Kifo cha Swetu Fundikira

waliomuua Swetu ni askari ambao ni Mke na Mme tayari wameshakamatwa na wapo kikaangoni. tusubiri labda yatakuwa kama ya akina ZOMBE kuachiwa kwa kwenda mbele
Habari zisizo thibitishwa ni kuwa Marehemu alimchomekea mwanajeshi na kumkwangua kidogo.
Walipoteremka na kuulizana marehemu akamtusi matusi ya mitaani mwanajeshi na mke wake akifikiri ni mtu na demu wake.
Yaliyoendelea hapo wote tumeyasikia.
 
Kak

Hawa huwa hawapigiwi saluti na ukiangalia sana vyeo 1 - 4 hapa ndo kwenye matatizo makubwa, kwa hiyo katika kujadili hii mada angalieni msiwaingize maofisa wa jeshi kuanzia Luteni Usu na kuendelea, wenye matatizo ni hawa wenzangu mie, ni wakali kweli na wanafujo sana wanajifanya wao ndio serikali ya nchi hii.

kwanza wachukuliwa hatua kali ili wenzao wajue kwamba hakuna aliye juu ya sheria.


jeshini kuna makundi matatu..

1]WAPIGANAJI [non commissioned soldiers-uliowataja]
2]MAAFISA[Commissioned officers..hapa kuna junior- luteni ,na senior - captain na major]
3]MAKAMANDA[ leutnant colonel to general]

Wapiganaji kwenye jeshi lolote ndio wakorofi ......kwani wao wameandaliwa kwenda mstari wa mbele...na wana mazoezi makali sana...

Maafisa ...wanaenda mstari wa mbele kama wataalamu....zaidi....

Makamanda wao hubaki comand post na mara chache huenda mstari wa mbele kutoa maelekezo na kurudi ...kazi yao kubwa ni kuongoza vita ...,kufanya logistics ,ramani ..[war plan]...na mikakati ya kivita kwa ujumla[wanaitwa brain]....hawa ni hasara sana wakifa...kwani ni kama saver kwenye compyuta]...ndio maana ni nadra sana kukamatwa mateka kwani ukikubali wakamatwe itabidi mubadili mpango vita ...kwa kuofia siri kuvuja.........na hata wakiendaga mstari wa mbele ikibidi makamanda wengi hupendelea kuvaa vyeo feki vya wapiganaji....kwani hakuna adui ataacha fursa ya kumkamata kamanda...
 
Kwenye hii kesi nasikia harufu ya yale masuala kama ya Ditto (r.i.p). Dereva amechomekea na kuharibu gari la mwenzie, kisha anakosa uungwana wa kawaida wa kujadili suala hilo kibusara na mchukizwa, inafuata hasira kali kisha maafa.
 
........Hili swala linaweza kumpata mtu yoyote, si watoto wa wakubwa tu. Kwenye club kuna mchanganyiko wa watu wa aina mbali mbali, hivyo hili swla litaweza kutokea kwa mtu mwingine.
Muhimu hawa wanajeshi inabidi wahukumiwe tu, ili iwe fundisho kwa wanajeshi wengine wanaopenda kuchukua sheria mkononi ya kupiga mtu.

Pretty
Ni kweli marehemu hakuuwa katika capacity ya mtoto wa mkubwa. Lakini pia ulitakiwa uendelee kuwa fair kwa kusema pia kwamba hao waliotenda kosa hawakufanya katika capacity ya kazi ya jeshi. Ugomvi wa mwajiriwa wa Jeshi na raia mtaani hauwakilishi taswira na kazi Jeshi hilo.

Poleni sana familia ya Fundikira kwa msiba huu mkubwa. Ninamwomba mwenyezi Mungu awape moyo subira katika kipindi hiki kigumu cha majaribu.
 
jeshini kuna makundi matatu..

1]WAPIGANAJI [non commissioned soldiers-uliowataja]
2]MAAFISA[Commissioned officers..hapa kuna junior- luteni ,na senior - captain na major]
3]MAKAMANDA[ leutnant colonel to general]

Wapiganaji kwenye jeshi lolote ndio wakorofi ......kwani wao wameandaliwa kwenda mstari wa mbele...na wana mazoezi makali sana...

Maafisa ...wanaenda mstari wa mbele kama wataalamu....zaidi....

Makamanda wao hubaki comand post na mara chache huenda mstari wa mbele kutoa maelekezo na kurudi ...kazi yao kubwa ni kuongoza vita ...,kufanya logistics ,ramani ..[war plan]...na mikakati ya kivita kwa ujumla[wanaitwa brain]....hawa ni hasara sana wakifa...kwani ni kama saver kwenye compyuta]...ndio maana ni nadra sana kukamatwa mateka kwani ukikubali wakamatwe itabidi mubadili mpango vita ...kwa kuofia siri kuvuja.........na hata wakiendaga mstari wa mbele ikibidi makamanda wengi hupendelea kuvaa vyeo feki vya wapiganaji....kwani hakuna adui ataacha fursa ya kumkamata kamanda...

Sawa Mkuu lakini hiyo ya front line isiwe ufanye application uraiani, mimi nimepitia jeshi tulifunzwa kuwa rafiki wa raia na kama kuna kosa tulilitatua kwa kueleweshana, kuna kipindi tulikuwa tunaenda vijijini - nje ya makambi na kule muda tulifanyiwa purukushani - lakini hatukuweza kuwazingira wananchi na kuwatandika na mikanda yetu. bali tulitatua tofauti zetu kwa kutumia siasa, na ndiyo maana siasa au elimu ya uraia inafunzwa kwa maaskari wetu.

Huwezi kuchomekewa unashuka kwenye gari yako unabiga risasi mtu ya kichwa kisa eti wewe askari tena front line - hapo sikubaliani na wewe kabisa.

Askari yoyote duniani ni lazima awe rafiki wa raia - hivyo ndiyo mimi nilivyofunzwa muda wangu mfupi niliokaa jeshini.
 
Langu mimi ni kuwaomba watu wote wafikirie kwanza kabla ya kutenda. MAJUTO ni mjukuu, wote waliohusika sasa wanajuta. Ukweli kuna vitu vingine ambavyo si busara kushiriki kama kuwapiga watu hasa watu wazima ( abovev 16). Lazima ujue madhara ya vitu hivi. Mara nyingi huwa ni kutaka kuonyeshana ubabe na mwisho ni KUJUTA. Hii ni kwa wote si wanajeshi tu ingawa kwa hawa wenzetu hii ya kupenda kupiga watu imezidi sana.
 
..... hao waliotenda kosa hawakufanya katika capacity ya kazi ya jeshi

Punda, kuna kazi nyingine, hata ukiwa haupo kazini/katika magwanda ya kazi, you are never truly "off duty". Uanajeshi ni moja wapo. Msingi mkubwa wa mafunzo ya kijeshi ni nidhamu, na nidhamu unatakiwa uandamane nayo kila mahali, hauiachi nyumbani unapoingia uraiani!!

"Mtoto wa mkubwa" si cheo, Swetu hakusomea kuwa mtoto wa mkubwa. Na hata sijaelewa kuwa yeye tunamwita hapa mtoto wa mkubwa kwa sababu gani.
 
Poleni wafiwa. Ila tukumbushane jambo muhimu la kupendana. Kwanza tumpende bwana Mungu kwa moyo, akili na kwa nguvu zetu zote. Pili tuwapende majirani zetu/wanadamu wenzetu...na mambo haya yooooote ya unoko-unoko yatakoma.
 
http://www.globalpublisherstz.com/#
DA SIWEZI AMINI KAMA WAMEMUUA MSHKAJI,ALIKUA MTU WANGU WA KARIBU TENA COOL SANA,SIJUI IMEKUWAJE,YAANI BONGO KWELI MAISHA YA MTU YANAKUA CHEAP NAMNA AMBAYO MJESHI AKIAMUA ANAKUTOA ROHO TU KIFALAFALA?JAMAA MPAKA SIKU YA MWISHO BONGO NILIKUA NAYE YAANI DU POA BWANA INAUMA SANA LAKINI,TANGULIA MTU WANGU.R.I.P SWETU
 
Inatia uchungu sana kumpoteza ndugu au rafiki kwa jambo ambalo lingeweza kuzuilika;
hivi wakati wanampiga hapakuwa na watu?
Ni mkosa gani kubwa alilofanya kustahili mauti ya kikatili?
ni pombe tu au?

Kwako ndugu yangu mauza uza... acha kuchanganya madesa wewe, damilola taylor, yule dogo mzanzibari, walter mazula na mwenzake, dogo wetu wa docebit (aliyeuwawa texas three years ago, huko south africa kila mwezi mbongo anarudi kwenye sanduku)... lets be fair on this, Swetu amekumbwa na mabaya na ni aibu kwa watanzania, lakini tusianze kupaint picha ya kufunika matatizo yetu

Wee **** ndo umechanganya madesa sana,nimekupa senksi ya kizushi tuu ili kukufanya **** zaidi....utachanganyaje mauaji ya gangs au fight zingine ambazo zinatokea kila sehemu na hii ya kuuwawa kwa ndugu yetu na MAFALA WA JWTZ???Huku ma mtoni polisi/wajeshi ni best wetu ukipotea ndo wanaokupeleka/kukusaidia sio huko kwenu bongo wao ni WAUAJI!!!!! hovyooooooo.
 
usihalalishe kushindwa kwako kurudi nyumbani kusaidia familia au hata kujenga kibanda ...kwa sababu za kitoto....we are going to America and europe at our wish ...and we work clean home [not with gorvernment]....kama ni kuuwana kwa bunduki night clubs sio ajabu ....America its even worse and the legal system has done nothing to stop rather its increasing plus a lot of frustrations in the army ..... wanaorudi au ambao ni cripled au relatives pia wana violent behaviour.....
wanajeshi wetu pia ni vijana kama vijana wengine ambao ugomvi mkubwa unaweza kuwa wanawake.....na that has to do with personal behaviour ....na sio jeshi!!

rudi nyumbani mzee ..bongo siku hizi tambarare....achana na enzi za kishtobe !!

Mukulu nyumbani ni nyumbani na sio kwamba sina hata kibanda FYI nina mahekalu matatu ya nguvu na pesa ni hii hii ya mabox sio ufisadi, na bongo nakuja kila mwaka.......LAKINI KURUDI HUKO KUWEKA MAKAO NOOOO,
WAJESHI HUKU HAWAUI RAIA KIHIVYO!!!!RIP SWETU.
 
Wee **** ndo umechanganya madesa sana,nimekupa senksi ya kizushi tuu ili kukufanya **** zaidi....utachanganyaje mauaji ya gangs au fight zingine ambazo zinatokea kila sehemu na hii ya kuuwawa kwa ndugu yetu na MAFALA WA JWTZ???Huku ma mtoni polisi/wajeshi ni best wetu ukipotea ndo wanaokupeleka/kukusaidia sio huko kwenu bongo wao ni WAUAJI!!!!! hovyooooooo.

eti huku majuu, as if its something new, name a state and we share experience wewe senene

hayo ya thanks kwa ****... sihitaji senksi yako kwani siishi utakavyo wewe!!! it doesnt matter unavyoichukulia ila utambue kwamba walipofanya mauaji hayo hawakuwa kazini bali walikuwa kama cohort ya buddies wakiwa kwenye starehe, tuache kuchanganya madesa, narudia tena!!!

Case ya askari ni kama ile ya mwanajeshi aliyempiga polisi ubungo, hayo mengine hayafanani

hivi yule askari wa marekani mwenye asili ya kiarabu aliyeua wenzake zaidi ya kumi case yake imechkuliwaje?

Matusi tunaweza tena bila mauzauza, ila kwa ****** kama wewe tunaamua kukaa kimya kwani wewe hujui ufanyalo na hiyo laana imetoka kwa ndugu zako kima wewe

hiyari yashinda utumwa, na kwa wote walio majuu kwa ajili ya kutafuta nawapa heshima kubwa, ila kama wewe uko majuu kukimbia wanajeshi ambao wengine ni ndugu zako, nakupa pole sana maana hata tumbili alikimbia mnazi akalala kwenye mwembe

#$%^&*(_)(*&^

sasa ni lunch time
 
Sawa Mkuu lakini hiyo ya front line isiwe ufanye application uraiani, mimi nimepitia jeshi tulifunzwa kuwa rafiki wa raia na kama kuna kosa tulilitatua kwa kueleweshana, kuna kipindi tulikuwa tunaenda vijijini - nje ya makambi na kule muda tulifanyiwa purukushani - lakini hatukuweza kuwazingira wananchi na kuwatandika na mikanda yetu. bali tulitatua tofauti zetu kwa kutumia siasa, na ndiyo maana siasa au elimu ya uraia inafunzwa kwa maaskari wetu.

Huwezi kuchomekewa unashuka kwenye gari yako unabiga risasi mtu ya kichwa kisa eti wewe askari tena front line - hapo sikubaliani na wewe kabisa.

Askari yoyote duniani ni lazima awe rafiki wa raia - hivyo ndiyo mimi nilivyofunzwa muda wangu mfupi niliokaa jeshini.

el nino, kwanza nalaani sana watu kuchukua sheria mkononi na pia nasikitika pombe imepelekea yote hayo.. hao wanajeshi hawakuchomekewa tu, ni zaidi ya hapo

story haijakamilika
 
Wee **** ndo umechanganya madesa sana,nimekupa senksi ya kizushi tuu ili kukufanya **** zaidi....utachanganyaje mauaji ya gangs au fight zingine ambazo zinatokea kila sehemu na hii ya kuuwawa kwa ndugu yetu na MAFALA WA JWTZ???Huku ma mtoni polisi/wajeshi ni best wetu ukipotea ndo wanaokupeleka/kukusaidia sio huko kwenu bongo wao ni WAUAJI!!!!! hovyooooooo.

pole ndugu yetu, umekosa mlolongo wa taarifa na umeelemea upande mmoja, kulikuwa kuna ulazima wa kutukana?
 
Langu mimi ni kuwaomba watu wote wafikirie kwanza kabla ya kutenda. MAJUTO ni mjukuu, wote waliohusika sasa wanajuta. Ukweli kuna vitu vingine ambavyo si busara kushiriki kama kuwapiga watu hasa watu wazima ( abovev 16). Lazima ujue madhara ya vitu hivi. Mara nyingi huwa ni kutaka kuonyeshana ubabe na mwisho ni KUJUTA. Hii ni kwa wote si wanajeshi tu ingawa kwa hawa wenzetu hii ya kupenda kupiga watu imezidi sana.

thanks saaana kwa kuona hili... wauwaji hawakuua kwasababu ni wanajeshi, waliua kwasababu ya ugomvi ulichangiwa na pombe ya muda mrefu na huyo mjeshi na mkewe walishakuwa na bifu na marehemu kabla ya gari kuondoka

tumesahau kwamba wanajeshi ni watu tunahukumu kwa kazi zao, sijui wangekua walimu tungesema walimu wauaji au vipi... TAHADHARI, WAUWAJI WALIUA KWA SBABU YA UGOMVI NA SI KAZI YAO TUSIPOTOSHE UKWELI

ufupi wa kutafakari unatufikisha hapa tulipo
 
Mukulu nyumbani ni nyumbani na sio kwamba sina hata kibanda FYI nina mahekalu matatu ya nguvu na pesa ni hii hii ya mabox sio ufisadi, na bongo nakuja kila mwaka.......LAKINI KURUDI HUKO KUWEKA MAKAO NOOOO,
WAJESHI HUKU HAWAUI RAIA KIHIVYO!!!!RIP SWETU.

You are just a buffallo soldier...huna ishu....sio wote walio nyumbani ni mafisadi ...nchi hii mafisadi hawazidi 200....ndio tunapambana nao hapa JF...

KAMA wewe unakuja bongo mara moja kwa mwaka unaona deal...kuna tunaofanya kazi halali na tunakuja huko marekani ,na ulaya kwa nauli zetu kadiri tunavyojisikia mara kadhaa kwa mwaka..

In short i hate mtu anayechukia Tanzania.....na kuona huko marekani ni pa maana .... nakuja huko kila wakati ...HAMNA LA KUJIVUNIA ......maana kama nchi nzuri ni ya wamarekani .... saidia Tanzania iwe sehemu bora ya kuishi...do not be brainwashed by those masters.....

ambao mmefanikiwa rudini nyumbani mjenge nchi!!.....hata kikwete huwa akija huko anawaambia....haitoshi tu kujisifu na vibanda vitatu vya squaters are....you can do more tangible investments dude....na ndio wanachotishinda wahindi au wakenya walio marekani....wanaishi kwa malengo ...wanajuwa walichofuata......
 
mauza uza wanajeshi wamarekani wanabaka kila siku ....na kuuwana yeye haoni....,wananchi wa kawaida wanabeba bunduki kila mahali haoni...huku pia raia pia wanafanya fujo haoni....anaona ASKARI WETU WA JESHI TU!!...kwani uovu wa mmoja mmoja ndio wa jeshi???....unakimbia nyumbani kwa ajili hiyo....basi chagua kuwa mtumwa siku zote...

ndio tunapigga kelele kwa watu wenye double loyalty ..lakini wewe huna loyaltly hata moja...you are not loyal to Tanzania.....and you may consider yourself loyal to america,,,,...but unfortunately they dont consider you one of them....huku haupo ...huko haupo!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom