Usipoteze muda kuitafuta kwenye magazeti, hautaiona kwa sababu haipo. haya ni mambo ya kampeni mkuu, kuna mengi yanayotendeka behind the scene kuhusu haya maneno, tunayoyasema humu ni sehemu ndogo ya kitu halisi kilichopo
Du ama kweli sasa ITV mbona hatuishambulii ili sijui mhariri ama SaKINA naye aunde kamati ya kuchunguza hilo.?
Kwani hao wana habari wa ITV wamesoma kweli? ama wanakiuka tu taaruma yao.?
Kwa hiyo saizi tutaamini je? kweli kule CHADEMA Tarime wanapendwa kama magazeti na vyombo vyao vya habari vinavyoripoti?
Ama tuta amini vipi kuwa hawatendewi haki huko tarime?