ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,074
- 42,852
Nasikia tu watu wanaisifia kwa sifa nyingi, ni zipi hizo ebu nijuzeni na Mimi nijue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile mifuko inakera sana, sisi tunaangalia zaidi kodi kuliko mazingira.Hakuna mifuko ya plastic kitu ambacho hata wazungu wanajiuliza wameishindaje hii wakati wao wanashindwa?
Lingine Rushwa
Sent from my SM using Tapatalk
Wala sio kwamba wote ni wazuri ila 70% ya wadada wote wa uku ni wazuri ila ata wabaya wapo. Nikama dar ukimuona owoya, joketi, shilole cjui wema unaweza fikili kila mdada tanzania ni mzuri kumbe nchi imejaa sura za naibu spika.Ile nchi natamani siku nifike niwaone tu wanawake walivyo maana huku mitandaoni hawa wadada kila unayemuona ni mzuri sasa sijui ni kweli!!
Ina haribu ardhi na hata samaki wanakufa na mifugo wanaathirika sana wakimezaIle mifuko inakera sana, sisi tunaangalia zaidi kodi kuliko mazingira.
Bongo mwaka unaisha nahangaika kufungua kampuni. mwaka unaisha NIDA hawajanipa kitambulisho. Bongo watu kwenye ofisi za serikalo na vitambo vyao wanajiona mabosi na miungu watu.Nimechimba kidogo nikaona unaweza kuanzisha biashara na kumaliza kila kitu kwa masaa 48 tu, ambapo kwa high income countries inachukua siku 11.1 kusajili biashara.
Lingine ni kuwa na bunge lenye wanawake wengi duniani ambapo linawakilishwa na 64%
Bado bado 91% ya watoto wanasoma
Niendelee?
Wananchi 1m wameondokana na umasikini wa kutupa baada ya kugawiwa ng'ombe kila familia hiyo kusaidia watoto wasipate utapiamlo, ni maziwa kwenda mbele
Life expectancy imeongezeka kwa miaka 10 baada ya maisha kubadilika duu
Kwa kweli wanahitaji hongera
Sent from my SM using Tapatalk
Ni ujinga wao wakati wenzetu wanaendelea sisi wengine wanawaza wamuweke nani ndani na biashara gani ifeBongo mwaka unaisha nahangaika kufungua kampuni. mwaka unaisha NIDA hawajanipa kitambulisho. Bongo watu kwenye ofisi za serikalo na vitambo vyao wanajiona mabosi na miungu watu.
Mji wa kawaida tuu ukitoka mjini kilomita nne unakutanyumba zaajabu sana watu wananjaaaHakuna nchi ya kijinga kama Rwanda nchi ambayo ukimsema vibaya Kagame kesho unauawa.nchi ambayo ukionekana unakula Mara 3 wanajua wewe ni mgeni nchi ambayo mchana tunakula kivuguto ndio Lunch Nchi ambayo ndizi tunauziwa kwa kupima ktk kilo kitu cha maana huku Rwanda ni wanawake zao kuwa na maji tu ( Natural water ) tak*o mbili tu atamwaga maji mtakosa pa kulala.
Rwanda ni nchi ambayo Hotel na Guest house zote zina maturubai ili wanaomwagana maji wasiharibu magodoro
Kabisa kaka ni mji wa hovyo sana km 50 upo border ya Uganda km 200 uko Congo yani siku 1 namaliza Boda zote na gari ndogo ni nchi ya kusadikika ukija huku utajiuliza hiyo nchi ipo wapi?Mji wa kawaida tuu ukitoka mjini kilomita nne unakutanyumba zaajabu sana watu wananjaaa
Sent using Jamii Forums mobile app