Kifupi sisi hatuna culture ya kuwa na vision na kuweka goals, tunaelea tu.....

Kwa hiyo title hapo juu, tatizo si visheni wala misheni wala sera. Hili la uongozi nina mashaka. Nitarudia kila leo kuwa tatizo ni kukosekana uwezo wa kujibainisha pamoja na dhamira hai. Haya yanazidi kutibuliwa na tatizo la ukosefu wa utekelezaji na kusimamia huo utekelezaji (implementation na maintenance)
 
labda tatizo liangaliwe kibinafsi zaidi!mi huwa nina tatizo la kutomalizia mambo yangu yaani napanga nijifunze au nisome kitabu fulani nikifika katikati narukia kitu kingine yaani nafanya nusu nusu simalizii mambo yangu niliyopanga nadhani ni tatizo letu hasa watanzania kubali kataa ila hatuna mwelekeo,leo mtu anafanya mchepuo wa Pcm akimaliza form 6 anarukia commerc;leo unafungua biashara ya nyanya kabla ya hata mwezi unarukia biashara ya maembe yaani hatujui nini tunafanya;tunafikira mbaya kuhusu maendeleo na hatuna uvumilivu; wenzetu wametushinda uvumilivu na wanajua kukomaa na kitu mpaka kifanikiwe hata kama dunia nzima itawapinga hamna kurudi nyuma:mzungu anaweza kuandamana hata peke yake kupinga jambo fulani yaani hawasubiri support kufanya jambo support inakuja baadaye;wavumbuzi wengi walipingwa sana ila kukomaa kwao ndio kunatufanya leo tufaidi matunda yao na hata wengine walipoteza maisha yao!sisi hatuna kujitoa!mtanzania hawezi kutoa maisha yake kutetea hata familia yake achilia mbali taifa!tunajipenda nafsini kuliko kitu chochote yaani tu wabinafsi!Aliyefanikiwa hili ni Nyerere tu!hushawahi kuona baba wa kitanzania anakataa kutoa pesa za dawa ili mtoto wake atibiwe kisa itapunguza bajeti ya bia na nyama choma kikaoni usiku??Sijahadithiwa ila nimeyaona na kuyaishi haya!!naweza kuandika mpaka machozi yakanitoka ila inauma sana!tatizo sisi ni UBINAFSI!
 
sasa wajameni tutaendelea vipi wakati Raisi wetu hajui kwa nini sisi ni masikini?tutaendenela vipi wakati wabunge wetu sidhani kama wanaweza kufanya discussions za ki-JF,wao wanafikiria posho,suti,magari na amenities kama hizo.

Inabidfi kila mtanzania afahamu kuwa Kuendelea sio kumiliki TV,au kuwa na computer as simu ya mkononi,wakati huna maji salama,huna umeme wa uhakika wala hujui kama nchi yako itajitosheleza ki-chakula kwa mwaka huu wa kilimo/fedha.

recently maraisi wetu wako too materialistic,wao wanaona kuwajaza wawekezaji tanzania ndio kuendelea.Kuuza vile tulivyotumia muda na akili zetu nyingi kuvijenga ndio kukua kwa GDP n.k.

Uchumi una nadharia nyingi na sio zote ni sahihi,na hata zile sahihi zina expire date.wataalam wetu wa uchumi wanayajua haya ila they don't care.
 
Quoting the one and Only Kiranga, let me open a window of debate and slugs! If not the statement sort of quantify Nyani/Julius Ndivyo tulivyo.

Be it in Social aspect, economy, political, cultural, production, education entrepreneurship, management, leadership ot whatever, we always fail if not falling short and one has to wonder, TUNA MATATIZO GANI?

Is it psychological issues, colonial wounds, inferiority complex or just our nature?
Ndugu zangu WaTanzania, akili za watu wote duniani ni sawa kabisa. WaFrika, Wazungu, Waasia wote akili zao zipo sawa. Katika saikoloji kuna kitu kinaitwa "Mindset". Mindset ni muhimu sana kuweza ku-assess maisha ya group za watu, adaptation, group thinking etc.
Kwa Mfano wachukue watu wawili, Mchina na Mswahili. Hawa wawili waanzishe duka, kwa mtaji uliosawa (chukulia hawa wote wana market access iliyosawa). Wote waTaanza kufanya vizuri; lengo lao wote ikiwa ni kupata pesa (faida). Hizi family mbili zitaendelea; ukija kufanya assessment in five years observation itakuwa ifuatavyo:

1. Mwashili: apatapo faida hutosheka na kuongeza familia, huongeza wake, watoto wengi na wengi hawatapata elimu, baba hana plan ya miaka kumi hadi ishirini; kwa generation ijayo, mara hufilisika.

2. Mchina/Mhindi: family itakuwa ya wastani, watoto watasoma, business ita-expand, na hii itakuwa in succession.

Mindset ya kila group hutengenezwa na mazingira yake. Kubadili mindset ya mtu ni kugumu sana, lakini education na ku-mix culture (cultural exchange) kunasaidia. Ndiyo maana sasa hivi Rev Kishoka upo ughaibuni huwezi kumpiga mkeo; lakini kwa Africa kupiga mke ni part of culture, created by a group mindset. Mambo mengi yafanyikayo Africa ingekuwa ulaya tungesema ni kosa for example chukulia "rape" groups za ulaya na Africa wanadefine vipi. Mindset.

We need education and explore civilisation! Akili tunazo lakini our mindset inaturudisha nyuma!!

read this which I copied from Wakipedia:
[FONT=宋体]In decision theory and general systems theory, a mindset is a set of assumptions, methods or notations held by one or more people or groups of people which is so established that it creates a powerful incentive within these people or groups to continue to adopt or accept prior behaviours, choices, or tools. This phenomenon of cognitive bias is also sometimes described as mental inertia, "groupthink", or a "paradigm", and it is often difficult to counteract its effects upon analysis and decision making processes.[/FONT]
[FONT=宋体]On the positive sides a mindset can also be seen as incident of a persons Weltanschauung or philosophy of life. For example there has been quite some interest in the typical mindset of an entrepreneur.[/FONT]
 
mazingira ya sasa hayampi ruhusa mtaalamu kufanya kazi kwa ufasaha na kwauhuru hata kidogo, Mfano mzuri kilamwezi mamilioni ya shilingi yanatumika kupeleka watu wenye matatizo ya moyo INDIA, ardhi na mbingu ya Tanzania ilishuhudia jinsi dr Masao wa Tanzania heart Institute alivyonyanyaswa na serekali wizara ya afya na NSSF, yeye ni mtu wa kwanza kufamya upasuaji wa moyo tanzania kama utaalamu wake ulukuwa unahitajika ni kwa nini hiyo serekali isingejiunga nae wakwa na taasisi kubwa ya moyo badala ya kuendelea na huo mradi wa kupeleka watu India?????

Wataalamu tupo na wengine tunauchungu na taifa letu tunataka tulitumikie lakini mazingira magumu, hatudhaminiwi,mchango wetu haupewi kipaumbele kila kukicha serekali na taasisi zake wanaabudu wataalau wanje ambao wengi ni bomu wewe unategemea nini?
Unless watawala wameamka usitegemee wataalamu wakitanzania watarudi huko,serekali ibadilike, ijifunze Rwanda, namibia, india na kwingineko wanawatumia vipi wataalamu wao then ndo ianze ushawishi wakuwaomba warudi nyumbani lasivyo mbona tutaendelea kubeba maboksi tu mradi utaalamu wako unaheshimiwa na unautumia bila kikwazo,unauhakika na huduma za jamii kama afya, usalama wako uwapo barabarani nk
 
mazingira ya sasa hayampi ruhusa mtaalamu kufanya kazi kwa ufasaha na kwauhuru hata kidogo, Mfano mzuri kilamwezi mamilioni ya shilingi yanatumika kupeleka watu wenye matatizo ya moyo INDIA, ardhi na mbingu ya Tanzania ilishuhudia jinsi dr Masao wa Tanzania heart Institute alivyonyanyaswa na serekali wizara ya afya na NSSF, yeye ni mtu wa kwanza kufamya upasuaji wa moyo tanzania kama utaalamu wake ulukuwa unahitajika ni kwa nini hiyo serekali isingejiunga nae wakwa na taasisi kubwa ya moyo badala ya kuendelea na huo mradi wa kupeleka watu India?????

Wataalamu tupo na wengine tunauchungu na taifa letu tunataka tulitumikie lakini mazingira magumu, hatudhaminiwi,mchango wetu haupewi kipaumbele kila kukicha serekali na taasisi zake wanaabudu wataalau wanje ambao wengi ni bomu wewe unategemea nini?
Unless watawala wameamka usitegemee wataalamu wakitanzania watarudi huko,serekali ibadilike, ijifunze Rwanda, namibia, india na kwingineko wanawatumia vipi wataalamu wao then ndo ianze ushawishi wakuwaomba warudi nyumbani lasivyo mbona tutaendelea kubeba maboksi tu mradi utaalamu wako unaheshimiwa na unautumia bila kikwazo,unauhakika na huduma za jamii kama afya, usalama wako uwapo barabarani nk

Ni wakati gani mazingira yalimpa huru mtaalamu? na ni yepi?

Je ?Unafikiri Newton alipewa fedha za kufanya research?
Mimi nafikiri ndivyo tulivyo , watu tunashindwa wenyewe basi kwa visingizio , hata mbaazi nazo zikikosa maua zinachakusema

Waafrika, wherever you are, we are only good in application kituo kikubwa.Na unajuwa nini maana ya application maana yake ni kukalili process
 
mazingira ya sasa hayampi ruhusa mtaalamu kufanya kazi kwa ufasaha na kwauhuru hata kidogo, Mfano mzuri kilamwezi mamilioni ya shilingi yanatumika kupeleka watu wenye matatizo ya moyo INDIA, ardhi na mbingu ya Tanzania ilishuhudia jinsi dr Masao wa Tanzania heart Institute alivyonyanyaswa na serekali wizara ya afya na NSSF, yeye ni mtu wa kwanza kufamya upasuaji wa moyo tanzania kama utaalamu wake ulukuwa unahitajika ni kwa nini hiyo serekali isingejiunga nae wakwa na taasisi kubwa ya moyo badala ya kuendelea na huo mradi wa kupeleka watu India?????

Wataalamu tupo na wengine tunauchungu na taifa letu tunataka tulitumikie lakini mazingira magumu, hatudhaminiwi,mchango wetu haupewi kipaumbele kila kukicha serekali na taasisi zake wanaabudu wataalau wanje ambao wengi ni bomu wewe unategemea nini?
Unless watawala wameamka usitegemee wataalamu wakitanzania watarudi huko,serekali ibadilike, ijifunze Rwanda, namibia, india na kwingineko wanawatumia vipi wataalamu wao then ndo ianze ushawishi wakuwaomba warudi nyumbani lasivyo mbona tutaendelea kubeba maboksi tu mradi utaalamu wako unaheshimiwa na unautumia bila kikwazo,unauhakika na huduma za jamii kama afya, usalama wako uwapo barabarani nk

Mkuu umenena. I thought Dr Massawe angesaidiwa kwa kila hali lakini matokeo yake tumeyaona, mifano ni mingi sana huo ni mmoja tu. Ujue kuwa uwepo wa Hospitali yake ulikuwa unawafanya baadhi ya watu washindwe kutafuna pesa za kupeleka watu India, so we are coming to the same point, hatuna uzalendo.
 
Ni wakati gani mazingira yalimpa huru mtaalamu? na ni yepi?

Je ?Unafikiri Newton alipewa fedha za kufanya research?

Jiulize ni kwanini waalimu wa DIT wengi walikimbilia Kigali Institute?au kwa nini madaktari wanakimbilia nje? ndugu mazingira´ya kimbindi hicho na hiki ni tofauti kabisa, kumbuka njia walizotumia marekani kuendelea sio hizo wanazozitumia China au Japan, korea nk

Nchi kama nchi inatakiwa iwe na mipango yake itakayoifanya iendelea kutokana na rasilimali zilizopo,watu na hata location ya nchi, Umeshajiuliza nini sera ya viwanda kama mie naishi marakani nataka nije nifungue kiwanda cha kutengeneza dawa tanzania kama mzawa mazingira yakoje?hayo ni mambo yanayosaidia nchi kama china kuendelea kwa kasi, nawafahamu vijana hawajaenda hata shule walikuwa wanauza ngua kariakoo kwa kwenda kuzinunua china sasa hivi wameajiri wachina huko kwao wanatengeneza nguo,ni kwanini hawakufanya hivyo hapa tz?
 
Jiulize ni kwanini waalimu wa DIT wengi walikimbilia Kigali Institute?au kwa nini madaktari wanakimbilia nje? ndugu mazingira´ya kimbindi hicho na hiki ni tofauti kabisa, kumbuka njia walizotumia marekani kuendelea sio hizo wanazozitumia China au Japan, korea nk

Nchi kama nchi inatakiwa iwe na mipango yake itakayoifanya iendelea kutokana na rasilimali zilizopo,watu na hata location ya nchi, Umeshajiuliza nini sera ya viwanda kama mie naishi marakani nataka nije nifungue kiwanda cha kutengeneza dawa tanzania kama mzawa mazingira yakoje?hayo ni mambo yanayosaidia nchi kama china kuendelea kwa kasi, nawafahamu vijana hawajaenda hata shule walikuwa wanauza ngua kariakoo kwa kwenda kuzinunua china sasa hivi wameajiri wachina huko kwao wanatengeneza nguo,ni kwanini hawakufanya hivyo hapa tz?

Visingizio tu.
Julius amekuuliza kwanini chini ya jangwa la sahara tunafanana sana. Ukisema ni uongozi basi kumbe tulivyo ndio jibu sahihi.

weye kubali tu ,ndivyo tulivyo visingizio havisaidii. Angalia south afrika ilipokuwa chini ya mzungu ilikuwa better, leo kwa kuwa ndivyo tulivyo wamemtoa mzungu ktk madaraka matatizo bado yako palepale.
Sasa wamegeuka eti anayesababisha matatizo ni mgeni wa kiafrika, wanauwa kweli ,wageni wakiisha sijui itakuwa zamu ya nani
 
Wakuu Rev,MKJJ,FMES,Nyani nk.
Ukweli nimeshindwa nianzie wapi kwenye mjadala huu,hata hivyo nitaanza kwa kuwa msomaji,na nitatafuta pa kuanzia since Prodigal Son ana cha kuwaeleza kwanza.

Inaniwia vigumu sana kulaumu mwenekano wetu na kulink moja kwa moja na jinsi ambavyo jamii yetu iko,sijawahi kuona low self esteem ikimsaidia yeyote yule....Sijawahi kuona mtu mwenye kujidharau akipata maendeleo yoyote haijalishi ana elimu gani,eti kwanini tumefanana sana na kwahiyo solution ndivyo hivyo tulivyo?statement ambayo ni very broad na huwa mimi si fan wa statement hiyo hata chembe,mi si mfata mkumbo,naelewa tuna matatizo lakini kamwe sitoishusha heshma yangu ya uafrika kwasababu ya watu wachache,watu walioitawala Afrika ni wachache sana na wengi wao bado ni vibaraka,sasa hata hayo hatuangalii tunapiga soga kama kwenye togwa....?Mimi siamini kabisa kwamba wote tuko hivyo ama ndivyo tulivyo,hapo msimamo wangu hautayumba asilani.

Certainly kwasababu hatuwezi kusema wajerumani ndivyo walivyo kwasababu ya Hitler,same way with Bush and Americans.
 
Wakuu Rev,MKJJ,FMES,Nyani nk.
Ukweli nimeshindwa nianzie wapi kwenye mjadala huu,hata hivyo nitaanza kwa kuwa msomaji,na nitatafuta pa kuanzia since Prodigal Son ana cha kuwaeleza kwanza.

Inaniwia vigumu sana kulaumu mwenekano wetu na kulink moja kwa moja na jinsi ambavyo jamii yetu iko,sijawahi kuona low self esteem ikimsaidia yeyote yule....Sijawahi kuona mtu mwenye kujidharau akipata maendeleo yoyote haijalishi ana elimu gani,eti kwanini tumefanana sana na kwahiyo solution ndivyo hivyo tulivyo?statement ambayo ni very broad na huwa mimi si fan wa statement hiyo hata chembe,mi si mfata mkumbo,naelewa tuna matatizo lakini kamwe sitoishusha heshma yangu ya uafrika kwasababu ya watu wachache,watu walioitawala Afrika ni wachache sana na wengi wao bado ni vibaraka,sasa hata hayo hatuangalii tunapiga soga kama kwenye togwa....?Mimi siamini kabisa kwamba wote tuko hivyo ama ndivyo tulivyo,hapo msimamo wangu hautayumba asilani.

Certainly kwasababu hatuwezi kusema wajerumani ndivyo walivyo kwasababu ya Hitler,same way with Bush and Americans.
Mushi,
Wala usijidanganye. Mindset yako ipo katika group uliyo-adapt; labda tu utakuwa tofauti kama umejichanganya na culture nyingine au upo na elimu nyingine. Wewe huna tofauti na Kikwete au mimi kwenye priority zako; kwa group as large. Kama ni tofauti basi wengi tutakuona wewe umesha-deviate kwenye culture yetu. Akili na na mindset vichukulie tofatuti. Environment (surroundings) zimetofatisha mindset. Hata makabila kabla ya kuchanganyika tulikuwa tofauti mindset zetu; kwa hiyo, lazima ukubali ndiyo utatambua kuwa una matatizo. Kama hukubali basi ni huwezi kusolve matatizo yetu.

Hutuwezi kuishi na mindset tuliyo-nayo sasa hivi tukategemea maendeleo. Best planners, economists, scientists etc are those who sacrifice their time in hardwork, and researches. I cannot understand a Professor who has three wives doing his researches properly. Pale muhimbili nimewahi kuhudhuria pale kwenye baa ya interns, madaktari weng huenda pale kunywa kabla ya kufanya operation, na husifiwa kuwa wakinywa pombe ndiyo hufanya kazi vizuri.

WE are not serious. Our groups need a mix, or else education, which can help our mindset.
 
Wakuu Rev,MKJJ,FMES,Nyani nk.
Ukweli nimeshindwa nianzie wapi kwenye mjadala huu,hata hivyo nitaanza kwa kuwa msomaji,na nitatafuta pa kuanzia since Prodigal Son ana cha kuwaeleza kwanza.

Inaniwia vigumu sana kulaumu mwenekano wetu na kulink moja kwa moja na jinsi ambavyo jamii yetu iko,sijawahi kuona low self esteem ikimsaidia yeyote yule....Sijawahi kuona mtu mwenye kujidharau akipata maendeleo yoyote haijalishi ana elimu gani,eti kwanini tumefanana sana na kwahiyo solution ndivyo hivyo tulivyo?statement ambayo ni very broad na huwa mimi si fan wa statement hiyo hata chembe,mi si mfata mkumbo,naelewa tuna matatizo lakini kamwe sitoishusha heshma yangu ya uafrika kwasababu ya watu wachache,watu walioitawala Afrika ni wachache sana na wengi wao bado ni vibaraka,sasa hata hayo hatuangalii tunapiga soga kama kwenye togwa....?Mimi siamini kabisa kwamba wote tuko hivyo ama ndivyo tulivyo,hapo msimamo wangu hautayumba asilani.

Certainly kwasababu hatuwezi kusema wajerumani ndivyo walivyo kwasababu ya Hitler,same way with Bush and Americans.

Kujifahamu jinsi ulivyo si kujidharau, na ni moja ya njia sahihi kuelekea ktk maendeleo.
Kitu cha kwanza kubali na ujifahamu ulivyo hapo utaweza mitigate matatizo mengi.

Kitu hatari ktk maendeleo ya binadamu ktk nyanja yoyote
kutoukubali ukweli na kujaribu kurusha visingizio hivi na vile.

Waangalieni wasouth afrika ,nafikiri kwao hawana corruption kama ilivyo kwetu na bado naamini kwao demokrasia ina nguvu kuliko kwetu na bado naamini serikali inaweza toa fedha nyingi za research.
Kwa kuwa hawana kisingizio ktk hilo, wao wamekuja na kisingizio kwamba wanaorudisha maendeleo yao ni wageni weusi kutoka chini ya jangwa la sahara.teh teh teh.

wewe uko marekani kama sikosei nimesikia waamerika weusi hawapendi waafrika mpingo kutoka afrika ni kweli??
 
Hakuna cha asili wala nini. Mambo yetu yalikuwa poa tu zamani. Hadi siku mvua ilipoanza kutunyea!
 
Ndugu zangu,

Hili ni jibu langu ninalolirudia mara kwa mara katika topic za namna hii, sambamba na Julius na msimamo wake wa 'miafrika ndivyo tulivyo'. Basi, mimi nasema hivi:

Hata kama tungelikuwa hatuna scientific ingenuity au kuwa ma-proponent wa tafiti za kisayansi ya hali ya juu, kama wengi ya watu wetu (haswa viongozi tuwachaguao) kwenye jamii zetu tungelikuwa si wenye tamaa, si wanafiki, si wazembe, si watu wa kuridhishwa na kilichopo bali wa kutafuta kilichozaidi kwa ajili ya manufaa ya jamii nzima, si watu wa kudharau wasionacho ndani ya jamii zetu; hakika tungelikuwa tuna maendeleo makubwa kuliko tulivyo hivi sasa. Kwa mara nyingine tena nitamalizia kwa sentensi ifuatayo:

Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi.

Steve Dii
 
image001.jpgdd.jpg


- Tunaweza sana ku-create haya yasiyoweza kutuendeleza, that is all!

Respect.


FMEs!
 
Mushi,
Wala usijidanganye. Mindset yako ipo katika group uliyo-adapt; labda tu utakuwa tofauti kama umejichanganya na culture nyingine au upo na elimu nyingine. Wewe huna tofauti na Kikwete au mimi kwenye priority zako; kwa group as large. Kama ni tofauti basi wengi tutakuona wewe umesha-deviate kwenye culture yetu. Akili na na mindset vichukulie tofatuti. Environment (surroundings) zimetofatisha mindset. Hata makabila kabla ya kuchanganyika tulikuwa tofauti mindset zetu; kwa hiyo, lazima ukubali ndiyo utatambua kuwa una matatizo. Kama hukubali basi ni huwezi kusolve matatizo yetu.

Hutuwezi kuishi na mindset tuliyo-nayo sasa hivi tukategemea maendeleo. Best planners, economists, scientists etc are those who sacrifice their time in hardwork, and researches. I cannot understand a Professor who has three wives doing his researches properly. Pale muhimbili nimewahi kuhudhuria pale kwenye baa ya interns, madaktari weng huenda pale kunywa kabla ya kufanya operation, na husifiwa kuwa wakinywa pombe ndiyo hufanya kazi vizuri.

WE are not serious. Our groups need a mix, or else education, which can help our mindset.

Umenena mkuu. Ni kweli kabisa, kwa jinsi tulivyo na tamaduni zetu, ili jamii mbalimbali za Kiafrika ziweze kuendelea (maendeleo ya kisasa au Kiulaya) hamna budi jamii hizi ku-import culture au aina fulani ya mwongozo kutoka kwenye jamii zenye maendeleo tuyatamaniyo. Na hili litatokea tu kwa kukubali kuwa yametushinda. Tulete Wachina au Wazungu? Tulete Wahindi au Waarab? Tulete Wabrazil au WaSingapore?
 
How long did it take for Beveridge to come up with his welfare reforms propoposals of tackcling diseases, ignorance, squalor, idleness and want which is the backbone of western welfare states with a little twists to suit local governments.

For those who do not know, the debate began early 1808 with the poor laws. Uingereza ya wakati huo ilikua ni chafu na ya wachache yaani watu walianza kujiuliza what is the better way to help the social. Along the way kulikuwa na chadwick, malthus, benthan and many others not less than twenty scholars each contributing further previous argument mpaka tunafika kwa beveridge. he himself worked under a couple who taught at london school of economics known for their equality arguments, though the name has gone on top of my head for now.

Hivyo sisi african ni very simple people just like the argument 'ndivyo tulivyo' which has no justifiable argument but just naked observation.

tuna matatizo mengi sana kama baadhi ya watu walio yagusia hayo ya mindest but mainly consisting the will not to care for the whole au hata the consequences of our action and how they affect as a whole wenzetu wangeita ignorance. sisi tuna simplify its within us kama ndivyo hivyo hata wazungu wangekua wanarushwa, why do you think chinese shoot people like them?

Tuna serikali leo inataka kuua dual citizenship, sasa unategemea people are that stupid mtu aache chance ambayo hiko secure kwake na familia yake aje kujenga taifa ambalo ali mthamini or the system has yet to function properly aje akerwe na hela ambayo ingeweza fanya so so and imeenda kwenye tumbo la mtu alafu akisema mumpe yale maji yenu.

We are poor for a reason but mainly ignorance na poor governance lakini si kusema ndivyo tulivyo hayo ni matatizo ambayo can be overcomed and people be shaped to respect the laws or be educated. but none of that is a possibility kama tutakuja na kufikiri things just happen and concluding its within us, the adage 'ndivyo tulivyo' in itself encourages acceptance and promotes laziness in thinking.
 
Back
Top Bottom