Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Hili neno nmeshangaa sana kulikuta linajadiliwa kwa umakini kabisa watu wakiwa serious.kuwa wafanyakazi hawa wametolewa kafara.
Hii imani imekuwepo sana kwa watu wanaofanya kazi sehemu za wahindi na waarabu. Sifahamu chimbuko lake ni nini. Lakini nakemea hii tabia si nzuri wananzengo.
Jamaa wamefariki kwa ajali. Full stop. Hayo mengine hakuna anayejua. Natoa wito msiendekeze tabia za kishirkina hazijengi.
Huu ni wakati wa kuwafariji ndugu jamaa na marafiki. Nakemea kwa sauti kali kabisa imani ya kuwa wametolewa kafara
Hii imani imekuwepo sana kwa watu wanaofanya kazi sehemu za wahindi na waarabu. Sifahamu chimbuko lake ni nini. Lakini nakemea hii tabia si nzuri wananzengo.
Jamaa wamefariki kwa ajali. Full stop. Hayo mengine hakuna anayejua. Natoa wito msiendekeze tabia za kishirkina hazijengi.
Huu ni wakati wa kuwafariji ndugu jamaa na marafiki. Nakemea kwa sauti kali kabisa imani ya kuwa wametolewa kafara