikin alfu ndo yafuate hayo maswali mengine,kuna watu hapa Tanganyika wana-pesa za kufulu,ukimwambia kuna watu hawajui watakula nini leo anaweza ata akakupiga kofi kwa kutoamini maneno yako,na hao ndo kati ya wagombea wanaojitokeza kila mara kugombea urais.Mfano mtu kama "MZEE WA VIJISENTI" unadhani ukimwambia kwamba kuna watanganyika wanalala na njaa hatawezi kukuelewa,na usi-shangae ata yeye akakuuliza...."bwana mdogo kuna mtu anakosa vijisente ata vya kununulia chakula?!" ...