Kifo cha tajiri wa mabasi ya Super Sami: Mke mdogo asema rafiki wa marehemu huenda anahusika

Yaani Mme kaacha utajiri wote huo mama anaomba kusaidiwa kusomeshewa watoto na kupewa matunzo? Mama mjinga huyu, sitashangaa kusikia ameolewa!
Hahahah apo lazima mbilinge itokee babu, kumbuka wake wapo wawili na sterling wao kafa tayari. Bado ndugu wa jamaa wale choka mbaya lazma waje kugombania mali za kaka. Sio rahisi hapa bongo!
 
Huyu bwana ninafkr ni kisasi,hawa wafanya biashara wa samaki hawa!!!?? N hatari. Mtizame J4.KITANA MNANKA.ni wababe kweli kweli hata enzi za giriki ilikuwa ni hatari.hawa ni majambazi wakubwa kweli kweli.kumzamisha mtu ziwani na kuchukua boti yake ni jambo la kawaida kbs.huyu bwana ni dhuruma au kisasi
Kwenye biashara ukiwa mlaini utachelewa hasa biashara za pesa ndefu zinazohusisha magenge (cartels). Lazma uwe mbabe sana na uwe mafia ila mwisho wa siku unakufa kifo kibaya sana. Refer Erasto msuya and co.
 
Sasabu mauwaji si ya kisiasa tyar watu wanne wapo mikononi mwa police ila wa lisu hata mmoja hajapatikana. Kta gar halijapAtikana. Hta mmiliki wa gar hajataftwa wakat taarifa wanazo za mmiliki wa nissan nyeupe.
 
Hivi amezikwa dini gani huyu Jamaa?mana naona mke zaidi ya mmoja huku wamemtia ktk sanduku.... Au amefukiwa tu na sanduku Lake?
 
Huyo jamaa aliyetajwa na mke mdogo ni scapegoat tu ...ukiangalia patten ya mauaji yake ,yani kuanzia kutekwa kwake ,gari kuchomewa Serengeti kisha mwili wake kupatikana unaelea huku ukiwa ndani ya kiroba

Hayo mauaji yamefanyika na professional hitmen ...

Swali la kujiuliza ni nani huwa wamiliki wa professional hitmen kihalali ?

Ukipata jibu unganisha dots na huenda jamaa alikuwa kati ya wale wasiojulikana lakini wanajulikana ,akafanya jambo lililo pelekea mauaji yake .
Sure... Nawaza kuingia kwenye hifadhi kirahisi... Haikuishia hapo kuchoma moto gari!!!! Hao askari wa hifadhi inamana hawakugundua mpaka kuja kupatikana gari tarehe 9 March?
 
Kwelii maisha huyu bi mkubwa nadhani akili yake haitumii ipasavyo mtu ameacha utajiri kede kede badala ya kuwaza jinsi ya kuendeleza apate ada ya wanawe anasema serikali imfikirie? shida kuoa mwanamke sura aisee na hapo ukute hakuwa anajua ticket wala bei yake... shida haswa nini lakini siku hizi kuna wanawake wa aina hiyo kweli?
 
Usikute labda rasilimali zote za marehemu ni mikopo ya kibenki na hao wajane ni akina mama wa nyumbani tu wasio na taaluma wala uzoefu wowote wa uendeshaji wa miradi waliokuwa wakimtegemea marehemu kwa kila kitu kama ilivyo kawaida kwa familia nyingi isipokuwa Wachaga.
Pia yawezekana jamaa biashara ni zuga tu.... Alikuwa na mambo mengine yakuingiza PESA haraka.... Sasa hawa wake Zake hawataweza kuvaa suruali nakutoka usiku kupiga madili hayo....
 
Siku hizi ukiwa na pesa ni ndoa za Mitala tu uwe mkristo uwe muislamu
We lazima uwe binadamu wa dar, hamjui kuwa kuna kitu kinaitwa ndoa za kimila, hizo zinaruhusu mitala na mtu yeyote huweza kuzifunga iwe muislamu, mpagani ama mkristo, zenyewe zinafuata mila
 
Namimi nimeona hapo tu,, Mara baada ya Mume kufa Mara hiyo hiyo hata mwaka bado anaomba msaada wa serikali alipiwe ada,,,inamana walikia tu ndani wanakula pesa ,,,mnfyuu. Maisha waliyonayo ina mana mume hakua anaweka akiba?? kuna wamama wanauza Mkaa na kuuza magenge wanasomesha watoto ila yy serikali imsaidie,,bogus
Huyo mama nd'o maana aliongezewa mke mdogo . Kichwani anaonekana kupungukiwa na vitu fulani . Au wengine watasema ni kuchanganyikiwa na msiba
 
Yaani Mme kaacha utajiri wote huo mama anaomba kusaidiwa kusomeshewa watoto na kupewa matunzo? Mama mjinga huyu, sitashangaa kusikia ameolewa!
Hayo majibu yule mwanamke kayatoa wakati kachanganyikiwa na msiba, ila very likely hatikuwa ba shida hiyo, mtu akifiwa huwa na hofu ya mustakabali wake
 
Back
Top Bottom