MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Jana kwa walioangalia Vyombo vya Habari, Mkataba wa kujenga Daraja na Kigamboni ni tayari na Linatakiwa kumalizika baada ya Miaka 3.
Anayesimamia ni Mh John Pombe Magufuli,na huyu huyu ndiye aliyewapa uchungu wa Sh 200, Sasa je kwa kazi hii ya Daraja, Heko kwake tena au bado tunaendelea kumbana?
Watanzania wanaandamana kwa sh200 na ubungo wanalipa hizo hizo,Mpaka na wabunge wanaopata Sh200,000 kwa mwezi wanawapooza wapiga kura kwa sijo la konyeza....
Anayesimamia ni Mh John Pombe Magufuli,na huyu huyu ndiye aliyewapa uchungu wa Sh 200, Sasa je kwa kazi hii ya Daraja, Heko kwake tena au bado tunaendelea kumbana?
Watanzania wanaandamana kwa sh200 na ubungo wanalipa hizo hizo,Mpaka na wabunge wanaopata Sh200,000 kwa mwezi wanawapooza wapiga kura kwa sijo la konyeza....