Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 798
- 843
Wakuu poleni na shughuri za kila siku, katika nafasi nyingi za kazi kwenye makampuni na mashirika mbalimbali, unakuta wanaweka na kigezo cha experience labda for 2'3'4 years, lakini tatizo linakuja kwa sisi graduate unakuta kazi unaiweza lakini kigezo iki kinakuwa kikwazo kwako kupata ajira,
Sasa kuna shirika la kimataifa limetangaza nafasi za kazi uku Tanzania, hili shirika litadeal na watanzania kwa kushilikiana na wajerumani, ni shilika kubwa sasa pamoja na kutangaza nafasi za kazi kwa watanzania wanataka muombaji awe na 4 years in experience, Tangu watoe tangazo walioview tangazo ni kama 200 lakini applivation ni 0(hakuna aliye apply) ni deadline inaelekea mwisho, je mimi ambaye sina experience nkiapply wanaweza kunipa kazi, na je kama wanaoitajika kwa sifa zinazoitajika hawakuomba na mimi nkaomba wanaweza kunipa hiyo nafasi, wakuu mwenye ushauri please
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kuna shirika la kimataifa limetangaza nafasi za kazi uku Tanzania, hili shirika litadeal na watanzania kwa kushilikiana na wajerumani, ni shilika kubwa sasa pamoja na kutangaza nafasi za kazi kwa watanzania wanataka muombaji awe na 4 years in experience, Tangu watoe tangazo walioview tangazo ni kama 200 lakini applivation ni 0(hakuna aliye apply) ni deadline inaelekea mwisho, je mimi ambaye sina experience nkiapply wanaweza kunipa kazi, na je kama wanaoitajika kwa sifa zinazoitajika hawakuomba na mimi nkaomba wanaweza kunipa hiyo nafasi, wakuu mwenye ushauri please
Sent using Jamii Forums mobile app