Kifupi sisi hatuna culture ya kuwa na vision na kuweka goals, tunaelea tu.....

Nimeshakupa mfano wa waarabu wanavyouzana kwa wale wanaowekewa dau na mara nyingine hukamatwa ama kuuwawa,wengi tu wanaotafutwa na wamarekani wanauzwa na waarabu wenzao,usifananishe hayo,kwa wakati ule mwafrika alikuwa ndiyo the main comodity,sasa wewe sema ni bidhaa gani itakayomshinda mzungu anapoitaka?Mafuta yenyewe unaona ilivyo mshike mshike na mambo ya terrorism Bin Laden kichwa kina dau la dila milioni 50 kama sikosei,tumia ubongo mkuu.

Suala la kutawaliwa nimeshaweka wazi siyo Afrika peke yake,hata marekani nk,Alichosema Companero hapo juu somewhat kina ukweli,certainly mfumo walioutumia kutawala Afrika ni wa tofauti, na maeneo mengine,na kama alivyosema Companero,ugumu wa ku adapt pia inawezekana ulikuwepo na ndio maana unakuta kuna issue kama za dini ambazo zinachanganywa na issue za kugombea uhuru,na hivyo kwenye jamii nyingine maendeleo ya ki west yanakuwa ni kharam....Kwa hiyo ni wazi kuwa Afrika ilikuwa one heck of a battle field.

Yote hayo ni history,na kama alivyosema Companero,ni lazima kwanza tujue tunachotaka kabla ya kujiuliza namna ya kupata.

Jishughulishe kufikiri zaidi utaweza kuona ni where i am coming from kabla ya kusema nakulisha propaganda.

teh teh teh
Vipi wamerekani weusi? Nasikia wanachukia mipingo kama mimi hapa ni kweli? ana ni uongo tu wa watu
 
Monoko JMushi,

Naona kauli ya Miafrika Ndivyo Tulivyo inakukwaza sana na unafikiri ni lazima kuna kasoro kubwa kwa mtu kukiri kuwa katika Safari yetu kujijenga, kuna jambo fulani lisiloeleweka.

Mimi mapokeo yangu ya kusema ndivyo tulivyo ni kuwa sisi kama Watanzania na hata ukiongezea na kusemaWaafrika, tuna matatizo ya kukimbilia vitu vyepesi vyepesi, kuogopa kutoka jasho na kutwa ni kawaida yetu kulalamikana kutafuta mchawi.

Humu ndani JF, mchawi wetu ni CCM na Kikwete, lakini katika kundi letu hili la ulalamishi ni wachache ambao wakipewa nafasi ya kweli kwenda kufanya lolote nyumbani, wataishia kujiunga na kundi la CCM na Kikwete na hivyo kuendeleza libeneke lile lile walilokuwa wakilishikia bango.

Nina marafiki wengi ambao tulikuwa Wanamapinduzi pamoja, lakini baada ya wao kupata nafasi ya "kuneemeka" na kuajiriwa na awamu ya nne, wamesahau zile itikadi za mabadiliko na mwamko wa kimapinduzi ambao mimi bado naendelea nao mpaka leo hii.

Ndivyo tulivyo kwa kuwa hatuna malengo ya msingi na maana, bali ni malengo ya kushibisha tumbo kukidhi njaa tuliyonayo sasa hivi. Hatufikiri la kesho, sembuse la masaa matatu yanayokuja.

Kama tukibadilisha dhana na mtazamo wetu (mindsets), basi utaona kwa uharaka mkubwa kufutika kwa kauli kwua Ndivyo Tulivyo.

Ikiwa leo hii wewe bado unalia makovu ya ukoloni na utumwa na kukiri kwa nguvu ndiyo yaliyotudumaza, je ni lini utaachana na kukumbatia dhana hiyo ya unyongena kusema sasa unaamka kwa nguvu mpya na jukumu la wewe kuwa na maendeleo na umakini ni utashi wako na si msukumo wa mtu mwingine?

Mkuu nimekupata,ila kumbuka kuwa majeraha yanaweza kusababisha unfunctionality.

Kama tunataka kuangalia ni kwa kivipi tunaweza kufunction,ni lazima tuyafanyie utafiti majeraha hayo ambayo wewe umeamua kuyaita makovu,ndiyo maana huwa kuna surgery ili kuweza ku improve functionality....Nimetoa mfano huu wa surgery ya kiungo cha mwili kwasababu ndivyo dunia inavyo function,mfumo huo huo uliotuachia majeraha muda si mrefu uliopita ndio mfumo huo huo we hold dear to tukitegemea utupatie maendeleo tofauti na hapo awali.

Tusiwe wepesi wa kusahau kwasababu hata mataifa mengine pia hayakutumia miaka 50 tu toka yapate uhuru na kuendelea,ni lazima tuelewe bado tuna struggle,hizi dhana za globalisation nk ni mbinu tu za kutuchanganya waafrika tujione na sisi tuko sawa tu na sasa tunaishi kwenye dunia ambayo in reality si ya kwetu, kwa mfano JK anapotaka fly overs wakati hata treni na bara bara za kawaida yenyewe mbinde,ni kama mtoto wa kutambaa mwenye kuishi kifikra maisha ya mtoto mwenye uwezo wa kukimbia,na anajiuliza ni kwanini hawezi kukimbia na wakati ana uwezo wa kufikiri namna ya kukimbia.

Hili linahitaji kutuliza akili kwa hali ya juu na kutafakari,ni rahisi kuona mbili hii iko hapa na kwasababu kuna mbili nyingine pale,basi unajikuta uki conclude kuwa kuna nne,bila ya kujua kama hapo katikati kuna nini,yani ni minus ama plus ama divison?Hilo linapelekewa na tabia ya kuangalia tunapoangukia badala ya kuangalia pale tulipojikwaa.

Sasa tunasahau hata institutions kama world bank nk zinavyo play role kwenye issue kama hii.

Ufisadi nao ni more possible kwasababu kama hakuna ufisadi basi watakaobanwa zaidi ni wawekezaji,wawekezaji watahakikisha wana corrupt viongozi wetu,wanachohitaji viongozi wetu ni nini zaidi ya silaha za kijilinda na kusifiwa kuwa kuna demokrasia?Tunaambiwa tunaendelea na wakati inflation ni kama norm na kutoka huko hatuwezi kwasababu huwezi kutoka kwenye inlfation kama you always consume what tou cant produce,sheria zinatungwa za kuwatumikia wawekezaji na si wananchi,wawekezaji hao nao wanapewa sapoti na mataifa yao kwa mlango wa nyuma,yote hayo ni ya kuzingatia kwenye mjadala muhimu kama huu.

Hayo ya ndivyo tulivyo naomba tuyapumzishe kwasasa,tunaweza kuendelea na mjadala bila ya kujishusha.....At least kwa sasa....However ninaheshimu msimamo wako,ninacho hofu ni msimamo huo usije ukakufanya ukawa kama hao marafiki zako ambao sasa hawajali tena,mentality hiyo ikishakukaa vizuri basi unakuwa hivyo....Kwasababu ukikubali kuwa mambo ndivyo yalivyo ni kwamba una admitt kutokubelieve in change.

Mwisho nakubaliana na wewe kuhusiana na issue ya mind set....Ni kweli tunahitaji mwelekeo mpya kabisa ili tuweze kupata maendeleo kwasababu unaweza kujikuta kama hao marafaiki zako,inanikumbushia ule mchezo wa utotoni unapotumwa ukamwite flani na kukuta kuna mchezo na wewe uajiunga na kusahahu ulichotumwa,mwingine naye anatumwa anajikuta kakwama,the list goes on and on.

Ni lazima tujenge standars za tofauti,sasa issue kama ya viongozi kuwaaminisha wananchi kuwa sisi ni masikini inaonekana kama ni issue ndogo lakini ni kubwa kwasababu huwezi kumtaka mtu akademand something kutoka kwenye umasikini.
Revolution once again....Revolution itakayo revolutionize our mind,we need the rgt leaders thats for sure.

Hakuna nchi iliyopata maendeleo eti kwasababu wananchi wake wote wamesoma,hata wasiosmoma wana nafasi zao kwenye jamii,kuna skilled na unskilled labors wote wanaply part kwenye any given economy,kinachohitajika ni training tu kwenye respective fileds.

Ukiitoa gari kwenye gia namba moja na kwenda kwenye nne moja kwa moja hutapata ile acceleration unayohitaji,kabla ya kuyapata maendeleo ni lazima tujijengee mazingira ya kuyapata maendeleo hayo....Hivyo basi tuangalie ni wapi tumekwama badala ya kusokomeza migia tu huku tukijua gari imekwama,hatuwezi kusema haujakwama kwasabau tu eti tuna matairi na bado yanazunguka,hilo halina maana kuwa tuko kwenye motion.
 
Kwanza tujiulize hawa wenzetu wana tatuaje matatizo yao? are they of special breed or they're just persistence with finding solutions.

Nothing is as simple as we'd like it to be, others have toiled hard to achieve what they have. Lakini if anything this argument 'ndivyo tulivyo' emphasizes the fact an african is a lazy thinker and always looks for a simple solution: and of the adage may be an explanation to our problems in its simplest form.

Hawa wenzetu wameshafanya ma-research chungu mtele, si ya ma-labaratory bali hata field researches. Mzungu kaenda Azande huko Sudan kuuelewa mambo ya uganga at a time kwao fikra hizo zimepitwa na wakati almost a cencutry and a half ago. All to understand our logical reasoning.

Hawa jamaa wanatuelewa our thoughts, kama unazani binadamu ni mtu ambae ana 100% 'free will' tunajidanganya people only know what they have experienced through socialization and learnt through their education.

However most humans characters are embedded during their socialization process na tuna mila na tamaduni ambazo zina act as a guidence in our everyday interactions for the sake of our norm.

Hivyo wazungu wana elewa an african ni mtu wa kujigawa na ukabili, udini, fikra na mila zake ambazo anazielewa mwenyewe and trouble with us we dont like to question our ways at all. we are more of believers than questioning people.

They know how to play with our thoughts, and how to approach us our less national commitment would almost allow many to take a chance for his personal gain, hii ni simple argument at bigger picture.

ni mpaka tutapo anza kujiona ni kitu kimoja na rangi moja tutakuwa messed for a long period of time. Kwa sababu at the time we are so consumed withselfishness si kweli kwamba atuna wasomi wa kutuokoa au waelevu wakuliokoa taifa bali kuna uchoyo wa hali ya juu in Africa.

na ukirudi kwa hawa mnao waona wapo bora, sheria zao aziruhusu michezo inayotendeka kwetu au tamaa ya mtu iingie mbele ya mali ya taifa na kuleta hasara, ila kama muafrica alimuuza mwenzake na mzungu vilevile wako mpaka kesho wanao uuza siri za nchi zao kwa kipato. Hila wanajua wakijulikana, ni only a matter of time ni maiti kama kesi aikuwa public.

in short hawa jama wana namna ambazo azina mchezo kwenye maendeleo yao, na wana angaika kufuta ujinga kwao. kesho watasema waislamu si wazuri, lakini jaribu kupiga mawe msikiti kwao uone watakufanya nini kwa kutaka kuwavunjia imani kwao. leo watakwambia an african is ignorant kuwa muelevu kwenye vyuo vyao kama watachelewa kukupa ajira. wakati muelevu huyuhuyu akija africa atujui thamani yake. akisema tunamfukuza kazi au tuna mletea namna ya kumkomoa.

ndio narudia we are much still under ignorance kwa kuwa bado atujielewi sisi wenyewe na wala namna tunazotaka kujisaidia. leo unataka kumkodisha shamba mzungu wakati kwako watu wafa na njaa ajabu hii.

kwa hivyo they know how to play us, and how to approach us. ukia
 
Kwanza tujiulize hawa wenzetu wana tatuaje matatizo yao? are they of special breed or they're just persistence with finding solutions.

Nothing is as simple as we'd like it to be, others have toiled hard to achieve what they have. Lakini if anything this argument 'ndivyo tulivyo' emphasizes the fact an african is a lazy thinker and always looks for a simple solution: and of the adage may be an explanation to our problems in its simplest form.

Hawa wenzetu wameshafanya ma-research chungu mtele, si ya ma-labaratory bali hata field researches. Mzungu kaenda Azande huko Sudan kuuelewa mambo ya uganga at a time kwao fikra hizo zimepitwa na wakati almost a cencutry and a half ago. All to understand our logical reasoning.

Hawa jamaa wanatuelewa our thoughts, kama unazani binadamu ni mtu ambae ana 100% 'free will' tunajidanganya people only know what they have experienced through socialization and learnt through their education.

However most humans characters are embedded during their socialization process na tuna mila na tamaduni ambazo zina act as a guidence in our everyday interactions for the sake of our norm.

Hivyo wazungu wana elewa an african ni mtu wa kujigawa na ukabili, udini, fikra na mila zake ambazo anazielewa mwenyewe and trouble with us we dont like to question our ways at all. we are more of believers than questioning people.

They know how to play with our thoughts, and how to approach us our less national commitment would almost allow many to take a chance for his personal gain, hii ni simple argument at bigger picture.

ni mpaka tutapo anza kujiona ni kitu kimoja na rangi moja tutakuwa messed for a long period of time. Kwa sababu at the time we are so consumed withselfishness si kweli kwamba atuna wasomi wa kutuokoa au waelevu wakuliokoa taifa bali kuna uchoyo wa hali ya juu in Africa.

na ukirudi kwa hawa mnao waona wapo bora, sheria zao aziruhusu michezo inayotendeka kwetu au tamaa ya mtu iingie mbele ya mali ya taifa na kuleta hasara, ila kama muafrica alimuuza mwenzake na mzungu vilevile wako mpaka kesho wanao uuza siri za nchi zao kwa kipato. Hila wanajua wakijulikana, ni only a matter of time ni maiti kama kesi aikuwa public.

in short hawa jama wana namna ambazo azina mchezo kwenye maendeleo yao, na wana angaika kufuta ujinga kwao. kesho watasema waislamu si wazuri, lakini jaribu kupiga mawe msikiti kwao uone watakufanya nini kwa kutaka kuwavunjia imani kwao. leo watakwambia an african is ignorant kuwa muelevu kwenye vyuo vyao kama watachelewa kukupa ajira. wakati muelevu huyuhuyu akija africa atujui thamani yake. akisema tunamfukuza kazi au tuna mletea namna ya kumkomoa.

ndio narudia we are much still under ignorance kwa kuwa bado atujielewi sisi wenyewe na wala namna tunazotaka kujisaidia. leo unataka kumkodisha shamba mzungu wakati kwako watu wafa na njaa ajabu hii.

kwa hivyo they know how to play us, and how to approach us. ukia

Mkuu
Hizo nilizozipigilia rangi nyeusi ,hebu zifanyie summary ya maneno mawili na utupe jibu.
 
Mkuu
Hizo nilizozipigilia rangi nyeusi ,hebu zifanyie summary ya maneno mawili na utupe jibu.
ill summarize the whole in two argument

education (scientific explantions, looking for solution, et al) (v) ignorance (lack of questioning, characterized by a simple mind)
 
TUNA MATATIZO GANI?

Tatizo tumekubali na tunakabali kumezeshwa bila kutafuna.

Mfano mdogo tu chukulia hizi dini mbili kuu tulizonazo ?(Islam na Christian) Sio sehemu ya utamaduni wetu lakini tulimezeshwa bila kutafuna. Hivi leo mtu asiye kuwa na dini au mwenye dini tofauti na hizi tunasema anaabudu miungu.wengine tunawaita makafiri. Ukiona watu tunavyojibizana hakuna hata 1ja wetu anayetaka kujua jinsi mababu zetu walivyomtukuza mungu. Sidahni kama ni hakuna mazuri katika misingi ile ya utamaduni wetu halisi.

Kumbe kiukweli John,Husein mimi na wewe tumezeshwa haya mambo kwa mgongo wa CIVILISATION

Angalia kuna NGO ngapi za kupinga tohara ya wanawake tofauti na NGO zinazopinga mapenzi ya jinsia Moja( Ushoga, usagaji).

Sasa ukichanganya na Elimu tunayopewa, vipindi vya Televesion tunavyoangalia, vazi rasmi la ofisini na mbunge (suti) hapo tunaona jinsi jamaa walivyo zi corrupt mind set zetu na tunakubali kujikana.
 
Kuna hadithi mbili za kuhusu inferiority complex za mwafrika ambazo ni lizisikia ni kiwa mdogo na kama sikosei inawezekana nimewahi kuzileta humu ukumbini. lakini nitazileta tena na tujipime validity yake jinsi zilivyotupumbaza.

Hadithi ya kwanza inasema katika Uumbaji, kulikuwa na Mwarabu, Mwafrika, Mzungu na Mwasia. Mungu katika tembea tembea na kujaribu kugawanya alichonacho sawa kwa hawa jamaa wanne ambacho ilikuwa ni Maarifa, Utajiri, Ngoma na Biashara, akawakalisha kitako hawa jamaa wanne na kuwaambia watafakari ni kipi kati ya hivyo vinne wangependelea wakipate. Mungu akaawaambia watakutana kesho yake wamalizane.

Mzungu akawaambia wenzake atachukua maarifa, Mwarabu akakimbilia utajiri, Mwasia akarukia Biashara, lakini Mwafrika akakaa kando na kuangu kicheko kikubwa sana kuwacheka wenzake. Wakamhoji kulikoni mbona mwenzetu una furaha sana, akawajibu, nyie wote wajinga mnakimbilia hivyo vitu vingine visivyoeleweka na mmeiacha ngoma? Mimi ngoma ni yangu na asithubutu mtu kubadilisha mawazo!

Keshoye, kila mtu akapata alichotaka!

Hadithi ya pili hii ilikuwa ni swali mimi n wenzangu tulimuuliza Mchungaji tukiwa mafundisho ya Kipaimara kuwa kama Mungu alituumba watu kwa mfano wake, kwa nini tuna tofauti ya rangi na pia sisi Waafrika ndio tulio masikini? Mchungaji akatujibu kwa ule mfano wa Nuhu na Watoto wake pale ambapo alikuwa amepata ka mvinyo kidogo akalewa na mmoja wa watoto wake wakamfedhehesha kwa kuwa likuwa uchi na hivyo laana ya kuwa atakuwa mtumwa wa Kaka zake, imetuangukia!

Nikitoa tathmini yangu yya kibinafsi kutokana na kujifunza historia na hata mapokeo yangu ya kidini, ni dhahiri kuwa sisi Waafrika tumekubali kwa hiare kuendelea kupumbazwa na hadithi za Umashuhuri na Utukufu wa Kizungu kiasi kuwa hatuna uwezo wa kuamini kuwa tunaweza kujiamini na kujifanyia mambo kwa utashi wetu wenyewe.

Hata pale inapoonekana wazi kuwa Mtu mweusi ni stadi na ni bora kuliko wengine, bado tumeendelea kuchukua nafasi ya kukaa nyuma ya basi na kudai wengine waongoze.

Ni mtu mweusi anayekimbia kasi kuliko binadamu wote, ni mtu mweusi anayeruka juu kuliki mtu yeyote, ni mtu mweusi mwenye sauti nyororo na ya umahiri inayopendezesha masikio ikiandamana na midundo, ni mtu mweusi aliyeanzisha elimu ya Sayansi, hesabu na hata mfumo wa maisha ya mwanadamu leo hii.

Lakini kutokujiamini kwetu, ambako kunachangiwa na ukosefu wa watu wenye mwamko wa fikra na kimapinduzi katika Uongozi, ndio unatufanya tuendelee kudumaa.

Ni heri tungeendelea kuzalisha uzao wa Maskini Jeuri kama Nyerere kuliko viongozi tuliojipachikia katika miaka 30 iliyopita.

Ni heri tungeendelea kuwa na Viongozi na Watendaji ambao wako tayari kusimama kidete na kukataa kuburuzwa na hata kupoteza maisha kama kina Lumumba na Nkrumah lakini si kina Museveni na Chiluba tuliowana ni mashujaa.

Kwetu Tanzania tuna uwezo wa kubadilika, ni utashi tuu unaotakiwa na Wananchi kukubali kubadilika, la sivyo tutaendelea kushangaa vinavyoelea kwa kuwa tunaelea tukisahau kuwa vimeundwa!
 
Quoting the one and Only Kiranga, let me open a window of debate and slugs! If not the statement sort of quantify Nyani/Julius Ndivyo tulivyo.

Be it in Social aspect, economy, political, cultural, production, education entrepreneurship, management, leadership ot whatever, we always fail if not falling short and one has to wonder, TUNA MATATIZO GANI?

Is it psychological issues, colonial wounds, inferiority complex or just our nature?


Baada ya kufikirtia, nadhani kuwa siyo kweli kuwa hatuna culture ya kuwa na vision na kuweka goals. Tuna vuision kama binadamu na huwa tunajiwekea malengo yetu kama binadamu wengine duniani. Ndiyo maana tunafanya kazi na tunajihusisha katika shughuli mbalimbali zinazohitajhi malengo: kwa mfano kulima, harusi, kuiba mali za umma, kujipendekeza ili tupate vyeo, kutongoza na kadhalika.

Tatizo letu kubwa ni kwamba tuko addicted na mediocrity, basi.

Tukijifunza kuachana na medicority basi mambo yatatunyookea sana. Hutasikia mtu anatamba kwa kuwa na digrii mediocre za kununua, huwezi kumsikia mtu anatamba kwa mafanikio mediocre ya kuiba mali ya mwajiri wake. Hutaona mtu analng'ng'ania madaraka wakati utendaji wake ni mediocre na ameshindwa kufikisha malengo ya madaraka yale. Tutaona aibu kuombaomba hata kutoka kwa majirani zetu vitu ambavyo tunavikosa kutokana tu na utendaji mediocre wetu wa kazi.

Kubwa zaidi ni kuwa tukishapona hilo gonjwa la mediocrity, tutaanza kuwa tujiadhibu wenyewe kwa mediocrity zetu kabla hatujaadhibiwa na wengine. Wananchi hawatakuwa na aibu wala uvumilivu kwa mtu yeyote anaeendeza mediocrity ya namna yoyote bila kujali position yake katika jamii..

"Addiction to Mediocrity" ni gonjwa baya sana, ndilo linalosababisha hata inferiority complex miongoni mwetu.
 
Acheni longolongo...kama mnaweza fanyeni kweli maana wanaoweza wanafanya, hawaongei tu. Nyinyi maneno meeeengi but you ain't got nothing to show for it. I'm tired of all this talk....just show me better than you can tell me.....
 
Jamani baada ya longolongo nyingi nadhani Watanzania wote tukubali umasikini na matatizo yetu yanasababishwa kwa kiasi kikubwa na sisi wenyewe kutokuwa makini especially kwenye maamuzi na matumizi ya pesa za wananchi.

Kwa kifupi cha kufanya kwa urahisi kabisa kwa kuanzia serikali ya Tanzania ifanye hivi:::

Go to Rwanda na kucopy and paste maamuzi yao yote yaliyofanyika kwa miaka mitano iliyopita na kuyafanyia kazi bila kupindisha kwa miaka mitano ifuatayo.

Najua EGO yetu watanzania haitatuwezesha kukubali huu ukweli lakini wenzetu waRwanda wanapiga hatua kubwa mno na ni mfano mkubwa wa kuigwa.

May God Bless Tanzania.
 
Jamani baada ya longolongo nyingi nadhani Watanzania wote tukubali umasikini na matatizo yetu yanasababishwa kwa kiasi kikubwa na sisi wenyewe kutokuwa makini especially kwenye maamuzi na matumizi ya pesa za wananchi.

Kwa kifupi cha kufanya kwa urahisi kabisa kwa kuanzia serikali ya Tanzania ifanye hivi:::

Go to Rwanda na kucopy and paste maamuzi yao yote yaliyofanyika kwa miaka mitano iliyopita na kuyafanyia kazi bila kupindisha kwa miaka mitano ifuatayo.

Najua EGO yetu watanzania haitatuwezesha kukubali huu ukweli lakini wenzetu waRwanda wanapiga hatua kubwa mno na ni mfano mkubwa wa kuigwa.

May God Bless Tanzania.

Tofauti baina ya Tanzania na Rwanda kwa sasa hivi ni kuwa Kagame havumilii mediocrity, wakati kwetu sisi Kikwete mwenyewe ni mediocre. Tukisafisha mediocrity serikalini, basi hata raia watafuata.
 
Mabadiliko huwa yanaanzia kwa mtu binafsi katika level ya chini.Kila mtu aanza kubadilisha mwenendo wa maisha yake bila kujudge kwanza mbona mwenzangu habadiliki.Tumepata bahati ya kuujua ukweli na kufahamu mambo mengi.lets use them.
BE THE CHANGE YOURSELF,then change Tanzania.
 
Why do we always have to have an excuse to mask our inefficiency and incompetence?​


We have been Uhuru for almost 50 years, bado tutadai ni makovu ya Utumwa, Ukabaila na Ukoloni au Ubeberu?​


When will we start taking ownership of our failures?​

Mchungaji majumba ambayo viongozi wetu wanaishi ni ya mkoloni kuanzia Ikulu mpaka huko Kigoma mwisho wa reli, sheria ni za mkoloni kuanzia za ardhi mpaka za asasi za kiraia, hivyo utake usitake bado tunaishi katika zama za kikoloni na kibeberu na fikra zetu ziko huko, hatujaweza kabisa ku-move on kama wenzetu waliotawalia pia. Ukipata muda tafuta vitabu vya Profesa Mamdani hasa kile cha Citizen and Subject na hiki cha Saviour and Survivors, anaonesha kwa kina ni jinsi gani tumeshindwa ku-reform the bifurcated colonial state in Africa. Kwa ufupi sisi bado ni subjects, we are not citizens labda ninyi mnaolilia sana dual citizenship!
 
We'll see how far Kagame will go.
He will go on well until he leaves the office, but the problem is who will take over from him, let us hope he will not be an asshole. The difference between Mzungu and us, is , mzungu has continuity of sera, and sisi once a president leaves the office he takes his policies with him. We have a good example of Mwinyi, Mkapa and JK. During Mkapa's Presidency Tanzania ilionekana kama Rwanda, lakini sasa tunaonekana ******
 
Quoting the one and Only Kiranga, let me open a window of debate and slugs! If not the statement sort of quantify Nyani/Julius Ndivyo tulivyo.

Be it in Social aspect, economy, political, cultural, production, education entrepreneurship, management, leadership ot whatever, we always fail if not falling short and one has to wonder, TUNA MATATIZO GANI?

Is it psychological issues, colonial wounds, inferiority complex or just our nature?

Ni psychological issues Mkuu.Tunahitaji tiba ya saikolojia zetu ili tupone tusonge mbele.
 
Haya kama historia ni ishu

Go back and check maendeleo ya wazungu kabla ya ukoloni na maendeleo yetu wakati huo.

Vingine ni visingizio tu.Tena nafikiri wakati mwingine wasingekuja hawa wakoloni kutuchapa viboko hadi leo tungekuwa tunavaa ngozi.

Si angalieni ambako wakoloni hawakufika Umasaini, wasandawe.

ama tuache hao wamasai na wasandawe nini tofauti kati ya taifa ambalo halikukubwa na ukoloni Ethiopia na South Afrika ambalo limekuwa chini ya wakoloni mpaka juzijuzi? the fact is very strong.
Big up. watu wanapinga tu ila umaskini na ujinga ina usiano na uweusi. Kuna sababu gani s.Africa waendelee kuliko lesotho, au wahindi waendelee kuliko bangladesh, amerika kuliko mexico mexico na haiti or trinidad, misiri kuliko sudan. kote uko environment na natural resources ni karibu sawa tu utofauti upo kwenye rangi tu ambayoina-affect our mind na hatimaye our policy. wachina na wajapan, vietnam, korean thailand hawa wanakaribiana rangi utaona na maendeleo yao yanakaribiana tu. Africa tunataka utajiri tena kwa kuiba na si maendeleo ya taifa.viongozi ni discrete entity; utaona kabisa cut line.Mimi nadhani tuwape hawa wahindi kama akina bakressa uraisi. tuwajaribu huenda tukatoka kuliko akini hii ngozi nyeusi.
 
Big up. watu wanapinga tu ila umaskini na ujinga ina usiano na uweusi. Kuna sababu gani s.Africa waendelee kuliko lesotho, au wahindi waendelee kuliko bangladesh, amerika kuliko mexico mexico na haiti or trinidad, misiri kuliko sudan. kote uko environment na natural resources ni karibu sawa tu utofauti upo kwenye rangi tu ambayoina-affect our mind na hatimaye our policy. wachina na wajapan, vietnam, korean thailand hawa wanakaribiana rangi utaona na maendeleo yao yanakaribiana tu. Africa tunataka utajiri tena kwa kuiba na si maendeleo ya taifa.viongozi ni discrete entity; utaona kabisa cut line.Mimi nadhani tuwape hawa wahindi kama akina bakressa uraisi. tuwajaribu huenda tukatoka kuliko akini hii ngozi nyeusi.

Nani ana uhakika kama wewe ni mweusi?Umetumia vigezo gani kuhalalisha weusi perse kama ndio umasikini na ujinga?Labda wewe ndiyo mjinga kwasababu sina uhakika kama wewe ni mweusi.

Eti weusi ni wajinga uwape wahindi?Sasa wewe una tofauti gani na mkoloni aliyeamua kuwapendelea wahindi wenyewe kabla na hata baada ya ukoloni?
Tumia ubongo.....Maana naona hata tabaka la viongozi tuliona nao wana mawazo kama yako no wonder yanayotokea tunayaona.
 
Back
Top Bottom