Kigali City "The Singapore of Africa"

Ni hela za madini toka Congo hizo! Hao maaskari wao wanavuna madini congo kama vichaa na mkicheza hata huku Bongo land watatuingilia sana kama hawapo tayari kuchukua rasilimali zetu.Wana sera kama za waisraeli.Popote ulipo iba unavyoweza ili kusaidia nchi yako

Sasa kwanini wacongo wenyewe wasitumie madini yao yawaletee maendeleo yao tangu enzi za kina Lumumba, Mobutu, Kabila Snr/Jr.
 
Usafi wa kila Jumamosi ya mwisho mwezi tumeiga Rwanda. Kwamfano Dar, serikali ikaamua barabara zote ziwe za kiwango cha lami, kuondoa gereji, biashara zote na wamachinga wote sehemu amabazo sio za biashara na barabarani, wahusika wakishirikiana na Tanesko, Jiji na TANROAD wakapanda maua na miti rafiki pembezoni mwa barabara, Usafi ukafanyika kila siku. Dar itapendeza.
 
Sasa kwanini wacongo wenyewe wasitumie madini yao yawaletee maendeleo yao tangu enzi za kina Lumumba,Mobutu,Kabila Snr/Jr.

Wakati wa mobutu aliyatumia hayo madini kukuza uchumi wa zaire kwa mfano 1 zaire (shilling) ilikuwa sawa na 1usd kwenye miaka ya 70-80

Pia naye hakujisahau alipooa nchi ilimzawadia madini kama vile almasi nk kama dhwadi kwa bwana harusi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rwanda has started door to door distribution of food, while they stay at home during the Coronavirus outbreak

289E5804-8B67-4F4A-BDBE-3753BA53DE6C.jpeg
AE9E1AE6-C9D0-4D8C-95A0-4D50BB912C67.jpeg
9B93F761-90B3-4605-80F3-837A72FAC632.jpeg
 
wakati wa mobutu aliyatumia hayo madini kukuza uchumi wa zaire kwa mfano 1 zaire (shilling) ilikuwa sawa na 1usd kwenye miaka ya 70-80
pia naye hakujisahau alipooa nchi ilimzawadia madini kama vile almasi nk kama dhwadi kwa bwana harusi


Sent using Jamii Forums mobile app

Aisee hapo umedanganya mzee baba,nimekuwekea data za Usd againist Zaire currency kwa kipindi cha 1970-1980:On average ilikua

Min ni 1usd:211.280

Max ni 1usd:275.356

b3c00276-0982-4e13-985d-c9d02bed01de.jpg


Hio ratio ya 1:1 haijawahi kutokea mzee baba.
 
Ni hela za madini toka Congo hizo! Hao maaskari wao wanavuna madini congo kama vichaa na mkicheza hata huku Bongo land watatuingilia sana kama hawapo tayari kuchukua rasilimali zetu.Wana sera kama za waisraeli.Popote ulipo iba unavyoweza ili kusaidia nchi yako
Hivi hawa jamaa ni wabantu?
 
Usafi wa kila Jumamosi ya mwisho mwezi tumeiga Rwanda. Kwamfano Dar, serikali ikaamua barabara zote ziwe za kiwango cha lami, kuondoa gereji, biashara zote na wamachinga wote sehemu amabazo sio za biashara na barabarani, wahusika wakishirikiana na Tanesko, Jiji na TANROAD wakapanda maua na miti rafiki pembezoni mwa barabara, Usafi ukafanyika kila siku. Dar itapendeza.

Shida yetu ni siasa nyingi mkuu,tukianza huo utaratibu wa usafi kila J’mosi kua ni lazima na usipofuata sheria hio hatua kali zitachukuliwa then wataanza kuibuka wanasiasa huku UVCCM itasema hivi then kesho Bavicha wataibuka kusema vile, keshokutwa watu wa haki za binadamu wataitisha press ili mradi iwe vurugu vurugu tu.
 
Shida yetu ni siasa nyingi mkuu,tukianza huo utaratibu wa usafi kila j’mosi kua ni lazima na usipofuata sheria hio hatua kali zitachukuliwa then wataanza kuibuka wanasiasa huku UVCCM itasema hivi then kesho Bavicha wataibuka kusema vile,keshokutwa watu wa haki za binadamu wataitisha press ili mradi iwe vurugu vurugu tu.
Usafi ukifanywa na mmlaka zinazohusika na ukawekwa utaratibu mzuri na unaoeleweka wa adhabu tutafanikiwa sana. Kiasi kwamba raia hawatasubiri kila J'mosi ya mwisho wa mwezi. Tatizo kuna mikwara ya kisiasa mingi, na sifa kwa watawala kana kwamba wao ndio wanafanya usafi.

Moshi na Iringa ni safi wakati wote, watu wameelewa na hakuna shida. Kila mfanya biashara yupo responsible na eneo lake la biashara. Huwezi kuta mchoma mahindi au mkaanga mihogo anaacha uchafu akimaliza biashara kwa siku, anachukua fagio na kusafisha kiasi kwamba huwezi gundua kwamba hilo eneo lilikuwa bize na biashara.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom