utakuja
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 990
- 800
Habari za asubuhi wakuu! Kwenye pita pita zangu kwenye menu ya tigo *147*00# nimekutana na hichi kifurushi cha Home Internet, na kwa bei hii nimeona kama kizuri kwa GB wanazotoa kwa mwezi especially hapo kwenye GB 100. Ningependa kujua kwa waliokitumia, experience yenu ilikuwaje kabla sijapoteza elfu 85 zangu; kwa kuwa nina miaka isiyopungua 3 line yangu ya Tigo sijawahi tumia kwa internet. Sasa naona vodacom hakuna vifurushi vizuri, na TTCL spidi yao sio nzuri kivile.