TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
Tatizo bongo hatuna wanaharakati wa kweli. Hiki kipondo cha jamaa kingetokea Marekani kwa mfano, ungeona tayari watu washaandamana na kubeba mabango Pentagon. Na wish tungekuwa na kina Al Sharpton wetu....
nasubiri maandamano ya yule mjeshi aliyeua wenzake zaidi ya 10... na ya yule mbongo aliyechomwa kisu pale london... na ya brian mazula, na ya kupaza, na ya kapalata