Siyo mama yako kweli?Nimekusoma kiongozi..ila yule ni dada yangu .ila ana vibweka balaa..
Hata mimi,tena mimi nasumbuliwa sana asubuhi na usikuWakuu, kwa takriban siku nne nasumbuliwa na mafua makali na koo kuwasha,siku ya leo nilienda hospitali kupata matibabu lakini nimestaajabu kukuta watu wengi wakilalamikia hali hiyo.
Je hali ikoje mahali uliko..ni ule mzigo au ni mawazo yetu tu?
Mimi hii hali siielewi kabisa
Tumia malimao mkuu hiyo kitu imenisumbua sana mwezi January na February Hadi nikataka kuandika wosia..Wakuu, kwa takriban siku nne nasumbuliwa na mafua makali na koo kuwasha,siku ya leo nilienda hospitali kupata matibabu lakini nimestaajabu kukuta watu wengi wakilalamikia hali hiyo.
Je hali ikoje mahali uliko..ni ule mzigo au ni mawazo yetu tu?
Huo ndio muda wake hasa baridi ikizidi yaani huwa hayasikii amploxHata mimi,tena mimi nasumbuliwa sana asubuhi na usiku
Ila limao jaman linaumiza balaa meno na ulimi..ww unalidilutije jamaniTumia malimao mkuu hiyo kitu imenisumbua sana mwezi January na February Hadi nikataka kuandika wosia..
Hapa jf hakuna aliyejivukisha kunishinda Mimi yaan hata jiwe haoni ndani ...
Kama uko Dar kawaida hio. Ni ya msimu.Wakuu, kwa takriban siku nne nasumbuliwa na mafua makali na koo kuwasha,siku ya leo nilienda hospitali kupata matibabu lakini nimestaajabu kukuta watu wengi wakilalamikia hali hiyo.
Je hali ikoje mahali uliko..ni ule mzigo au ni mawazo yetu tu?
😀😀!Lamba konyagii dry kila jion kula chakul yenye pilipil mwendokasi chai upige na tangawizi nalimao utanishuuru
Exactly,wengi hawalijui iloHuu ni Msimu wa kipupwe tegemea mafua na kikohozi
Ubanwe kifua na mafua makali, huo ujasiri wa kuja huku kuanzisha Thread unautoa wapi?Wakuu, kwa takriban siku nne nasumbuliwa na mafua makali na koo kuwasha,siku ya leo nilienda hospitali kupata matibabu lakini nimestaajabu kukuta watu wengi wakilalamikia hali hiyo.
Je hali ikoje mahali uliko..ni ule mzigo au ni mawazo yetu tu?
Hahahahahaa...dah....Ubanwe kifua na mafua makali, huo ujasiri wa kuja huku kuanzisha Thread unautoa wapi?
Dr. Mpango tu hakuweza hata kupokea Simu za Mwendazake wakati ule amebanwa.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app