Kifo kizuri ni kipi hasa? Maana nasikia watu wakiambiana alikufa /atakufa vibaya!

Manton

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,164
1,520
Unawezaje kutofautisha kifo kizuri na kibaya? Hivi kuna kifo ambacho kinakosa muombelezaji hata mmoja, pale ambapo maelfu kwa maelfu wanapo kuwa wakifurahia kifo hicho, kwa kula na kunywa, na kucheza midundo kwa shangwe? Kwa maoni yangu hakuna uzuri au ubaya katika kifo chochote, kwa mtazamo wa jumla. Karibu, tujengane kifikra katika jambo hili la kuombeana vifo vibaya au kifo chema.
 
watu anazeeka wanakufa wakiwa wamelala.

wengine wanapata wasaa wa kuaga kabisa.

halafu kuna wale wanakufa kwa ajali kama ile ya moto moro,au kukanyagwa na lori na kuangukiwa na kifusi.

vifo vinatofatiana,kuna vibaya na vizuri~ishu ni kwamba hakuna tiketi kwamba fanya haya ili ufe vyema.
 
Unawezaje kutofautisha kifo kizuri na kibaya? Hivi kuna kifo ambacho kinakosa muombelezaji hata mmoja, pale ambapo maelfu kwa maelfu wanapo kuwa wakifurahia kifo hicho, kwa kula na kunywa, na kucheza midundo kwa shangwe? Kwa maoni yangu hakuna uzuri au ubaya katika kifo chochote, kwa mtazamo wa jumla. Karibu, tujengane kifikra katika jambo hili la kuombeana vifo vibaya au kifo chema.


Vifo vibaya kwa mwanadamu ni vitatu, (1) Kifo cha ajali ya moto, (2) kifo cha kuzama majini, (3) kifo cha ugonjwa wa tauni, hivyo ni vifo vyenye machungu makubwa mno kiasi kwamba katika mafundusho ya Uislamu, mtu anayekufa kwa sababu ya moja kati ya hizo kadhia siku ya kiyama Mungu hatomuadhibu tena (atamsamehe madhambi yake isipokuwa dhambi ya ushirikina).
 
Vifo vibaya kwa mwanadamu ni vitatu, (1) Kifo cha ajali ya moto, (2) kifo cha kuzama majini, (3) kifo cha ugonjwa wa tauni, hivyo ni vifo vyenye machungu makubwa mno kiasi kwamba katika mafundusho ya Uislamu, mtu anayekufa kwa sababu ya moja kati ya hizo kadhia siku ya kiyama Mungu hatomuadhibu tena (atamsamehe madhambi yake isipokuwa dhambi ya ushirikina).
Aisee.
 
Vifo vibaya kwa mwanadamu ni vitatu, (1) Kifo cha ajali ya moto, (2) kifo cha kuzama majini, (3) kifo cha ugonjwa wa tauni, hivyo ni vifo vyenye machungu makubwa mno kiasi kwamba katika mafundusho ya Uislamu, mtu anayekufa kwa sababu ya moja kati ya hizo kadhia siku ya kiyama Mungu hatomuadhibu tena (atamsamehe madhambi yake isipokuwa dhambi ya ushirikina).
Hapo naanza kupata mwangaza juu ya watu wanaozungumzia vifo vibaya. Sasa kama ikiwa wafa- vifo vibaya wanaona pepo, iweje mtu aone fahari kumuombea mwenzake kifo kibaya?
 
Vifo vibaya kwa mwanadamu ni vitatu, (1) Kifo cha ajali ya moto, (2) kifo cha kuzama majini, (3) kifo cha ugonjwa wa tauni, hivyo ni vifo vyenye machungu makubwa mno kiasi kwamba katika mafundusho ya Uislamu, mtu anayekufa kwa sababu ya moja kati ya hizo kadhia siku ya kiyama Mungu hatomuadhibu tena (atamsamehe madhambi yake isipokuwa dhambi ya ushirikina).
hii ya ugonjwa wa tauni imekaaje mkuu? Unakufaje?
 
watu anazeeka wanakufa wakiwa wamelala.
wengine wanapata wasaa wa kuaga kabisa.
halafu kuna wale wanakufa kwa ajali kama ile ya moto moro,au kukanyagwa na lori na kuangukiwa na kifusi.
vifo vinatofatiana,kuna vibaya na vizuri~ishu ni kwamba hakuna tiketi kwamba fanya haya ili ufe vyema.
Asante kwa kutupatia ufafanuzi wa kina, mkuu.
 
watu anazeeka wanakufa wakiwa wamelala.
wengine wanapata wasaa wa kuaga kabisa.
halafu kuna wale wanakufa kwa ajali kama ile ya moto moro,au kukanyagwa na lori na kuangukiwa na kifusi.
vifo vinatofatiana,kuna vibaya na vizuri~ishu ni kwamba hakuna tiketi kwamba fanya haya ili ufe vyema.
Asante kwa kutupatia ufafanuzi wa kina, mkuu.
 
Unawezaje kutofautisha kifo kizuri na kibaya?

Nafikiri huwa wanamaanisha namna mtu alivyokufa

Kadri muda ya kusuffer kabla ya kifo unavyoongezeka ndio ubaya wa kifo unavyokuwa determined na vice versa
Mfano mtu aliyeungua moto hadi kufa huwezi kumfananisha na mtu aliyepigwa risasi ya kichwa
Au mtu aliyekatwa kiungo kimoja baada ya kingine hadi kifo huwezi kumfananisha na mtu aliyekujirusha kutoka ghorofa ya 20
 
Vifo vibaya kwa mwanadamu ni vitatu, (1) Kifo cha ajali ya moto, (2) kifo cha kuzama majini, (3) kifo cha ugonjwa wa tauni, hivyo ni vifo vyenye machungu makubwa mno kiasi kwamba katika mafundusho ya Uislamu, mtu anayekufa kwa sababu ya moja kati ya hizo kadhia siku ya kiyama Mungu hatomuadhibu tena (atamsamehe madhambi yake isipokuwa dhambi ya ushirikina).
ugonjwa wa tauni ukoje mkuu?
 
Unapokuwa umekula maisha matamu duniani hapo umekufa vizuri sasa kula tabu mtibabu tabu demu mzuri huna ukifa umekufa vibaya
Kuna wale ambao uwa na maisha mazuri ya uzima wa afya lakini pale afya zao zinapo teteleka unaona kabisa wanavyoteseka sana; wakiomba kifo kiwapumzishe ila hakitokei. Hawa nao unawazungumziaje?
 
Hapo naanza kupata mwangaza juu ya watu wanaozungumzia vifo vibaya. Sasa kama ikiwa wafa- vifo vibaya wanaona pepo, iweje mtu aone fahari kumuombea mwenzake kifo kibaya?


Ni makosa kumuombea mwenzako kifo kibaya kwasababu kila mtu ni lazima afe, kama mtu atakuwa amekukosea basi inatakiwa upeleke mashitaka yako kwa Mungu hivyo basi ni Mungu mwenyewe ndiye atakaye toa hukumu juu ya mtu huyo kwani yeye ndiye hakimu bora kuliko hakimu yeyote waila unapoomba mwenzako afe kifo kibaya hapo inakuwa kama unampangia mungu juu ya hukumu na hapo ni kama unaona Mungu hawezi kuhukumu na hivyo ni kama kumdharau Mungu na kamwe Mungu hawezi kutekeleza jinsi unavyotaka kwakuwa yeye huwa hapangiwi cha kufanya.
 
Kwa wakatoliki kifo chema ni pale mtu anapojaaliwa kufa katika hali ya neema, yaani akiwa ametubu na kusamehewa dhambi zake.

Vinginevyo kibinadamu kwa afaye kifo kizuri nadhani ni kifo kitokeacho bila mateso kabisa au bila mateso makubwa.
 
Unawezaje kutofautisha kifo kizuri na kibaya? Hivi kuna kifo ambacho kinakosa muombelezaji hata mmoja, pale ambapo maelfu kwa maelfu wanapo kuwa wakifurahia kifo hicho, kwa kula na kunywa, na kucheza midundo kwa shangwe? Kwa maoni yangu hakuna uzuri au ubaya katika kifo chochote, kwa mtazamo wa jumla. Karibu, tujengane kifikra katika jambo hili la kuombeana vifo vibaya au kifo chema.
kifo kibaya na kizuri kinamuhusu anayekufa sio wewe lia lia!
kuna vifo hata adui yako humuombei maana mpaka unakufa no mateso.
nimeoba clip kuna jamaa nadhan ni gang members wame mkamata jamaa wamemvua nguo wqmemtanua miguu then wameruhusu mbwa wao anamla sehemu za siri yaani wamemaluza kila kitu hadi wqnaenda kwa marinda wanavuta hadi utumbo! jamaa analalamika tu
 
Nafikiri huwa wanamaanisha namna mtu alivyokufa
Kadri muda ya kusuffer kabla ya kifo unavyoongezeka ndio ubaya wa kifo unavyokuwa determined na vice versa
Mfano mtu aliyeungua moto hadi kufa huwezi kumfananisha na mtu aliyepigwa risasi ya kichwa
Au mtu aliyekatwa kiungo kimoja baada ya kingine hadi kifo huwezi kumfananisha na mtu aliyekujirusha kutoka ghorofa ya 20
Ina semekana mtu anayejirusha toka ghorofa ya 20, uwa anafia hewani; chini anafika akiwa maiti tayari. Mwenye ufahamu wa damu uchukua muda gani kuganda baada ya mtu kutokwa na nafsi, atwambie.
 
kifo kibaya na kizuri kinamuhusu anayekufa sio wewe lia lia!
kuna vifo hata adui yako humuombei maana mpaka unakufa no mateso.
nimeoba clip kuna jamaa nadhan ni gang members wame mkamata jamaa wamemvua nguo wqmemtanua miguu then wameruhusu mbwa wao anamla sehemu za siri yaani wamemaluza kila kitu hadi wqnaenda kwa marinda wanavuta hadi utumbo! jamaa analalamika tu
Kumbe watu hao umaanisha kifo kimpate mtu baada ya mateso makali! Hakika huo ni ukosefu wa utu.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom