Kifuani nina mzigo wa hasira na kisasi, mgoni wangu kuwa makini

Bro waadabishe kwa njia nyingine ila sio hii ya kuchukua sheria mkononi ni upumbavu tu

Maisha yako ni bora kuliko maisha ya mtu yoyote hapa duniani, hasira walizokupa zisikufanye usahau hilo

Waadabishe kwa njia nyingine


Kwani anafanya kumbaka mkeo?

Kama ni kwa ridhaa ya mkeo shida ni mkeo au huyo jamaa?

Bora kuamua kumuacha mkeo hata kama ataenda kuishi na huyo jamaa haina shida.

Kwanza wahuni wanapendaga kutembea na wake za watu wakiwa na waume zao wakishaachwa na wao huwaacha!
 
Samahani kwa kuandika Haya lakini naona unatatizo la inferiority complex!

Kwa hiyo wife ndiye bread earner?

Mkeo anafanyakazi au ndio anapewa hela na huyo bwana kisha mnakula Na kujikimu?

Pole kaka, ni mtihani !


Fanya mazoezi, Fanya tahajudi sali, soma Neno nenda kwa psychiatrist atakuhudumia.
 
Yeeeeah!!!!

Ukiwa na pesa hata ukiachika pressure inapungua.....

Ila ukiwa hauna lzm uone kutokuwa na pesa ndo chanzo cha kuachika.
Nikiwaza Sina hata hela yakupeleka mtoto logde ndo napata uchungu was kusalitiwa na mke wangu other wise ningukua kata funua tuuu
 
Bro waadabishe kwa njia nyingine ila sio hii ya kuchukua sheria mkononi ni upumbavu tu

Maisha yako ni bora kuliko maisha ya mtu yoyote hapa duniani, hasira walizokupa zisikufanye usahau hilo

Waadabishe kwa njia nyingine
Fresh ndugu yang
 
Mgoni wangu umenivunjia ndoa yangu alafu unanitukana et nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!!???

Mzigo nilikua nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitorizika Ila ntaka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.

Na wife wangu ujiangalie sitokuacha Hivi Hivi you will pay for it.

Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka alafu watesi wao wakala Bata tuu.
Kumekucha
 
Samahani kwa kuandika Haya lakini naona unatatizo la inferiority complex!

Kwa hiyo wife ndiye bread earner?

Mkeo anafanyakazi au ndio anapewa hela na huyo bwana kisha mnakula Na kujikimu?

Pole kaka, ni mtihani !


Fanya mazoezi, Fanya tahajudi sali, soma Neno nenda kwa psychiatrist atakuhudumia.
Mke wangu nimemfungulia ofisi maeneo ya mjini.
Pesa yake siulizi anatumia mwenyewe naskia Tena zinaliwa na jamaa.
 
Kwani anafanya kumbaka mkeo?

Kama ni kwa ridhaa ya mkeo shida ni mkeo au huyo jamaa?

Bora kuamua kumuacha mkeo hata kama ataenda kuishi na huyo jamaa haina shida.

Kwanza wahuni wanapendaga kutembea na wake za watu wakiwa na waume zao wakishaachwa na wao huwaacha!
Nilichogundua tatizo Ni wife
Anadai makwazo yamezidi ukweni so ameenda kwa jamaa kutafuta pumziko
 
Mgoni wangu umenivunjia ndoa yangu alafu unanitukana et nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!!???

Mzigo nilikua nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitorizika Ila ntaka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.

Na wife wangu ujiangalie sitokuacha Hivi Hivi you will pay for it.

Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka alafu watesi wao wakala Bata tuu.
mke anauma jamny
 
Mgoni wangu umenivunjia ndoa yangu alafu unanitukana et nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!!???

Mzigo nilikua nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitorizika Ila ntaka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.

Na wife wangu ujiangalie sitokuacha Hivi Hivi you will pay for it.

Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka alafu watesi wao wakala Bata tuu.
We vimilia kuna msemo unasemwa hapa jukwaani tusioe mwanamke mwenye mtotokwaiyo huyo jamaa kaoa mke wako siku ukimutaji kupasha kiporo utakipasha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukijifikiria wewe peke yako ukawasahau watoto ambao maskini wala hawana taarifa kama kuna mtu kachepuka,
wakajikuta wewe upo jela ya serikali,wao wapo jela majumbani kwa jamaa zako wanalazimika kulala na shamba boy
maana vyumba havitosi.nakwambia mateso yao yatazidi ya kwako mara mia.
si bora kwa jamaa zako

wanaenda kuishi na huyo shamba boy
na kama ni watoto wa kike hilo njemba kama halina dini linawapeleka pwani wao na mama yao…
 
Mgoni wangu umenivunjia ndoa yangu alafu unanitukana et nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!!???

Mzigo nilikua nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitorizika Ila ntaka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.

Na wife wangu ujiangalie sitokuacha Hivi Hivi you will pay for it.

Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka alafu watesi wao wakala Bata tuu.
Wenye hasira huwa hawapiga mikwara jf nenda front line umpige huo mkwara,shida ingine mtu akikutombea wife wako sana anakujua huna ubavu wa kumfanya lolote
 
Nimesali saana kukiondoa lakini wanakirudisha kwa nguvu sa nifanyeje?
Huna lolote we ni mnyonge hata unavosound inajidhihirisha, kikubwa we temana na huyo mwanamke kama unaushahidi wa kutosha kuhusu kukucheat, mpige taraka3 endelea kutafuta pesa ili ulee watoto wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom