Kifupi sisi hatuna culture ya kuwa na vision na kuweka goals, tunaelea tu.....

What up Mo...

Hili wazo lako sio zuri. Sio zuri kwa sababu ingawa lengo lako linaweza kuwa zuri, lakini itakuwia vigumu sana kuwaelewesha wananchi ya mikoa ambayo itajisikia na kujiona imekuwa neglected. Wazo hili linaweza kupandikiza chuki ambazo gharama yake itakuwa kubwa sana.

Hapo juu umetaja mikoa hiyo mitano lakini hujautaja mkoa wangu wa Shinyanga. Unadhani akina ngosha hawatajisikia kutelekezwa? Wakiamua kujitenga na kuanzisha taifa lao utawalaumu?

What it do homie....

Nimetoa mfano wa hiyo mikoa kama mwanzo lakini inaweza kufanywa analysis mikoa ipi mitano itakuwa na potential ya huge payoff kwenye investments za kilimo zenye kuajiri watu wengi, then forward linkage ili kuwepo na mahitaji ya nguvukazi ili vijana wapunguze kuja dar na kuhamia kwenye mikoa hiyo. Baada ya muda, unachagua mikoa mingine mitano mpaka nchi nzima inaendelea baada ya miaka kama 25.

Kwa mwendo wa sasa hivi ni tunapiga marktime, hela zinatumika ovyo lakini hakuna impact ya kureduce unemployment.

Naongea hivi sababu hawa vibaka wamemuattack mtu wangu wa karibu sana juzi na by grace of God he survived and he is ok.

Lazima ufumbuzi upatikane kuhusu vijana waliojaa Dar bila shughuli yoyote, otherwise tunakoenda itakuwa vita. Lazima watu wakae chini na long term strategy sio zimamoto, hili ni tatizo kubwa mno.
 
Nyani unanishangaza sana,na pia nashangazwa sana kuwa wengi wanakubaliana na wewe,yani nashangazwa haswa.

Pole pole ndio mwendo na ni matumaini yangu na wewe iko siku utakubaliana na ukweli huu ingawa unauma.

Kutokana na uzoefu wa mijadala mingi hapa JF,nilishawahi kusema kuwa kwenye mijadala yoyote ambayo inaelekea kuuliza maswali ya kwanini haya na kwanini yale,ni LAZIMA turejee kwenye historia,hilo ndilo hatupendi kujifunza inapokuja kwenye mijadala kama huu.

Hiyo historia unayoipenda sana, sana sana itaonesha zaidi ujinga wa Mwafrika. Wazungu walitoka kwao huko, wakaja kwetu Afrika wakatubadilisha karibu ktk kila nyanja ya maisha yetu na sisi tukawaachia tu. Wakatuletea Ukristo na sisi hao tukaupokea tu. Wewe umeona mzungu gani mwenye jina Nkwabi Ng'wanakilala? Ni Waafrika wangapi wenye majina kama John Atta Mills. Mills hali sound kama jina la Kiafrika kabisa. Au Benjamin William Mkapa....are you serious? Benjamin William......ondoa Mkapa hapo mwisho and I couldn't tell this guy is a Makua. I'd think he's British or American....

Na pia nilishawahi kukueleza kuhusu double standards....Kwenye maelezo yako hapo juu umetoa mfano kwa kulinganisha nchi za Ujerumani na uholanzi vs Romania bila ya kujali historia na hata issue za iron curtain countries nk.....Umezungumzia similarities za waafrika kwa kuwasingle out kama blacks na wakati unazugumzia mataifa hayo ya wazungu,unakuja kuyalinganisha tena kwa vigezo vingine bila kuzingatia historia.

Historia yetu ya mahusiano na wazungu inahuzunisha. Nabaki na maswali lukuki how were they able to pull off what they did. It's just embarrasing.

Huwezi ukazungumzi mambo haya na haya yako hivi bila kusema ni kwanini yako hivyo,at least hapa JF tungeweza kuwa na standards hizo,za kujaribu kufikiria zaidi na zaidi.

Tuletee basi hizo standards tuanze kuzifuata

Kwenye issue zako ulizozungumzia hapo juu kama unge include history,basi ungezungumzia mambo mengi tu kuanzia Neo Colonialism, colonialism and all the way back to slavery,certainly pia tungezungumzia kuhusu issues za Iron curtain countries kwasababu Romania ni mojawapo,tungezungumzia pia issue za east and west German,tungezungumzia pia kuhusu Benelux,yani Belgium,Nedherlands na Luxemborg,tusingesita pia kuzungumzia impact za Capitalism,Socialism na hata Communism.

Hatuko hapa kujibu mitihani ya taifa bana. Tuko hapa kuchanganua hali halisi ya mambo. Utumwa, ukoloni, na ukoloni mamboleo yote ni matokeo ya ujinga wa Mwafrika. Unabisha?

Haya mambo ni more than just kuja tu na kusema eti hawa blacks hivi and ndivyo yalivyo,and then eti hata hawa wazungu wengine wa Romania ni better than blacks blah blah wahta crap!
Halafu watu weee!maajabu!

Ok.....acha hasira. Lete solutions kama hupendi kile ninachosema.

Kwa mfano hukujiuliza ni kivipi impacts za Iron curtain Countries ama za Cold wars zilivyo tofauti na zile za Slavery,Colonialism na Neo Colonialism.

Narudia tena, huu si mtihani wa taifa wa somo la historia.

Hatuna historia bado ya kujilinganisha na wazungu,jambo ambalo hatulitambui ni kwamba sisi kama waafrika bado tunahitajika tuwe kwenye struggles za uhuru wa kweli,uhuru tulionao ni wa bandia bado,lakini kwasababu viongozi wetu wamekuwa kama watoto waliopewa suckers toka tupate uhuru wa bandia,basi na wao wanatumia nyenzo kama za mataifa yaliyoendelea kwenye kutawala na wakati ukweli ni kinyume.

Kwa nini hatuna hatuna historia ya kujilinganisha nao? Kwani wao walikuwepo hapa duniani kabla yetu sisi?

Hatuwezi kukaaa hapa JF na kusema eti sisi ndivyo tulivyo,ilitakiwa useme sisi bado tuko kwenye struggles za uhuru wa kweli ambao ndio utatupatia maendeleo ya kweli.

BS....

Umezungumzia uongozi mbovu kuwa ni common denominator ya Afrika bila kutaja ukweli kuwa common denominator ya Afrika ni unique history yake...Colonialism na mengineyo niliyoyasema hapo juu ni common denominator ya Afrika,kwanini ukutake that into consideration?Mjadala huu ni mpana sana na si wa kuparamia kwa maswali na majibu rahisi rahisi,at least nilitegemea hapa JF tungekuwa hivyo.

Wewe na hii colonialisma yako hii aaaagh...unaboa sasa. Kila kitu colonialsim colonialism colonialism...hii colonialism kama sii ujinga wa mwafrika tungeisikia kwingine tu.

If you dont know where you coming from,how can you know where you goin?
Unashangazwa nini na Afrika nzima kuwa na uongozi mbovu na wakati historia yao ni moja?

Afrika nzima hawana historia moja. Mara ya mwisho kusoma historia niliona Ethiopia hawakutawaliwa na mkoloni lakini wana uongozi mbovu hadi kujilisha wenyewe hawawezi. Shame on them
 
What up Mo...

Hili wazo lako sio zuri. Sio zuri kwa sababu ingawa lengo lako linaweza kuwa zuri, lakini itakuwia vigumu sana kuwaelewesha wananchi ya mikoa ambayo itajisikia na kujiona imekuwa neglected. Wazo hili linaweza kupandikiza chuki ambazo gharama yake itakuwa kubwa sana.

Hapo juu umetaja mikoa hiyo mitano lakini hujautaja mkoa wangu wa Shinyanga. Unadhani akina ngosha hawatajisikia kutelekezwa? Wakiamua kujitenga na kuanzisha taifa lao utawalaumu?

You can't move forward without making enemies' especially in something as big as national development,utajenga maadui wa ndani na wa nje.

Mwanza kuna wasukuma pia,sioni tabu wasukuma wa shinyanga wakinuna,hata ukienda shinyanga pia hutaweza kuweka usawa kati ya Timbe na Matanda na Mwadui,sasa Kahama ikipanda na Timbe,shinyanga mjini wakiwa chini hawa wa Timbe/shy mjini ndio walalamike?!nadhani they can take it as a challenge.

Nadhani pia biger Picture is FOCUS.huyu vasco dagama wetu ana kaugonjwa wenzetu wadhungu wanakaita short attention span dis-order,yani yeye ni kama 4 year old,ana loose interest ya vitu mapema sana.

Kaingia na Ari mpya nguvu Mpya,Ajira milioni 5 etc,alivyoona hazitengenezeki,huyo phew,NY,London,Tokyo,Beijing,SA,Jamaica u name it,kutunadi dunia nzima,kaona hatuuziki akahamia Kilimo kwanza..,all that in less than 3 years!

a serious leader has vision lakini huyu wa kwetu anatupeleka kama darasa la kindergaten,attnetion is focused on the crying kid.once he.she is quite we move on to the next kid(attention grabbing matter).

I hate that Mkapa crook but at least he did something,he stood to his hideous principles,of felling everything and taxing everything expect external investor's.
 
Ndio nimeshawahi kuisikia hiyo nchi. Hakuna maskini huko? Umewahi kufika huko?

Ndiyo.. kuna "kashule" fulani nilipitia hapo



Kwenye uongozi mbovu tunakubaliana ingawa wewe hutaki kuuita uongozi mbovu. Lakini nadhani tunazungumzia kitu kile kile tu.

we probably are..

Ni kweli tunazo. Ila nilitaja tv kimatani tu.

got it; wengine huwa hawataji kiutani. Wao kipimo ni kuwa na TV!



Vipi unalo jibu lake?

Nope



Sijui hapa uongozi unaingia vipi maana watu wana macho yao na ladha zao. Sasa kama wanaona vya Ulaya na Marekani vina ubora kuliko vya kwao waache kuvitamani? Hivi kweli unataka kunambia vile viatu vya Bora vingeweza kushindana na viatu vya akina Bruno Magli au Donald J. Pliner? Au vile vitambaa vya Mwatex na yale mashati ya Urafiki yangeweza kushindana na ya akina Burberry na Boss? Come on son...

The bottom line ni uongozi.. just think about it..



Okay...kwa hiyo unakubali kuwa kuna baadhi ya vitu viko zaidi kwa watu weupe kuliko weusi na vingine viko zaidi kwa watu weusi kuliko weupe?

ndiyo.. lakini hiyo inahusiana na sababu ambazo zinaelezeka; hazihusiani na ubora wa mtu mwingine dhidi ya mwingine. Yaani, hizo tofauti hazimfanyi mmoja kuwa bora kuliko mwingine.


Kwani hicho Kilatini si moja ya lugha za hao wazungu na weupe weupe tu....au Walatini sio weupe?

ndiyo ni weupe lakini leo hakuna taifa (ukiondoa Vatican) linallozungumza Kilatini kama lugha yake rasmi.



Wakati wao wanafanya haya madudu sisi tulikuwa tunafanya nini? Tunawinda? Maana hatukujifunza kitu kabisa toka kwao. Pathetic.

ndiyo lakini wakati wazungu wanauana hivyo, China walikuwa wanafanya safari za kuzunguka dunia; wakati huo huo waarabu wako katika mambo ya hesabu na kuokoa elimu ya western civilization wakati wa dark ages



Ni kweli kuwa uongozi bora (mzuri) ni muhimu lakini sio the be all and end all. Kuna mambo mengine kama ingenuity ambayo ni ya muhimu vile vile.

hata uwe na ingenuity vipi... at the end of the day.. mpishi ni uongozi!
 
Pole pole ndio mwendo na ni matumaini yangu na wewe iko siku utakubaliana na ukweli huu ingawa unauma.



Hiyo historia unayoipenda sana, sana sana itaonesha zaidi ujinga wa Mwafrika. Wazungu walitoka kwao huko, wakaja kwetu Afrika wakatubadilisha karibu ktk kila nyanja ya maisha yetu na sisi tukawaachia tu. Wakatuletea Ukristo na sisi hao tukaupokea tu. Wewe umeona mzungu gani mwenye jina Nkwabi Ng'wanakilala? Ni Waafrika wangapi wenye majina kama John Atta Mills. Mills hali sound kama jina la Kiafrika kabisa. Au Benjamin William Mkapa....are you serious? Benjamin William......ondoa Mkapa hapo mwisho and I couldn't tell this guy is a Makua. I'd think he's British or American....



Historia yetu ya mahusiano na wazungu inahuzunisha. Nabaki na maswali lukuki how were they able to pull off what they did. It's just embarrasing.



Tuletee basi hizo standards tuanze kuzifuata



Hatuko hapa kujibu mitihani ya taifa bana. Tuko hapa kuchanganua hali halisi ya mambo. Utumwa, ukoloni, na ukoloni mamboleo yote ni matokeo ya ujinga wa Mwafrika. Unabisha?



Ok.....acha hasira. Lete solutions kama hupendi kile ninachosema.



Narudia tena, huu si mtihani wa taifa wa somo la historia.



Kwa nini hatuna hatuna historia ya kujilinganisha nao? Kwani wao walikuwepo hapa duniani kabla yetu sisi?



BS....



Wewe na hii colonialisma yako hii aaaagh...unaboa sasa. Kila kitu colonialsim colonialism colonialism...hii colonialism kama sii ujinga wa mwafrika tungeisikia kwingine tu.



Afrika nzima hawana historia moja. Mara ya mwisho kusoma historia niliona Ethiopia hawakutawaliwa na mkoloni lakini wana uongozi mbovu hadi kujilisha wenyewe hawawezi. Shame on them

Siyo waafrika peke yao ndiyo waliotawaliwa,ila ngazi za upendeleo zimeendana na race,mwafrika na mweusi kwa ujumla bado yuko kwenye struggle,hilo liko wazi kwenye wenye kutumia medula oblangata.

Hata marekani walipata uhuru kutoka kwa mwingereza,lakini ukiangalia walichokifanya marekani si sawa na walichokifanya Afrika....Na nguzo ya kupata maendeleo imeshikiliwa na wao wenyewe,tulichoshindwa kukifahamu ama labda viongozi ni unafiki wa wazungu,nchi zote za wazungu wenzao ambazo walizitawala walizisadia kiukweli kwa mfano hata SA serikali ilipokuwa ni ya wazungu ndio haswa msingi wa wao kusaidiwa kupata maendeleo,na kwa jinsi mfumo huo ulivyokuwa wa kibaguzi to its core,angalia jinsi manedeleo hayo yalivyokuwa mainly ya upande mmoja tu wa weupe.....Halafu mkuu una balls za kusema eti SA ya weusi minus weupe ndio poor as if race and apartheid haikuwa mojawapo ya sababu kubwa na ya msingi.

Na hayo mambo ya kusema hasira umeyatoa wapi?Solution kama nilivyosema hapo awali ni kuwa bado tuko kwenye struggle ya tru freedom,na wakati tunaangalia ni kivipi tutaiapproach battle hii,ni lazima kwanza tuangalie ni how can we achieve hayo maendeleo kwa terms zetu na si za kwao na bila kupata matatizo kama yanayompata Mugabe.....Ama haya ya kutoa rasilimali zetu sawa na bure ni kwa terms zao,so ni viongozi watakaokuja na mbinu za kutufanikisha hata kama wasipotaka tufanye kwa terms zetu....Hapo ndipo tunaweza kujitoa kwenye kitanzi.

Kama unafuatilia mjadala kwenye posting yangu iliyopita nilisema ni kama tuko kitanzini,kwa kuamini kila kitu kwamba mataifa hayo yanatutakia maendeleo....Kama kwenye dunia hii ya sasa sometimes ni mbinde kwa mweusi hata kama asipokuwa Afrika,je unadhani watataka nini kiwepo Afrika kwenyewe?

Kwa kumalizia siwezi kuona constructive solutions kwa kuanzia na statements kwama sisi ndivyo tulivyo,i dont care how popular it is,i just don't buy it and thats my principle,tuendelee na mjadala bila ya kujishusha kwamba hatuwezi,kama ilivyo kwa mentality kwamba sisi ni masikini,ni the same with mentality kwamba sisi ndivyo tulivyo,yani backwards,ukitizama kiundani ni upuuzi.
 
Baada ya mitazamo ya Azimio la Arusha ambalo lilikuwa limetoa dira ya wapi Taifa linataka kufika, kwasasa hivi hatuna vision yoyote isipokuwa kujilimbikizia mali na ufisadi.
Kama katika miaka ya mwanzo ya uhuru tuliona umuhimu wa kuwa na vision yenye mtazamo wa kitaifa, basi culture hiyo ilikuwepo.Pengine goals hazikuwapo, hilo siwezi kulitetea sana maana kama nalo lingelikuwepo, watu waliokuwa wanashindwa kufikia malengo basi walitakiwa wawe wanawajibishwa.
Kwa sasa hivi hatuna vision baada ya kulitupa chini Azimio la Arusha,maana hakuna draft nyingine yenye sura ya kitaifa inayosema sisi kama watanzania tunataka kujenga Taifa la aina gani.
Na hilo ni tatizo la leadership. Well, leadership iko katika level zote,kwa maana hiyo tuanze katika level zetu as individuals kuona tunataka nini, ili unapoweka maslahi yetu sote pamoja kuwe na solid agenda yenye kuendana na vision ya kitaifa kama ilivyokuwa enzi zile za ujamaa na kujitegemea.
Tusisahau goals ni muhimu sana na kuwe kuna namna ya kuwajibishana kama tunashindwa kufikia target hata kwa uzembe na kukosa umakini.
 
Haya we,yale yale....Kwanza kabla ya ukoloni it was slavery,go check the facts kwanza halafu urekebishe statement yako..

Pia kabla hatujaendelea mbele sana na mjadala kuna mambo ya msingi ya kujiuliza,je maendeleo ni nini? Je maendeleo hayo yanakuja vipi?Tuanzie hapo kwanza.

Pia wakati huo huo,tutambue kuwa kufanya biashara zaidi na kupata faida ni mojawapo ya nguzo za maendeleo,na ukweli ni kwamba njia kuu za maendeleo hapa duniani zimeshikiliwa na matabaka flani flani toka zamani sana historia iko wazi.

Kwa mfano si kweli kabisa kuwa nchi zilizotutawala zinataka tupate maendeleo,ama zinajali maslahi ya wananchi wa mataifa hayo,na kwahivyo utaratibu ulikuwa ni wa kuzalisha kwasababu yao na si kwasababu ya wananchi,halafu na sisi kwa kuparamia na kupenda mambo marahisi tunasema tu ni export and that is good,tunasahau kwamba kuzalisha tu kwasababu yao ni kuwasahau wananchi kwasababu ni wazi huwezi kupata maendeleo kwa kuwazalishia wengine kabla hujaweza kujizalishia na kujitosheleza wewe mwenyewe.

Baada ya kunaswa kwenye mtego wa kuwazalishia wao huku shughuli hizo zikiwanufaisha wachache,wachache hao hao ndio wamewarudisha tena moja kwa moja wakoloni,ukoloni,ubepari,ufisadi na mambo yote machafu na adui wa maendeleo ya jamii yoyote ile.

Tatizo ni kwamba chini ya mfumo huo huo wa kuwategemea na kuwauzia rasilimali,kumeibuka hatari kubwa sana ya uchumi wa Afrika kuwa wa aina moja na maendeleo vile vile,ni kama kamba iliyoko shingoni.......Wengi wanaamini kuwa mataifa hayo yaliyoendelea simply yanatupenda sana na yanataka tuendelee kama wao,Binafsi i dont buy that...Sasa kama mtu hataki upate maendeleo ya kweli,halafu njia ya kuyapata na namna ya kuyafikia "Maendeleo" hayo iwe ni kumtegemea huyo mwenye maendeleo ambaye hataki na wewe uendelee,je utaendelea?

Hizo solutions za kuchapwa viboko na eti ndivyo ilivyo miafrika ni za kipuuzi,sorry for that.

haya rudi nyuma kidogo kabla ya ukoloni.Na uangalie maendeleo.

Hayo yote, uliyoelezea yaelezee kwa maneno mawili. Ndivyo tulivyo. teh teh teh
wewe unafikiri slave haikusababishwa kwa kuwa sie ndivyo tulivyo? Mtemi wako wakati anamfukuzia babu yako ili amuuze wewe unafikiri ni kawaida hiyo.

Nafikiri unaeleza maeneno mengi ya mzunguko kuthibitisha senteso ya nyani gabu
 
haya rudi nyuma kidogo kabla ya ukoloni.Na uangalie maendeleo.

Hayo yote, uliyoelezea yaelezee kwa maneno mawili. Ndivyo tulivyo. teh teh teh
wewe unafikiri slave haikusababishwa kwa kuwa sie ndivyo tulivyo? Mtemi wako wakati anamfukuzia babu yako ili amuuze wewe unafikiri ni kawaida hiyo.

Nafikiri unaeleza maeneno mengi ya mzunguko kuthibitisha senteso ya nyani gabu

Tatizo siyo mtemi,tatizo ni mwenye kumtaka mtumwa huyo,angalia waarabu wanavyowekewa dau na wanauzana we vipi?Fikiria zaidi ndugu yangu.
 
Tuna shida kubwa sana Tanzania;
  1. 95% Ya wachangiaji hapa wameshajikubalia kuwa shida zetu hazina ufumbuzi kwani ni asili yetu, 'black people'.
  2. 5% tu ndio wanadhani kuwa shida zetu zina ufumbuzi endapo uongozi bora utakuwepo.
Tuombe Mungu atupe viongozi kutoka kwenye hiyo 5%, maana kama wakitokea kwenye hiyo 95% basi tumekwisha.
 
Tuna shida kubwa sana Tanzania;
  1. 95% Ya wachangiaji hapa wameshajikubalia kuwa shida zetu hazina ufumbuzi kwani ni asili yetu, 'black people'.
  2. 5% tu ndio wanadhani kuwa shida zetu zina ufumbuzi endapo uongozi bora utakuwepo.
Tuombe Mungu atupe viongozi kutoka kwenye hiyo 5%, maana kama wakitokea kwenye hiyo 95% basi tumekwisha.
KJ,its like a viscious cirlce,wengine ni sawa na wanakula vinyesi vyao at the same time wanaparamia toilet papers ili wajifute mdomo,wanakubali kwamba wao ni wajinga at the same time siyo na kwamba ni very smart?Hata hivyo ulichosema ni kweli,kama mawazo ya viongozi wetu ndio kama hayo,basi ni lazima kutakuwa na carelessness...what a sad reality!
 
Afrika wazungu wanaiita 'last frontier', yaani ndio lilitawaliwa mwishoni. Utawala huo wa kikoloni aidha haukumaliza kazi yake, yaani 'ustaarabishaji wa kibeberu' (imperialist civilization) , kwa kuwa hakukuwa na muda wa kutosha au ilishindwa kazi hiyo kwa kuwa waafrika walikuwa wanapinga kubadilishwa. Kazi hii ya kutufanya 'wazungu weusi' haikukamilika maana dunia ilibadilika ghafla miaka michache baada ya Mkutano wa Berlin hivyo Waafrika walijikomboa na kupata uhuru wa kujiamulia wajitawale vipi japo hawakujua wajitawale vipi. Matokeo yake ni kuwa mwafrika amebaki katika hali ya 'utata wa utambuzi' - hajijui kama yeye ni 'Mzungu' au 'Mwafrika', yupo yupo anachanganya madesa - kanisani unamwona na kwa mganga unamwona, msikitini unamwona na matambikoni unamwona! Hivyo, waafrika waliosoma shule wanashindwa kuongoza vizuri maana hawajielewi.

MWAFRIKA MSOMI = MZUNGU MWEUSI = MSUKULE WA KIZUNGU!
 
Tatizo siyo mtemi,tatizo ni mwenye kumtaka mtumwa huyo,angalia waarabu wanavyowekewa dau na wanauzana we vipi?Fikiria zaidi ndugu yangu.

Ndivyo tulivyo, fikiria kidogo.

Ufisadi umeanza toka zamani, wakati utumwa unafanyika kwa kuwa watemi walikuwa wanakatiwa kitu kidogo, kama vile viungo na zana fulani fulani ,walikuwa mstali wa mbele kuwafukuzia babu zetu kuwa uza.

wakati wa utumwa ni mtemi gani ali react? hakuna kwa sababu walikuwa mafisadi nambari moja, wewe unafikiri ufisadi umeanza juzi?? eti tunaambiwa sijui mtemi Isike sujui Mirambo alikuwa rafiki wa Tip Tip kwa nini kwa sababu tip tip alikuwa anatoa ngawila.

Akina Mkwawa na wenzake wamepigana kwa sababu wakoloni wa kizungu walikuwa wanatia hali te te uongozi wao wa kufisadi wananchi, mbona hawakupigana wakati wa utumwa.?

Fikiria kidogo wewe unafikiri kwanini chief Magungo aliingizwa mjini na Karl peters ,ama unafikiri wanaoingizwa mjini leo hii ni akina chenge na karamangi?

Acha kutupiga propaganda tena tukiangalia historia ndo wacha kabisa, historia yetu ya ajabu ajabu sana.kubali tu ndivyo tulivyo tuanze upya wakati tu take into consideration udhaifu wa ndivyi tulivyo.
 
Tuna shida kubwa sana Tanzania;
  1. 95% Ya wachangiaji hapa wameshajikubalia kuwa shida zetu hazina ufumbuzi kwani ni asili yetu, 'black people'.
  2. 5% tu ndio wanadhani kuwa shida zetu zina ufumbuzi endapo uongozi bora utakuwepo.
Tuombe Mungu atupe viongozi kutoka kwenye hiyo 5%, maana kama wakitokea kwenye hiyo 95% basi tumekwisha.

Kuutambuwa udhaifu ,si kwamba wewe ni mjinga, kukubali kwamba weye kitu fulani huwezi si kwamba wewe ni mjinga.

Kuna sehemu ambayo ni ndogo sana na ambayo hatuiwezi naweza kuiita bottleneck.Hii shingo inapofeli kote kunafeli na sehemu hii ndo nyeti na mbaya zaidi hatuiwezi lakini hatutaki kukubali hatuiwezi na badala yake tunaforce kingi basi kila siku ni failure,failure,failure and failure.
 
Why do we always have to have an excuse to mask our inefficiency and incompetence?

We have been Uhuru for almost 50 years, bado tutadai ni makovu ya Utumwa, Ukabaila na Ukoloni au Ubeberu?

When will we start taking ownership of our failures?​
 
I think signature ya Nyani Ngabu is still sending a valid message.We Africans have something wrong though its hard to admit but hate it or like it sisi 'ndivyo tulivyo'.Naamini siku moja genetics will going to tell the answer.Haiwezekani Mwanasiasa aone fahari kuiba mabilioni ya pesa na kwenda kuyafisha kwenye mabenki ya nje huku anajua kabisa nchi yake ni masikini,Wananchi wake hawana madawa hospitalini,wanakufa kila siku kwa magonjwa ya kipuuzi kama Malaria...Kwanini basi asifungue walau kampuni/kiwanda fulani mlemle ndani ya nchi yake akaajiri watanzania/waafrika wenzake na kuongeza kasi ya mzunguko wa pesa?Mbona wazungu hawaibi kwao na kuja kuficha hayo mapesa Afrika?Haiwezekani mtu aliyesomea hukohuko kwa wazungu tena shule zenye hadhi ya juu sana,kisha akarudi Afrika na kwenda kusaini mkataba wa 3% na wazungu walewale,damn!!Hivi inakuwaje mzungu akupe bunduki ukamuue muafrika mwenzako nawe ukakubali kisa power?Nenda kwa African Americans nao ndiyo hivyo.Shuleni wako wachache.Akichoropoka labda ana talent kwenye kikapu au music.High school drop outs usiseme,negro anaona fahari kuwa na felons.
Popote kwenye black community ni matatizo tu na mostly ni yaleyale yaani poverty ndiye mama yao!Hatuna mipango endelevu hata kidogo.Mtu anaishi kwenye chumba cha kupanga lakini anaendesha gari la 30M.
Viongozi wetu pamoja na sisi wenyewe wote ni failures!
 
Why do we always have to have an excuse to mask our inefficiency and incompetence?

We have been Uhuru for almost 50 years, bado tutadai ni makovu ya Utumwa, Ukabaila na Ukoloni au Ubeberu?

When will we start taking ownership of our failures?​

hizo ni bwebwe tu za kushindwa

Nchi nyingi tu zimetawaliwa na tumepata uhuru sawa nao lakini wametuacha vibaya.

ukiangilia nchi zilizopata uhuru nyuma kwanini zinakuwa na maendeleo ahuweni kuliko waliopata mapema ?
 
Monoko JMushi,

Naona kauli ya Miafrika Ndivyo Tulivyo inakukwaza sana na unafikiri ni lazima kuna kasoro kubwa kwa mtu kukiri kuwa katika Safari yetu kujijenga, kuna jambo fulani lisiloeleweka.

Mimi mapokeo yangu ya kusema ndivyo tulivyo ni kuwa sisi kama Watanzania na hata ukiongezea na kusemaWaafrika, tuna matatizo ya kukimbilia vitu vyepesi vyepesi, kuogopa kutoka jasho na kutwa ni kawaida yetu kulalamikana kutafuta mchawi.

Humu ndani JF, mchawi wetu ni CCM na Kikwete, lakini katika kundi letu hili la ulalamishi ni wachache ambao wakipewa nafasi ya kweli kwenda kufanya lolote nyumbani, wataishia kujiunga na kundi la CCM na Kikwete na hivyo kuendeleza libeneke lile lile walilokuwa wakilishikia bango.

Nina marafiki wengi ambao tulikuwa Wanamapinduzi pamoja, lakini baada ya wao kupata nafasi ya "kuneemeka" na kuajiriwa na awamu ya nne, wamesahau zile itikadi za mabadiliko na mwamko wa kimapinduzi ambao mimi bado naendelea nao mpaka leo hii.

Ndivyo tulivyo kwa kuwa hatuna malengo ya msingi na maana, bali ni malengo ya kushibisha tumbo kukidhi njaa tuliyonayo sasa hivi. Hatufikiri la kesho, sembuse la masaa matatu yanayokuja.

Kama tukibadilisha dhana na mtazamo wetu (mindsets), basi utaona kwa uharaka mkubwa kufutika kwa kauli kwua Ndivyo Tulivyo.

Ikiwa leo hii wewe bado unalia makovu ya ukoloni na utumwa na kukiri kwa nguvu ndiyo yaliyotudumaza, je ni lini utaachana na kukumbatia dhana hiyo ya unyongena kusema sasa unaamka kwa nguvu mpya na jukumu la wewe kuwa na maendeleo na umakini ni utashi wako na si msukumo wa mtu mwingine?
 
Nadhani pia biger Picture is FOCUS.huyu vasco dagama wetu ana kaugonjwa wenzetu wadhungu wanakaita short attention span dis-order,yani yeye ni kama 4 year old,ana loose interest ya vitu mapema sana.

Kaingia na Ari mpya nguvu Mpya,Ajira milioni 5 etc,alivyoona hazitengenezeki,huyo phew,NY,London,Tokyo,Beijing,SA,Jamaica u name it,kutunadi dunia nzima,kaona hatuuziki akahamia Kilimo kwanza..,all that in less than 3 years!

a serious leader has vision lakini huyu wa kwetu anatupeleka kama darasa la kindergaten,attnetion is focused on the crying kid.once he.she is quite we move on to the next kid(attention grabbing matter).

Kimweri,

You are addressing lack of stamina, discipline, endurance, patiency and hard work which is not just Kikwete who is at fault, but majority of Tanzanians' have these syndromes!

Basically procastination, complacency and laziness are our modus operandis!
 
I think signature ya Nyani Ngabu is still sending a valid message.We Africans have something wrong though its hard to admit but hate it or like it sisi 'ndivyo tulivyo'.Naamini siku moja genetics will going to tell the answer.Haiwezekani Mwanasiasa aone fahari kuiba mabilioni ya pesa na kwenda kuyafisha kwenye mabenki ya nje huku anajua kabisa nchi yake ni masikini,Wananchi wake hawana madawa hospitalini,wanakufa kila siku kwa magonjwa ya kipuuzi kama Malaria...Kwanini basi asifungue walau kampuni/kiwanda fulani mlemle ndani ya nchi yake akaajiri watanzania/waafrika wenzake na kuongeza kasi ya mzunguko wa pesa?Mbona wazungu hawaibi kwao na kuja kuficha hayo mapesa Afrika?Haiwezekani mtu aliyesomea hukohuko kwa wazungu tena shule zenye hadhi ya juu sana,kisha akarudi Afrika na kwenda kusaini mkataba wa 3% na wazungu walewale,damn!!Hivi inakuwaje mzungu akupe bunduki ukamuue muafrika mwenzako nawe ukakubali kisa power?Nenda kwa African Americans nao ndiyo hivyo.Shuleni wako wachache.Akichoropoka labda ana talent kwenye kikapu au music.High school drop outs usiseme,negro anaona fahari kuwa na felons.
Popote kwenye black community ni matatizo tu na mostly ni yaleyale yaani poverty ndiye mama yao!Hatuna mipango endelevu hata kidogo.Mtu anaishi kwenye chumba cha kupanga lakini anaendesha gari la 30M.

Viongozi wetu pamoja na sisi wenyewe wote ni failures!

Mama nao serikali yao hao wa amerika weusi haijawaandalia vizuri, fedha za research inawabania, Obama na uongozi wake akiona mwafrika anaandika proposal ya research anambania. Ndio maana unaona wakabilia ktk mziki.
 
Ndivyo tulivyo, fikiria kidogo.

Ufisadi umeanza toka zamani, wakati utumwa unafanyika kwa kuwa watemi walikuwa wanakatiwa kitu kidogo, kama vile viungo na zana fulani fulani ,walikuwa mstali wa mbele kuwafukuzia babu zetu kuwa uza.

wakati wa utumwa ni mtemi gani ali react? hakuna kwa sababu walikuwa mafisadi nambari moja, wewe unafikiri ufisadi umeanza juzi?? eti tunaambiwa sijui mtemi Isike sujui Mirambo alikuwa rafiki wa Tip Tip kwa nini kwa sababu tip tip alikuwa anatoa ngawila.

Akina Mkwawa na wenzake wamepigana kwa sababu wakoloni wa kizungu walikuwa wanatia hali te te uongozi wao wa kufisadi wananchi, mbona hawakupigana wakati wa utumwa.?

Fikiria kidogo wewe unafikiri kwanini chief Magungo aliingizwa mjini na Karl peters ,ama unafikiri wanaoingizwa mjini leo hii ni akina chenge na karamangi?

Acha kutupiga propaganda tena tukiangalia historia ndo wacha kabisa, historia yetu ya ajabu ajabu sana.kubali tu ndivyo tulivyo tuanze upya wakati tu take into consideration udhaifu wa ndivyi tulivyo.

Nimeshakupa mfano wa waarabu wanavyouzana kwa wale wanaowekewa dau na mara nyingine hukamatwa ama kuuwawa,wengi tu wanaotafutwa na wamarekani wanauzwa na waarabu wenzao,usifananishe hayo,kwa wakati ule mwafrika alikuwa ndiyo the main comodity,sasa wewe sema ni bidhaa gani itakayomshinda mzungu anapoitaka?Mafuta yenyewe unaona ilivyo mshike mshike na mambo ya terrorism Bin Laden kichwa kina dau la dila milioni 50 kama sikosei,tumia ubongo mkuu.

Suala la kutawaliwa nimeshaweka wazi siyo Afrika peke yake,hata marekani nk,Alichosema Companero hapo juu somewhat kina ukweli,certainly mfumo walioutumia kutawala Afrika ni wa tofauti, na maeneo mengine,na kama alivyosema Companero,ugumu wa ku adapt pia inawezekana ulikuwepo na ndio maana unakuta kuna issue kama za dini ambazo zinachanganywa na issue za kugombea uhuru,na hivyo kwenye jamii nyingine maendeleo ya ki west yanakuwa ni kharam....Kwa hiyo ni wazi kuwa Afrika ilikuwa one heck of a battle field.

Yote hayo ni history,na kama alivyosema Companero,ni lazima kwanza tujue tunachotaka kabla ya kujiuliza namna ya kupata.

Jishughulishe kufikiri zaidi utaweza kuona ni where i am coming from kabla ya kusema nakulisha propaganda.
 
Back
Top Bottom