Ng'ongoampoku
Member
- Sep 18, 2012
- 47
- 9
HABARI WANAJAMIIFORUM, SIKU HIZI KATIKA AJIRA ZINAZOTANGAZWA HUWA WANAWEKA KIGEZO CHA AGE LIMIT, MFANO NOT MORE 30YRS OR 35YRS. MIMI SIJUI NA NAPENDA KUJUZWA KIGEZO CHA AGE LIMIT KINASAIDIA NINI, KWA MFANO TRA WALITANGAZA KAZI KIGEZO MOJAWAPO ILIKUWA NI AGE LIMIT 30YRS, KAMA UNA VIGEZO VYOTE AGE LIMIT INASAIDIA NINI? AWE NA GPA YA SECOND UPPER CLASS, AWE AMEMALIZA CHUO KUANZIA MWAKA 2010, AWE AMESOMA POSTGRADUATE, AU KOZI YOYOTE, HIVO VIGEZO VIPO LAKINI AGE LIMIT NDIO HAKUNA WHY?
Pili kama kwenye ajira age limit ni 30yrs basi na unapotaka kusoma pia wasiruhu watu ambao age yao imekwenda juu?
tafadhali nijuzeni age limit inasaidia nini? najua wataalamu wapo watanijuza lakni dont challenge kwamba unasoma sio kuajiriwa bali kujiajiri
\gud day
Pili kama kwenye ajira age limit ni 30yrs basi na unapotaka kusoma pia wasiruhu watu ambao age yao imekwenda juu?
tafadhali nijuzeni age limit inasaidia nini? najua wataalamu wapo watanijuza lakni dont challenge kwamba unasoma sio kuajiriwa bali kujiajiri
\gud day