Kigali Ina maajabu gani?

Ile nchi natamani siku nifike niwaone tu wanawake walivyo maana huku mitandaoni hawa wadada kila unayemuona ni mzuri sasa sijui ni kweli!!
Wala sio kwamba wote ni wazuri ila 70% ya wadada wote wa uku ni wazuri ila ata wabaya wapo. Nikama dar ukimuona owoya, joketi, shilole cjui wema unaweza fikili kila mdada tanzania ni mzuri kumbe nchi imejaa sura za naibu spika.
 
Nimechimba kidogo nikaona unaweza kuanzisha biashara na kumaliza kila kitu kwa masaa 48 tu, ambapo kwa high income countries inachukua siku 11.1 kusajili biashara.

Lingine ni kuwa na bunge lenye wanawake wengi duniani ambapo linawakilishwa na 64%

Bado bado 91% ya watoto wanasoma

Niendelee?
Wananchi 1m wameondokana na umasikini wa kutupa baada ya kugawiwa ng'ombe kila familia hiyo kusaidia watoto wasipate utapiamlo, ni maziwa kwenda mbele

Life expectancy imeongezeka kwa miaka 10 baada ya maisha kubadilika duu
Kwa kweli wanahitaji hongera

Sent from my SM using Tapatalk
 
Nimechimba kidogo nikaona unaweza kuanzisha biashara na kumaliza kila kitu kwa masaa 48 tu, ambapo kwa high income countries inachukua siku 11.1 kusajili biashara.

Lingine ni kuwa na bunge lenye wanawake wengi duniani ambapo linawakilishwa na 64%

Bado bado 91% ya watoto wanasoma

Niendelee?
Wananchi 1m wameondokana na umasikini wa kutupa baada ya kugawiwa ng'ombe kila familia hiyo kusaidia watoto wasipate utapiamlo, ni maziwa kwenda mbele

Life expectancy imeongezeka kwa miaka 10 baada ya maisha kubadilika duu
Kwa kweli wanahitaji hongera

Sent from my SM using Tapatalk
Bongo mwaka unaisha nahangaika kufungua kampuni. mwaka unaisha NIDA hawajanipa kitambulisho. Bongo watu kwenye ofisi za serikalo na vitambo vyao wanajiona mabosi na miungu watu.
 
Bongo mwaka unaisha nahangaika kufungua kampuni. mwaka unaisha NIDA hawajanipa kitambulisho. Bongo watu kwenye ofisi za serikalo na vitambo vyao wanajiona mabosi na miungu watu.
Ni ujinga wao wakati wenzetu wanaendelea sisi wengine wanawaza wamuweke nani ndani na biashara gani ife

Huwa nashangaa sana hao waliopewa majukumu
Ndio maana Rais amelizungumzia hilo kuwa hizo ofisi sio zao
Unamkuta mtu ukimsalimia kakunja uso utaikiri mligombana
Na wengine wanaweza kukuambia ofisi yetu haihusiki maana kuna wengine hawajui hata ofisi yake inahusika na nini

Pole mkuu maana tunajifanya wajanja wakati ni tunapoteza mapato na kuzidi kurudi nyuma siku hadi siku

Sent from my SM using Tapatalk
 
Hakuna nchi ya kijinga kama Rwanda nchi ambayo ukimsema vibaya Kagame kesho unauawa.nchi ambayo ukionekana unakula Mara 3 wanajua wewe ni mgeni nchi ambayo mchana tunakula kivuguto ndio Lunch Nchi ambayo ndizi tunauziwa kwa kupima ktk kilo kitu cha maana huku Rwanda ni wanawake zao kuwa na maji tu ( Natural water ) tak*o mbili tu atamwaga maji mtakosa pa kulala.
Rwanda ni nchi ambayo Hotel na Guest house zote zina maturubai ili wanaomwagana maji wasiharibu magodoro
 
Hakuna nchi ya kijinga kama Rwanda nchi ambayo ukimsema vibaya Kagame kesho unauawa.nchi ambayo ukionekana unakula Mara 3 wanajua wewe ni mgeni nchi ambayo mchana tunakula kivuguto ndio Lunch Nchi ambayo ndizi tunauziwa kwa kupima ktk kilo kitu cha maana huku Rwanda ni wanawake zao kuwa na maji tu ( Natural water ) tak*o mbili tu atamwaga maji mtakosa pa kulala.
Rwanda ni nchi ambayo Hotel na Guest house zote zina maturubai ili wanaomwagana maji wasiharibu magodoro
Mji wa kawaida tuu ukitoka mjini kilomita nne unakutanyumba zaajabu sana watu wananjaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom