Kifuatacho Baada ya COVID19 Kuisha. Make Order Out of Chaos

Kingsmann

JF-Expert Member
Oct 4, 2018
4,448
16,311
Wakubwa wa dunia hii wana msemo usemao "Make Order Out of Chaos". Yaani kwa kiswahili tunaweza kutafsiri kama anzisha sekeseke kisha utumie hilo sekeseke kuunda sheria/mifumo mipya.

Hii COVID19 iwe ni man made ama ni natural disaster lakini mwisho wa siku ikiisha tutegemee mabadiliko makubwa kwenye nyanja mbalimbali.

Kitu kipya kikubwa kitakacholetwa kwa kasi ni matumizi ya Artificial Intelligence (AI) kwenye miili ya wanadamu kwa kisingizio cha kuwezesha early detection of pandemic diseases ili maafa kama ya COVID19 yasije yakajirudia tena.

Mambo mengine ni kama ifuatavyo:
1. Kuongezeka kwa chanjo wanazopata watoto pindi wanapozaliwa.

2. Dunia kuachana na matumizi ya noti na sarafu na kuhamia kwenye digital money. Hapa kina Bitcoin na Facebook Coin wanaenda kutake over.

3. Taratibu za kusafiri kutoka nchi moja kwenda nyingine kubadilika kwa kiasi kikubwa.

4. Kubadilika kwa sheria na miongozo ya kazi. Hizi lockdown zinaathiri sana uchumi, hivyo lazima kibuniwe kitu cha tofauti ili huko mbeleni hata mkikaa ndani mwaka mzima uchumi ubaki palepale.

Yapo mengi sana yatakayobadilika lakini hayo ni kwa uchache tuu.

Mungu ibariki Dunia, Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.
 
Juu ya kuachana na matumizi ya noti na sarufu, ni sawa kabisa, chip nazo zitolewa kwa awamu tofauti kulinga na umuhimu wa wahusika.
 
Sawa mkuu, umenena vyema.. ila ingependeza zaidi ukaweka nyama hiyo " Artificial Intelligence " ni nini hasa kiundani nadhani bandiko lako lingekua safi sana zaidi ya hapa..

Kikubwa yote uliyosema yanawezekana, hawa watu wana mbinu nyingi sana kiukweli zinazopelekea kuzaliwa kwa mifumo mingi sana hapa duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna makubaliano km sijakosea ni April 20 ivi.. Viongozi mbali mbali Duniani Kisiasa na kidini hasa mataifa makubwa watakutana... Ni makubaliano yanayohusu mabadiliko na majanga yanayoikumba Dunia kama moto. Matetemeko n.k .


Order out of Chaos

"What is yours will always be yours no matter what "
 
mabadiliko hayo yapo planned toka zamani kama vile janga la corona lilivyotengenezwa toka zamani. YES limetengenezwa.na sababu za kusema hivyo ni kama ifuatavyo;
  1. Mwezi October 2019 Bill Gate aliwezesha kufanyika kwa tukio lililopewa jina na EVENT201 katika tukio hilo walifanya simulation ya ugonjwa unaosababishwa na virus vya corona ambao dalili zake zote ni sawa na ugonjwa Wa covid-19 tulionao sasahivi. ikumbukwe tukio hilo lilifanyika miezi 2 kabla ya mlipuko wa ugonjwa kutokea. tazama video ;
  2. Mwezi huohuo october 2019 ulifanyika mkutano jijini New York na mabilionare wakubwa kujadili mpango wa kutekeleza utoaji wa vitambulisho vya kidigitali kwa mfumo wa chanjo ambao utaweza kubeba taarifa mbalimbali za watu na ambao utaweza kuboresha utoaji wa chanjo, vilevile taarifa za magonjwa mbalimbali kwa watu wote duniani. ID2020 and partners launch program to provide digital ID with vaccines. The ID2020 Alliance has launched a new digital identity program at its annual summit in New York, in collaboration with the Government of Bangladesh, vaccine alliance Gavi, and new partners in government, academia, and humanitarian relief.
    The program to leverage immunization as an opportunity to establish digital identity was unveiled by ID2020 in partnership with the Bangladesh Government’s Access to Information (a2i) Program, the Directorate General of Health Services, and Gavi, according to the announcement.

    Digital identity is a computerized record of who a person is, stored in a registry. It is used, in this case, to keep track of who has received vaccination.
  3. Mwaka 2018 Pirbright institute walipewa hati miliki ya corona virus. waweza shangaa hao ni kina nani? soma zaidi hapa Patent Images (chamuhimu elewa pia wanapewa fund na Bill Gate)


kinachokuja sasahivi ni utekelezaji wa utoaji wa chanjo kwa watu wote duniani (Chanjo Ya corona) ambayo itatolewa kwa mfumo mpya tofauti na tuliouzoea ama wa kuchomwa sindano ama wa matone ya kumeza kwani ID2020 imewezesha kutengenezwa kwa mfumo wa kisasa zaidi kwa kuweka chanjo juu ya ngozi kwa kupitia vifaa maalumu ambavyo vimetengenezwa na kituo cha utafiti cha Brisane. angalia video ya utoaji wa chanjo hiyo katika majaribio


mambo mengi sana yapo hapo, pitia EVENT201, AGENDA21, AGENDA2030, ID2020,
 
Pumba ni chakula kizuri sana kwa mifugo. Zichukue uka make better use of it.
Hao wanaotaka kuleta hayo mabadiliko waliona mbele ila na wewe uliyeweza kuyaelewa bado ni 'great thinker' miongoni mwetu. Tatiizo ni kwa wale ambao masikini hata hawajui ni kwa nini haya yanatokea na hawajui hiyo misaada inayotolewa na Jack Ma na Bill Gates kuwa ndio beneficiary wa uchumi huo mpya ujao.
By the way hata huku Afrika PM wa Ethiopia keshayaona yajayo na tayari anafocus kwenye cargo planes ili kuliokoa shirika lao la ndege baada ya kunusa majanga ya abiria kupungua!
 
Back
Top Bottom