Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,641
- 6,808
Kupata vyombo kama hivyo ni kutafuta pesa sio six packMke mdogo chombo kweli kweli
Kupata vyombo kama hivyo ni kutafuta pesa sio six packMke mdogo chombo kweli kweli
Usukumani, Ukuriyani ni kawaida.... suala sio pesa suala ni utamaduni.Siku hizi ukiwa na pesa ni ndoa za Mitala tu uwe mkristo uwe muislamu
HapanaHuyo mama nd'o maana aliongezewa mke mdogo . Kichwani anaonekana kupungukiwa na vitu fulani . Au wengine watasema ni kuchanganyikiwa na msiba
Kila kitu kinawezekanaUkifatilia sana ,utagundua ni mmoja ya wanawake wake kahusika !!.
Imenikumbusha Tajiri mmoja maarufu. ,, ambaye ilithibitika mkewe mdogo sababu anatembea na rafiki wajamaa ndo wamemgeuka.
Mke mkubwa hajaachwa alikua nao wote wawili.... soma vizuri utaelewa.@mamdenyi atakuwa ni mtaalamu sana wa haya mambo maana ni yeye pekee amesoma na kuona katikati ya mstari,
mke mkubwa naona aliachwa na ndo maana anaomba msaada wa kusomeshewa watoto wakati jamaa kafa na kuacha msululu wa mabasi,means mali iko katika himaya ya mke mdogo.
Kama katika dini ya josia marufuku kuacha mke ina maana huyo tajiri kazikwa kipagani ama?
Lengo lako ni kutuaminisha kwamba kauliwa na Serikali et? Makubwa...Huyo jamaa aliyetajwa na mke mdogo ni scapegoat tu ...ukiangalia patten ya mauaji yake ,yani kuanzia kutekwa kwake ,gari kuchomewa Serengeti kisha mwili wake kupatikana unaelea huku ukiwa ndani ya kiroba
Hayo mauaji yamefanyika na professional hitmen ...
Swali la kujiuliza ni nani huwa wamiliki wa professional hitmen kihalali ?
Ukipata jibu unganisha dots na huenda jamaa alikuwa kati ya wale wasiojulikana lakini wanajulikana ,akafanya jambo lililo pelekea mauaji yake .
wote ni visu mkuu,,pesa hiyooMke mdogo chombo kweli kweli
Sio wote k we! Pesa kvp?wote ni visu mkuu,,pesa hiyoo
...kuuumbee!..sasa ndo nimemuelewa bi mdashi!cc mzazi mwenzako pole apumzike kwa amani
Marehemu alidhulumu mali za watu, ilikuwaje mtu aliyekudhulumu na humpendi umkaribishe nyumbani kwako na mke wake na wawe wanalala kwako, hapo hapajakaa vizuri
Usirudie kukosoa akili kubwa wewe mamaUngesoma na kuelewa husingeandika haya..
Jisikitikie kwa kutokujua kuelewa unachosoma
Usirudie kukosoa akili kubwa wewe mama
Nailitaka kusema hivihiviMke mdogo chombo kweli kweli