Nimetokea kupachukia sana Kigali, ingawa nasikia na Addis napo hapafai.....:lie::lie:
Bahati nzuri nimestaafu.... nasaidiana na Bibi kuitafuna pensheni yangu....lol!!
Ila Kigali ni mojawapo ya mahali ambapo sitapenda wajukuu zangu waende ende au wapazoee...!!
Cc: Kaizer, Asprin, CHUAKACHARA, KOKUTONA, Mwanyasi, gfsonwin, King'asti, Fixed Point, PakaJimmy, Filipo, Preta, Blaki Womani, marejesho....
Babu DC!!
Hivi Nyie mbona mnakuwa wagumu wa kumwelewa Babu DC?
Mwenzenu mfadhaiko ulitaka kumwuua sababu ya uzuri wa watoto
wa Kinyarwanda.Watalii wanakuja Tanzania kuangalia mbuga za wanyama
wakati Kigali wanakwenda kuangalia Uumbaji wa Bwana kwa wanawake wa kinyarwanda