William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Nusu ya mijadala ya hapa iko based on misinformation!
Ni nusu ya mijadala yako wewe ndio iko misinformed, jaribu kujifunza kuweka hoja bila maneno ya chooni, kama hoja yako ni kutaka usichokijua basi uliza kwa uastaarabu hapa sio Mtukula, ambako watu wote wanakuwa na bunduki ndani ya suruari,
Hapa hakuna mke wako wala mtoto wako wa kumuuuliza maswali kama unawalipia kodi ya nyumba, hapa tupo watu wazima, unaonekana bado una tabia za chekechea za kusutana sutana bila sababu, hata mahali ambapo wewe mwenyewe unakubali kua hujui ukweli, lakini siku zote ni lazima uje na this kind of authority hivi huko duniani wewe ni mkuu wa magereza nini unafikri humu ndani wote ni wa wafungwa wako ?
Maana lugha ya kistaarabu huna kabisa kujifanya unajua sana ukweli wya DR. Masau yamekushidna mpakia leo huna cha ushahidi wala lawsuit, sasa kwa sababu umezoea tabia za uongo, unafikiri kila mtu ni muongo kama wewe, that is pathetic, get real hapa hakuna mtu unayemlipa kukuletea habari, watu wanatafuta habari ambazo zimetengenezwa na binadam wengine wenye mapungufu kama sisi wote sasa kama unaweza tafuta habari zenye ukweli zaidi ya zile zinazotolewa ili uelimishe watu hapa, you idiot badala ya kurusha rusha maneno ya chooni, unaishia kutupunguzia wachangiaji hapa huo uongozi wako fanyia nyumbani kwako kama unao kweli hapa tunataka hoja tu we could careless wewe ni nani huko duniani you idiot!!
Yes you are nothing but an idiot na unaharibu mijadala hapa you fool!, pelekea upumbafu wako hukoo! Idiot! Wewe una ukweli 100% sasa unatafuta nini mahali penye habari ambazo nusu yake ni misinformation? kama sio upumbafu!