uzeebusara
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 657
- 513
Habari wadau. Naomba mwenye ufahamu wa kina juu ya mpango wa ujenzi wa kijiji cha mfano Kigamboni wa Bush anielezee kwa kina Kwn nina nyumba yangu nahamu sana ya kuimalizia maana hizi kodi ninazolipa ktk nyumba hii ya kupanga ni kufuru. Na kama mnavyojua kila mwaka mwenye nyumba anawaza kupandisha kodi tu. Hivyo basi naomba mtu au mamlaka inayofahamu vzr ielezee km huo mradi upo au laa na kama upo ishu za fidia zipo vp. Asanteni