Kifo cha rais wa Ghana, Viongozi wa Tanzania watajifunza nini?

pumzika kwa amani mzee wangu Atta Mills ..wewe si mwizi wa kura na hakika mungu atakupa pumziko la mille na mwanga utaangaziwa wewe mzee Atta Mills John
 
Raha ya milele umpe ee Bwana Mungu, na mwanga wa milele umuangazie....apumzike kwa amani.
Africa have lost dreams and promise
 
Kwanza Mwenyezi alieumba Mbingu na Ardhi amlinde huko aliko!!

Ila Kifo hiki kinaonyesha ni marais wachache sana wa Africa wanaweza kufa kwa Ugonjwa ndani ya Ardhi yao... Koz hapa kwetu kwa sasa hata mapunye lazima uende INDIA. Wameshindwa kabisa kuboresha Huduma katika Hospitali za ndani..

Hawa viongozi wetu wote wajue kuwa kila Nafsi itauonja umauti kwa hiyo naiusia nafsi yangu na yako tuwe wenye kumcha mwenyezi Mungu na Kuacha yote aliyoyakataza. Watumikieni wananchi kwa mujibu wa viapo vyenu
 
Hapo sasa hivi VIONGOZI wetu wanapiga fitna ya kujumuishwa kwenye msafara wa ****** kwenda kuzika. maana bila shaka ****** lazima aende kumbe angeweza kumtuma hata balozi wetu alie nchi Jirani (Nigeria) akamuwakilishe lakini kwa sasa anataka akauze sura lazima atie timu mwenyewe......Tujikumbushe alipokwenda kuzika Malawi(Bingu wa Mutharika), Zambia (mwanawasa), South Africa (Mama Albertina Sisulu), sasa Ghana (atta Mills) naona hivi karibuni atenda Kenya(maana Mzee naona amechoka hoi any time anaweza kuwahi Akhera, coz hata kuongea inakuwa taabu). BRO mbona kuzika imekuwa AGENDA YAKO NAMBA 1?huna lingine la kufanya?

Duh...! Umenichekesha,naona unamawasiliano na Mungu mpk umejua Pres. Mwai karibu ana rest in peace. Hii kali.
 
Amefia nchini kwake, katika hospitali zao, hilo nalo la kujifunza siyo kila kitu India huku tunaacha hospitali zetu hoi hat panadol shida! R.I.P Mills.

Yaap amefia kwake bt wiki mbili nyuma alikua America akitibiwa cancer ilokua ikimsumbua so usisema usoyajua...alafu Yule Joshua si huwa anaombea watu wanapona imekuaje ameshindwa kumponyesha kondoo wake cancer!?...mungu amuweke anapostahili amen
 
Kufuatia kifo cha Rais wa Ghana viongoz wa tanzania wamejifunza nini.Kw sababu wamejilimbikizia mali nyingi huku wananchi wakiwa hawana matumaini yoyote ya maisha yao ya baadae.Hivyo wajue kifo ni mwsho wa yote na hakina taarifa.Watumikien wananchi muwe na uzalendo kwa watanzania.Nawasilisha wakuu
Hao viongozi wa TZ wangoje tuu wakitoka madarakani ni kuwaburuza mahakamani, haiwezekani wezi wnaiba eti wamesamehewa, mbona wezi wa kuku wako magereza???Kuna fedha nyingi huko Uswiss SA hadi CayMans Island of shore Accts lazima tupate fedha zetu!!!!

 
RIP Atta ! hope Vasco dagama is on the way to give his condolences
 
Mpaka kwenye micba pia mnaleta siasa kama kujifunza kwa sote sio kwa viongozi wa tz kwani hizi roho tulonazo hatuna dhamana nazo yoyote kifo kitamfika ukimnyoeshea mwenzako kidole kimoja vilivyobakia vimekuelekezea wewe halafu kwenda katika mcba wa mwenzako ni jambo uzuri hata dini zetu zimetufundisha hivyo
 
Namkumbuka Dr Remmy Ongala. na wimbo wake wa Kifo hakina huruma.

Kifo kilimchukua JKN , baba wa taifa la Tz. Kweli kifo hakina huruma.
 
Kwa Kifo hiki nafikiri viongozi wetu wanawaza Safari ya Kwenda Msibani Ghana so watapata PER DIEM na ADVENTURE hususani MKULU! maana huwa hakosi misiba huyu!

aah naona unaulizia bible kanisani hapo...JK mbona alishapanga hiyo safari ya msiba kabla hata jamaa hajafa...anaenda na mkewe na viongozi wengine 20...hela hipo tatizo liko wapi...$10000 per day yeye na mkewe..sio mbaya
 
Yaap amefia kwake bt wiki mbili nyuma alikua America akitibiwa cancer ilokua ikimsumbua so usisema usoyajua...alafu Yule Joshua si huwa anaombea watu wanapona imekuaje ameshindwa kumponyesha kondoo wake cancer!?...mungu amuweke anapostahili amen

Hapo kwenye bold panahusika!
 
mungu hivi kwa nini unawaondoa watu wema humu duniani...yaani kuna wengine tuna mamizigo ya misumali lakini unayapa maisha marefu yanadunda tu na kazi kutusababishia foleni tu njia ya tazara kutoka airport...chukua haya madubwana mheshimiwa mwenyezi mungu.
siku za mwisho zimefika walio wake watanyakuliwa suiwe na shaka amepumzika baba jiandae na wewe kesho utakuwa wapi
mungu akupe uvumilivu wakati huu mgumu vita amepigana ameishinda pumzika prof...
 
Professor wa ukweli, uliza wa Ghana watakuambia amefanya mabadiliko makubwa ya kiuchumi na akapata mafanikio sana...R.I.P
 
Back
Top Bottom